Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Fuata hatua hizi ili uweze kuitumia laini mpya ya Halotel
JINSI YA KUANZA KUTUMIA HALOTEL
1. Nunua laini na fanya usajiri - Uwe na kitambulisho ( Kwa wale ambao bado hawana laini)
2. Weka katika simu au modem (waweza tumia Dashboard ya modem kwa hatua no. 03 inayofuata)
3. Piga namba yeyote mfano 100, au 0717 54 ** ** -, Utasikia maelezo na Utapokea sms za Taarifa ya kuwa laini iko tayari kwa matumizi.
4. Settings za internet zitakuja automatic, na ikihitahi password weka 1111
5. Baada ya kuwa umepokea sms kadhaa utaona upande wa internet umefunguka na utaweza ku_connect bila shida.
UKIWEKA SETTINGS DIRECT BILA KUFUATA HIZO STEPS HAPO JUU, UNAKUWA_TERMINATED NA HUWEZI PATA CONNECTION
baada ya kuweka kwenye simu imefanya kazi