hawa jamaa wana minara yao au ni kama zantel?
Mbona Nilipo Zinapatikana Mbalii Sanaa Na Vyuo???
I commented on this post a few days ago, I said any merchant company under monopoly capitalism, they aimed at maximizing profits by any means. Hawa jamaa sijui wa Halotel they're both capitalist regardless wanatoka sijui Korea, aims zao ni ku make profits tuuu.
Ulishawah Kusikia Matangazo Yao Kabla??Kuna biashara ambayo sio kwa ajili ya kutengeneza faida?
kwani matangazo hadi usikie? nyumba zote hizo walizopaka rangi na vibango vyao hata kabla ya uzinduzi usiniambie siyo matangazo yale. Bila matangazo kwenye soko la simu ujue umekwisha, soon utawaona nao kwenye tv nA REDIOUlishawah Kusikia Matangazo Yao Kabla??
hv mkuu Chief-Mkwawa ukiwasearch halotel kwenye network wanatumia jina ganikwani matangazo hadi usikie? nyumba zote hizo walizopaka rangi na vibango vyao hata kabla ya uzinduzi usiniambie siyo matangazo yale. Bila matangazo kwenye soko la simu ujue umekwisha, soon utawaona nao kwenye tv nA REDIO
Jama Anadai Halotel Wapo Sawa Kwenye Vifurushi Vyao, Mimi Namuuliza Kma Ashasikia Matangazo Yao Kwamba Watakua Na Nafuu Kwenye Huduma Zao, Hapa Najaribh Kumtofautishia Matangazo Yao Kabla Ya Kuanza Huduma Zao, Walisema Utakua Mtandao Unaotoa Huduma Nafuu Zaidi Nchini, Lakin Baada Ya Kuanza Kutoa Huduma Zao, Hakuna Unafuu!! Kwahiyo Matangazo Yao Na Wanachofanya, Vinakinzana!! Alafu Mkuu Nimedownload Whatsup Plus, Inagoma Inasema Nirekebishe Saa, Nimejaribu Weee Mpka Basii Aitaki Nimeweka Mida Ya Nchi Mbal Mbali Lakin Wapi!!! Inakuaje Hapa?? International Time Pia Imekataa!!kwani matangazo hadi usikie? nyumba zote hizo walizopaka rangi na vibango vyao hata kabla ya uzinduzi usiniambie siyo matangazo yale. Bila matangazo kwenye soko la simu ujue umekwisha, soon utawaona nao kwenye tv nA REDIO
Jama Anadai Halotel Wapo Sawa Kwenye Vifurushi Vyao, Mimi Namuuliza Kma Ashasikia Matangazo Yao Kwamba Watakua Na Nafuu Kwenye Huduma Zao, Hapa Najaribh Kumtofautishia Matangazo Yao Kabla Ya Kuanza Huduma Zao, Walisema Utakua Mtandao Unaotoa Huduma Nafuu Zaidi Nchini, Lakin Baada Ya Kuanza Kutoa Huduma Zao, Hakuna Unafuu!! Kwahiyo Matangazo Yao Na Wanachofanya, Vinakinzana!! Alafu Mkuu Nimedownload Whatsup Plus, Inagoma Inasema Nirekebishe Saa, Nimejaribu Weee Mpka Basii Aitaki Nimeweka Mida Ya Nchi Mbal Mbali Lakin Wapi!!! Inakuaje Hapa?? International Time Pia Imekataa!!
Sina Uhakika Mkuu, Nimeidownload Uptodown. Nafanyaje Hapa??labda ni ya zamani sana certificate ime expire. una uhakika ni latest version?
Sina Uhakika Mkuu, Nimeidownload Uptodown. Nafanyaje Hapa??
Sijawahi experience net ya hivi ktk eneo nililopo so hongera kwa Halotel.
mkuu embu fanya network search tuone halotel inatumia jina gani
Halotel kawaida