MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,517
- 1,367
Toa kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo unaweza kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzako
Kibunango,
Nilikuwa sijaangalia vizuri sahihi yako Mkuu!
ES alisema huyu jamaa ni mlevi na hunywa na kujisahau aliko-na kulala popote- na tunajua Zanzibar ni Visiwa vya Maadili- je tungependa kuwa na balozi au raisi wa aina hiyo? Hakuna mtu ananyimwa kunywa -ila ulevi wa kupindikia kwa balozi ambaye ni mwakilishi wa Watz haitoi picha nzuri kwa nchi yetu!
Je hakuna wengine wenye maadili mazuri? Kwa nini tung'ang'anie?