Mhe. Zitto naungana na wewe kufurahia habari hiyo, lakini sikubaliani kwamba hicho ni kipimo kizuri cha kutambua uwezo wa mageuzi kijamii. Nadhani kipimo kizuri ni kwa wagombea wote kujitokeza na kuruhusu demokrasia ya walio wengi kuchukua nafasi yake. Huo ndio ushindi wa heshima ambao mwisho wa siku hauna visingizio.
Ukweli siasa nchini imeanza kubadilika na wananchi wanatambua nini wanachokihitaji, lakini ni vema uelewa huo ujidhihirishe kwa kura ya wazi. Na hii itawafundisha 'watawala wa kudumu' kuwa sasa upepo umebadilika maana hata sasa hawana habari!
CUF wana uhakika wa kushinda kule Tunduru katika kata moja. Tunaweza kupata kata kumi. Tunajitahidi
Binafsi nadhani wapinzani wanaweza kabisa kuzoa zaidi ya nusu ya viti vinavyogombewa ili kuionesha CCM kuwa watu hawatanii...
Zitto,
Mbona mnakuwa vigeugeu? upande mmoja mnapinga uchaguzi upande mwingine mnakubali ushindi wa chee!
Inaelekea zile juhudi za kupinga uchaguzi mmeziacha maana sasa mpo ktk kampeni! usanii wa upande wa ushindani huu.
Mwaka huu tutaona vituko vingi tu.
Hongera sana Chadema
Zitto,
Mbona mnakuwa vigeugeu? upande mmoja mnapinga uchaguzi upande mwingine mnakubali ushindi wa chee!
Inaelekea zile juhudi za kupinga uchaguzi mmeziacha maana sasa mpo ktk kampeni! usanii wa upande wa ushindani huu.
Mwaka huu tutaona vituko vingi tu.
Kabla hujaweza kushinda vikubwa lazima ushinde vidogo! Ndiyo maana timu yetu ya Taifa ikicheza na vitimu vidogo vidogo ikihangaika tunajua hata kuwa kwa kubwa itahenya! Katika mapambano ya vita kabla hujaichukua Baghdad, lazima uanze pembezoni mwake!! Tatizo linakuja ukiichukua Baghdad utaweza kuitawala?
Zitto,
Mbona mnakuwa vigeugeu? upande mmoja mnapinga uchaguzi upande mwingine mnakubali ushindi wa chee!
Inaelekea zile juhudi za kupinga uchaguzi mmeziacha maana sasa mpo ktk kampeni! usanii wa upande wa ushindani huu.
Mwaka huu tutaona vituko vingi tu.
wanaweza kuspin vyovyote watakavyo lakini mwisho wa siku "sie" tunajua kwamba ni wao ndio wameweka mpira kwapani, ligwaride limewashinda huko Chunya!!!!!.