Zitto
Former MP Kigoma Urban
- Mar 2, 2007
- 1,562
- 10,877
Kama mnavyofahamu hivi sasa kampeni za uchaguzi wa udiwani zinaendelea nchi nzima. Chaguzi hizi ndogo zinatokana na waliokuwa wakishikilia viti hivo ama kufariki dunia au kupoteza sifa za uanachama wa vyama vilivyowadhamini.
Wakati siku ya uchaguzi ni tarehe 28 oct tayari kambi ya upinzani imekwisha weka kibindoni kiti kimoja katika Kata ya Nankukwe, halmashauri ya Wilaya ya Chunya kule Mbeya.
CCM walikosa mgombea katika hiyo baada ya wananchi kuona kuwa hata wakigombea watashindwa tu. Mpaka ilipofika saa kumi jioni ya tarehe 2 Oct, mgombea wa upinzani Bwana Lula ndie alikuwa mgombea pekee aliwasilisha fomu za utezui na hivyo kutangazwa kuwa Diwani wa kata hiyo...........
Hii ni habari njema sana kwa wapenda mabadiliko wote nchi hii. Kama CCM wameshindwa kupata mgombea wa udiwani, chama chenye mtandao nchi nzima, tusubiri tuone Ubunge 2010.........
http://ippmedia.com/ipp/nipashe/2007/10/11/100215.html
Wakati siku ya uchaguzi ni tarehe 28 oct tayari kambi ya upinzani imekwisha weka kibindoni kiti kimoja katika Kata ya Nankukwe, halmashauri ya Wilaya ya Chunya kule Mbeya.
CCM walikosa mgombea katika hiyo baada ya wananchi kuona kuwa hata wakigombea watashindwa tu. Mpaka ilipofika saa kumi jioni ya tarehe 2 Oct, mgombea wa upinzani Bwana Lula ndie alikuwa mgombea pekee aliwasilisha fomu za utezui na hivyo kutangazwa kuwa Diwani wa kata hiyo...........
Hii ni habari njema sana kwa wapenda mabadiliko wote nchi hii. Kama CCM wameshindwa kupata mgombea wa udiwani, chama chenye mtandao nchi nzima, tusubiri tuone Ubunge 2010.........
http://ippmedia.com/ipp/nipashe/2007/10/11/100215.html