Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Msukule sikia gongo,minazipmbe mbege na aina zote za pombe hutolewa na maintaerharame ccm kuhonga nakuweka misukule wapiga kura wao na vibaraka wakushikilia uhai wao kwenye mitandao ya kijamii kama wewe wakati ccm ilishakufaga cku nyingi. Uliwahi kuona sisi tukigawa pombe pesa za rushwa t shet na kanga kama nyie chama chakavu. Potea kuleeeee

kwahio kwa kushindwa uwezo huo ndio mmeona muanzishe SERA ya kuhalalisha GONGO ili muweze kubadilisha taratibu zenu kutoka kwenye KIROBA kwenda kwenye GONGO rasmi.
 
Wew sio saizi kwani wee ni zaidi yakilaza. Nenda shule kwanza ndo uje kuniuliza swali lililoenda shule
 
Kawaida yenu misukule ya ccm hamkubali ukweli. Kazi yenu kutetea uwongo kuwa ukweli kwa maslahi binafsi. Wabinafsi wakubwa nyie. Kwnza waroho wa madaraka wakupindukia alafu baadae mnakuja na mgongo wa nyuma eti wapenzani ni waroho wa madraka hatudanyiki tena. Miaka hamsini mmeitafuna hii nchi mbona bado mnangangania kwa uroho wenu. Fia kule miccm ptuuuuu

mmeshidwa kwa mambo mengi sana

1.mmeshindwa kueneza sera zenu mnazodai kwamba ni m-badala.kwa ujumla ni mambo ambayo hayaeleweki.
2.mmeshindwa kuwakusanya watanzania pamoja na kuonyesha nia ya kuimarisha usawa. mfano ni yale yanayowakuta ndani chama chenu.
3.mmeshindwa kuleta ushawishi kwa watu mnaodai mtaka kuwakomboa kwa kile kinachoitwa ubinafs,ukanda,udini,uhafidhina na ung`ang`anizi wa madaraka hayo yote yamepelekea chama kufa kifo cha mende.
 
DSC08662.JPG
Huyu ni mama Theresa Edward mpambanaji kweli ni kati ya akina mama walioenda kupigania haki za akina mama Geneva​
 
mmeshidwa kwa mambo mengi sana

1.mmeshindwa kueneza sera zenu mnazodai kwamba ni m-badala.kwa ujumla ni mambo ambayo hayaeleweki.
2.mmeshindwa kuwakusanya watanzania pamoja na kuonyesha nia ya kuimarisha usawa. mfano ni yale yanayowakuta ndani chama chenu.
3.mmeshindwa kuleta ushawishi kwa watu mnaodai mtaka kuwakomboa kwa kile kinachoitwa ubinafs,ukanda,udini,uhafidhina na ung`ang`anizi wa madaraka hayo yote yamepelekea chama kufa kifo cha mende.

sera na ilani kuhusu katiba mpya ni kwenu chama chakavu si. Hatudanganyiki tena sie tushaendaga shule
 
LAND CRUISER VX zatawala uchaguzi wa CDM. Hivi nyie CDM wananchi wenu wana maisha ya juu kama waliyonayo akina Mtei, Mbowe, Lema na Ndesapesa?

Au mnawatumia tu kwenye maandamano yenu?

ndio maana tunaitaka nchi ili tuwakomboe , maana UMASIKINI NI DHAMBI .
 
ukiona hivyo ujue Hemedy alishinda, ila kikao cha dharura kinataka kumpa ushindi Innocent. KUWENI NA AIBU KIDOGO.

Yaani nyie vichwa maji kishenzi!
Umeshahukumu kwa kuangalia jina Hemed
Kwa nini hiyo imani yako haba isikuaminishe kuwa Innocent ni jina tu na haiwakilishi imani yeyote kama ilivyo kwa Hemed?
 
Niliandika humu, kama Hemedy na Inno wamegongana kura, ujue Hemedy alishinda ila CDM hawamtaki. hahaha, Sasa muanze kusema ooh, umetumwa na Lumumba, ooh, unalipwa, oneni wenyewe sasa.
Kwa nini utumie hisia wakati uhalisia upo?
Halafu kwa kukutaarifu tu huyo unayedhani kaonewa kwa ajili ya jina lake sio wa imani hiyo unayofikiria.
Tumia ubongo wako kufanya kazi yake iliyoumbiwa na si kufugia nywele tu.
 
Mpeni pole kijana Hemedy

Kwa nini utumie hisia wakati uhalisia upo?
Halafu kwa kukutaarifu tu huyo unayedhani kaonewa kwa ajili ya jina lake sio wa imani hiyo unayofikiria.
Tumia ubongo wako kufanya kazi yake iliyoumbiwa na si kufugia nywele tu.
 
Back
Top Bottom