DALLAI LAMA , Crashwise na wengine wote mnaotuletea hili tukio live , MUNGU AWALIPE KWA KILA TONE LA JASHO MLILOPOTEZA KWA KAZI HII .
mbona viongozi wote wanatoka moshi?
Wenye maukumbi yao wanaogopa kuwakodishia CHADEMA maana vikao vyao havimaliziki bila fujo.
Mbona hawakwenda tena CORRIDOR SPRINGS HOTEL?Asilimia 90% ya kumbi zote za Arusha zinajumuisha bar sasa ni zipi hizo wanazoogopa kuwakodisha CDM au ni ule wa ccm pale mnara wa mwenge?
Mbona hawakwenda tena CORRIDOR SPRINGS HOTEL?
Huyu Magoma si nasikia naye ndio wale wale akina "Mbatia"? au ameshaacha?View attachment 173572 Hawa ndiyo viongozi wapya wa chadema jimbo la Arusha mjini..chini ya Magoma JR