Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

waislamu walikuwepo majina yao yakaondolewa mapema na mtei, chadema mna chuki sana na waislamu

Hamna nia njema na watanzania

Unachotaka kukieneza ni zaidi ya ubaguzi uliozaa dhahma huko Rwanda.

Ila ni sera yenu ya ccm.
 
kinyesi. labda hiyo nchi ya kuzimu. wanafanya nini kwenye koti la ukawa. jiulize.

Ndo manake. Kama ni uongo mbona nawewe ume comment hapa kumaanisha unafuatilia kwa hiari na akili zako timamu. Kwa taarifa yako chadema ndo wanaongoza nchi indirectly
 
Hiki ndicho kikosi cha kazi,Masalia wanapukutika wenyewe kupitia chaguzi za kidemokrasia.Huu na mwanzo wa mwisho wa maccm kuongoza taifa letu kiwiziwizi na kiujanjaujanja,taifa litakombolewa na wazalendo tuliopo field.
 
Back
Top Bottom