Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Umewehuka wewe, nadhani hujui kuwa CCM ndio walioianzisha CDM. Pole mkuu, kama kwa picha huoni na kwa sauti husikii, basi subiri muda ukifika ndio utashtuka usingizini.

Sikiliza mimi ni msomi. Sidanganyiki spelekwipelekwi sifuati upepo natumia akili zote za nyuma na mbele. I always think critically. Siasa naijua na nilitumia miaka zaidi ya mitano kufanyia utafiti kuhusu hivi vyama ni kipi chenye nia ya dhati kwa maslahi ya umma yan common goals na chadema chini ya katibu mkuu dr w. Slaa kikaibuka ushindi na kuburuza vingine vyote. Wakati huo ccm ilifunga mkia ila currently ccm is the last but one which means ACT wanafunga mkia sasa. Naendelea na utafiti. Usituchezee vijana wasomi tupo makini hatudanganyiki tena na ulaghai wa ccm
 
nafasi ya mwenyekiti bavicha wameenda mzunguko wa pili ni kati ya Hemedy na Innocent

Full Demokrasia, sio kama yale manyan'gau yangemtangaza mshindi hata kama angeshinda kwa kura moja endeleeni mkuu

BACK TANGANYIKA
 
Utafiti huo ulifanyia wapi? Juzi Dr. Slaa kasema cdm ilikuwa kikundi cha harakati wewe unasema umefanya research kwenye chama cha siasa, chama gani hicho?

Sikiliza mimi ni
msomi. Sidanganyiki spelekwipelekwi sifuati upepo natumia akili zote za
nyuma na mbele. I always think critically. Siasa naijua na nilitumia
miaka zaidi ya mitano kufanyia utafiti kuhusu hivi vyama ni kipi chenye
nia ya dhati kwa maslahi ya umma yan common goals na chadema chini ya
katibu mkuu dr w. Slaa kikaibuka ushindi na kuburuza vingine vyote.
Wakati huo ccm ilifunga mkia ila currently ccm is the last but one which
means ACT wanafunga mkia sasa. Naendelea na utafiti. Usituchezee vijana
wasomi tupo makini hatudanganyiki tena na ulaghai wa ccm
 
Matokeo BAVICHA
Mwenyekiti -Innocent - 14
Katibu - Glory - 14
mratibu wa uhamasishaji - 15
Mtunza hazina - Mollel 27
 
ukiona hivyo ujue Hemedy alishinda, ila kikao cha dharura kinataka kumpa ushindi Innocent. KUWENI NA AIBU KIDOGO.

Hivi wewe ukitukanwa utalaumu..huku mwanza mvua bado inapiga sujui kama gaidi atafanya mkutano
 
Niliandika humu, kama Hemedy na Inno wamegongana kura, ujue Hemedy alishinda ila CDM hawamtaki. hahaha, Sasa muanze kusema ooh, umetumwa na Lumumba, ooh, unalipwa, oneni wenyewe sasa.

Matokeo BAVICHA
Mwenyekiti -Innocent - 14
Katibu - Glory - 14
mratibu wa uhamasishaji - 15
Mtunza hazina - Mollel 27
 
Sema umeenda kwenye makao makuu ya CDM chumbani. Bila shaka unajiandaa na uchaguzi hivyo umeenda kutambika na kuonana na wazee wa chama.

Waswahili wanasema ukitaka kuruka agana na nyonga.

Mungi yupo Moshi leo mkuu
 
Umeanza sasa uchaguzi wa Baraza la Wazee! Sasa ni nafasi ya Mweka hazina!
 
Niliandika humu, kama Hemedy na Inno wamegongana kura, ujue Hemedy alishinda ila CDM hawamtaki. hahaha, Sasa muanze kusema ooh, umetumwa na Lumumba, ooh, unalipwa, oneni wenyewe sasa.

Kweli ukiwa na akili za kunguru.... au na wewe unapost ukiwa MSALANI
 
Last edited by a moderator:
Nafasi ya mgombea wa Katibu wa Baraza la wazee ni mzoefu sana! Amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wazee tangu akiwa binti. Anaitwa Theresia. Ametembelea nchi mbalimbali za ulaya kutetea haki za wazee! Aliandaa paper iliyotumika na cdm kwenye Ilani ya uchaguzi na kwa uzuri wake, serikali imeichukua na kuandaa sera ya wazee Tanzania!

Kweli Chadema kuna vichwa!
 
Wawakilishi wa kata mbali mbali wamejazana nje ya ukumbi tayari kwa ngwe ya uchaguzi wa mwenyekiti,katibu,mweka hazina..kamati tendaji ya wilaya.
 
Nafasi ya mgombea wa Katibu wa Baraza la wazee ni mzoefu sana! Amekuwa mwanaharakati wa kutetea haki za wazee tangu akiwa binti. Anaitwa Theresia. Ametembelea nchi mbalimbali za ulaya kutetea haki za wazee! Aliandaa paper iliyotumika na cdm kwenye Ilani ya uchaguzi na kwa uzuri wake, serikali imeichukua na kuandaa sera ya wazee Tanzania!

Kweli Chadema kuna vichwa!

Nasema nikiwa na akili timamu. Chadema inaongoza nchi kwa sasa indirectly
 
Baraza la wazee
Mtunza hazina - Emanuel Lewi - 20
Naibu Katibu -Isaac Peter - 19
Katibu - Theresa Edward - 20
Makamu Mwenyekiti - Godwin Malisa - 17
Mwenyekiti - Emanueli Zacharia - 20
 
Baraza la wazee
Mtunza hazina - Emanuel Lewi - 20
Naibu Katibu -Isaac Peter - 19
Katibu - Theresa Edward - 20
Makamu Mwenyekiti - Godwin Malisa - 17
Mwenyekiti - Emanueli Zacharia - 20

Nakuaminia,MSALANI anaiangalia kwa mbali hii thread.
 
Sikiliza mimi ni msomi. Sidanganyiki spelekwipelekwi sifuati upepo natumia akili zote za nyuma na mbele. I always think critically. Siasa naijua na nilitumia miaka zaidi ya mitano kufanyia utafiti kuhusu hivi vyama ni kipi chenye nia ya dhati kwa maslahi ya umma yan common goals na chadema chini ya katibu mkuu dr w. Slaa kikaibuka ushindi na kuburuza vingine vyote. Wakati huo ccm ilifunga mkia ila currently ccm is the last but one which means ACT wanafunga mkia sasa. Naendelea na utafiti. Usituchezee vijana wasomi tupo makini hatudanganyiki tena na ulaghai wa ccm


Unazalllisha wasomi.
Huwezi kusema umefanya utafiti alafu ukamalizia kwa kusema bado unaendelea na utafiti.
 
Back
Top Bottom