Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Uchaguzi wa CHADEMA Wilaya ya Arusha

Huko kwao lazima uwe mtoto wa Kigogo ndani ya Chama!

Haswa!!!bila ivo hupate cheo ng'o. Jamani msala msukule wa ccm upo wapi? Njoo utapike hapa ili uendelee kutupa changamoto tuimarike chadema jaman. Plz come
 
Naona mambo yameiva kwelikweli Mkuu Crashwise Filipo Dallailama wapi Mungi leteni ma updates kwa wingi

Mkuu Cashwise lete more Mapichaz Naona Lb7 presha zinapanda karibia wanapasuka hapa..

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
IMG-20140726-WA0002.jpg
Baadhi ya wagombea wajumbe mkutano mkuu.
 
LAND CRUISER VX zatawala uchaguzi wa CDM. Hivi nyie CDM wananchi wenu wana maisha ya juu kama waliyonayo akina Mtei, Mbowe, Lema na Ndesapesa?

Au mnawatumia tu kwenye maandamano yenu?

Chama kinakwea juu kwa kasi sana
 
M/kiti wa H/wilaya ya Hai kwa tiketi ya Chadema! Anatoa nasaha kabla ya uchaguzi wa Baraza la Wazee!
 
Mwenye vifaranga kashakuja kuangalia uteuzi wake. Chadema hakuna uchaguzi hata siku moja. hahaahha, Mzee Mtei alikwisha toa posa na kukioa chama cha CDM.

Naona mambo
yameiva kwelikweli Mkuu Crashwise
Filipo Dallailama
wapi Mungi leteni ma updates kwa wingi

Mkuu Cashwise lete more Mapichaz Naona Lb7 presha zinapanda karibia
wanapasuka hapa..

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Umewehuka wewe, nadhani hujui kuwa CCM ndio walioianzisha CDM. Pole mkuu, kama kwa picha huoni na kwa sauti husikii, basi subiri muda ukifika ndio utashtuka usingizini.

Ccmmm kufaaaaaaaa. Kwishiney. Amebaki mifupa mikavu.
 
nafasi ya mwenyekiti bavicha wameenda mzunguko wa pili ni kati ya Hemedy na Innocent
 
Uchaguzi wa M/kiti Bavicha umeingia round ya pili baada ya wagombea kushindwa kufikia zaidi ya nusu ya kura zote!
 
ukiona hivyo ujue Hemedy alishinda, ila kikao cha dharura kinataka kumpa ushindi Innocent. KUWENI NA AIBU KIDOGO.

nafasi ya mwenyekiti bavicha wameenda mzunguko wa pili ni kati ya Hemedy na Innocent
 
Back
Top Bottom