Uchaguzi US: 2020

The only best option for Trump is to wait for 2024. I told you before.
Trump hawezi kugombea tena kwa kuogopa aibu ya kushindwa tena, ila anataka kuendelea kuwa relevant kama power house ndani ya republican hasa ukizingatia kuwa ni mtu asiyejua kufunga mdomo wake. Atakuwa anapiga kelele sana wakati wote wa miaka minne ijayo kusudi kila siku asikike na azungumzwe kwenye TV. Wenzie wakishamaliza vipindi vyao hukaa kimya, lakini Trump alianza kelele mara tu baada ya kuchaguliwa kabla hata hajaapishwa na hatanyamaza mpaka siku anaingia kaburini!
 
There shall never be Trump 2024. If indeed Biden becomes the President. Trump will be arrested/prosecuted, together with his close family and associates. And it will be the end of GOP. Voter apathy would be of the proportion never seen before in the right of the aisle politics. Trump still have options, but those options may plunge the republic into kinetic and ugly scenes. The options include military takeover or invoking The Insurrection and Militia Acts. I don't know if he will cross the Rubicon and go for those options.

Certainly, there are some serious issues in his business dealings. But it might be difficult to prosecute him. For, majority of his holdings are in a real estate area which is laden with tax and write off loopholes. Besides, it takes years to prosecute business cases and majority of them end up in settlements. So, in the context of his businesses, I think he will be around for the next four years or more.

With regards to 2024, don’t discount him. If his base continues to show him love and affection, he will run. I don’t see him taking the role of the party stateman which involves campaigning for others and articulating the republican platform in the media. For, in the last four year, we have learned that when Trump campaigned for others, he used to talk about himself rather than the person on the ballot box. That kind of campaigning works if you are the president or plan to become one. Hence, you ask voters to elect people who would help you push your agendas.

To his credits, he managed to resurrect some Democrats policies such as tariffs, tough immigration policies and unfavored trade agreements in the Republican party. As a stateman of the party, he’s an ideal person who could continue to keep these policies alive. The problem I foresee with this role is he will not change the way he interacts with people as his favorite means of communication won’t make the cut. He prefers Tweeter, big rallies, and calling Fox news. I think his current penetration in these platforms have reached the threshold. As a stateman he will need to engage with audience of diversity backgrounds in other media platforms or TV networks. I don’t expect him doing that.

I wish I am wrong. The prospect of Trump running for the 2024 will prolong the bitter division that has engulfed the nation in recent years. For, he will continue to use this division to power his campaign.
 
Trump hawezi kugombea tena kwa kuogopa aibu ya kushindwa tena, ila anataka kuendelea kuwa relevant kama power house ndani ya republican hasa ukizingatia kuwa ni mtu asiyejua kufunga mdomo wake. Atakuwa anapiga kelele sana wakati wote wa miaka minne ijayo kusudi kila siku asikike na azungumzwe kwenye TV. Wenzie wakishamaliza vipindi vyao hukaa kimya, lakini Trump alianza kelele mara tu baada ya kuchaguliwa kabla hata hajaapishwa na hatanyamaza mpaka siku anaingia kaburini!
On other side, since majority in his base believe that this election was rigged, Trump might consider he wasn't defeated in this election. As a matter of facts, he thinks the election was stolen from him. So, personally, I think, there's a chance he will run 2024.

He lives in a different universe. When he sees the swath of red states in the election map being bigger than that of blue states, he thinks he has won the election.
 
Trump for 2024? Ha ha ha buddy, you've got to be kidding!

I don't like the guy. But that isn't the problem actually. The problem is the people who have decided to follow him. In the past, if you lose presidential election, you disappear into the political oblivion and your followers will accept the reality and move on with their lives. With Trump and his base, that might not be the case. I wish I am wrong.
 
On other side, since majority in his base believe that this election was rigged, Trump might consider he wasn't defeated in this election. As a matter of facts, he thinks the election was stolen from him. So, personally, I think, there's a chance he will run 2024.

He lives in a different universe. When he sees the swath of red states in the election map being bigger than that of blue states, he thinks he has won the election.
He knows that he made up that story of rigged election in order to cover his ass. He predicted this loss long ago and that is why he started creating this thesis of fraud in mail in ballots, and also tried to derail Biden campaign by creating non-existent Ukraine Burisima scandals that led to his impeachment. You know this guy is a big headed spoiled brat who happens to also be a thin-skinned moron; so he is terribly hurt for not getting a second term of office, and yet being impeached in his just one term. He would not want that to repeat. Even in 2016, he started complaining about rigged elections before he won, basically had he had lost in 2016, he would have started the same circus as what we see now.
 
He knows that he made up that story of rigged election in order to cover his ass. He predicted this loss long ago and that is why he started creating this thesis of fraud in mail in ballots, and also tried to derail Biden campaign by creating non-existent Ukraine Burisima scandals that led to his impeachment. You know this guy is a big headed spoiled brat who happens to also be a thin-skinned moron; so he is terribly hurt for not getting a second term of office, and yet being impeached in his just one term. He would not want that to repeat. Even in 2016, he started complaining about rigged elections before he won, basically had he had lost in 2016, he would have started the same circus as what we see now.

I hear you and would prefer if he disappears for good. The problem is, however, he or his base believes the stories he makes up. Have you heard those preachers who claim that they are in communication with God? You, as a rational thinker, will say that this is a lie. But, you will hard time to disabuse the hardcore believers.
 
Labda tuanze kujadili kitu kimoja, ni nini hasa malalamiko ya Texas?
Pili, ni ipi ruling ya SCOTUS?
The Lawsuit...

Texas Attorney General Ken Paxton filed the lawsuit Tuesday. The President on Wednesday filed a motion to intervene -- basically a request to join the lawsuit, asking for the same result. Seventeen GOP states also backed the effort as well.

They were asking the Supreme Court for an emergency order to invalidate the ballots of millions of voters in four battleground states -- Georgia, Wisconsin, Michigan and Pennsylvania -- even though there was no evidence of widespread fraud.

First the court would have to allow Paxton to file the suit. Then the court would have to block certification of the Electoral College vote, determine that the four states had allowed massive amounts of "illegal" votes, have the states revisit their vote counts and then resubmit the numbers.

The court could also, Trump's filing suggests, let state legislatures determine who wins each state or throw the entire election to the US House of Representatives, where each state delegation would have one vote -- and since Republican delegations outnumber Democratic delegations, Trump would win.

In a nutshell the Supreme Court was being asked to exercise its rarest form of jurisdiction to effectively overturn the entire presidential election.

The Ruling...

The Supreme Court’s refusal to even hear the Texas case represents a comprehensive rebuke of theories of widespread voter fraud or illegal changes to state election law that cost Trump the election.

SCOTUS doesn’t pick presidents, it is the people, through their electors, who elect presidents by casting their ballots and so motion DENIED.
 
Mlenge , kama Zakumi alivyosema hapo juu. Hapa kuna 'misconception au misconstrue''

Hukumu ipo hivi, katika SCOTUS kuna majaji 9.

1. Wawili wakasema ' ilikuwa muhimu kusikiliza kesi'' na huu ndio umekuwa msimamo wao, Justice Alito and Thomas Clarence. Mwisho wa Andiko lao wakasema maneno haya ''...but would not grant other relief'

Justices Alito na Clarence wanasema kuwa wangependelea au kutoa (grant a motion to file a bill) but would not grant other relief. Kwamba wangependa kesi itajwe ingawaje wasingekuwa na maoni tofauti na ilivyo sasa.
Ndio msingi wa neno '' other' kama ilivyotumika.

2. Kesi iliyokuwepo ni ya Texas dhidi ya state nne, kwamba, Texas na hasa yule AG alikuwa na ''feelings' kuwa Michigan, Pen, Wisc, and Georgia hazikutendewa haki .

SCOTUS wanasema kuna 'lack of standing'
Hii ni kwasababu si kila hoja inayopelekwa mahamani inasikilizwa na mahakama husika

Kwa maneno mengine, ruling ni 9-0 wakiwemo majaji 3 walioteuliwa na Trump.

Ruling ni 9-0 na si 7-2 kwasababu kuna issue mbili.
Kusikilizwa kesi 'grant a motion to file a bill' kulipingwa na majaji 2, lakini 'would not grant other relief' kuna waleta majaji 2 kuungana na 7 kwamba msimamo ni mmoja na ndio msingi wa 9-0

Nikimaliza kibadameno(mhogo) na chai huenda nitakuwa na la kusema zaidi.
Ni KIBANDAMENO mkuu ,

Sisi wasomaji tunaendelea kuchota nondo zenu humu, mjadala huu ni mkubwa kwetu
 
Ni KIBANDAMENO mkuu ,
emoji3.png


Sisi wasomaji tunaendelea kuchota nondo zenu humu, mjadala huu ni mkubwa kwetu
emoji2960.png
emoji120.png
emoji120.png
While the Trump and the GOP circus is going on The Electoral College prepares to hand Trump the loss he refuses to accept.

As Electoral College meetings take place across the country Today Monday, electors in 10 states have already cast their votes by noon EST. Nevada, the first state to vote Monday where President Donald Trump’s campaign had contested results, cast their ballots around 11:30 a.m. EST. It was the first state to meet virtually and the six electors held up their ballots on screen to verify the votes. The electors voted for President-elect Joe Biden.

electors.png

This is how things stand at the moment...​

1607972285680.png
 
Breaking News: Biden Wins Electoral College to Cement Victory and Rebuff Trump!

Joe Biden officially clinched the presidency after the Electoral College confirmed his victory today, capping a tumultuous period sparked by Donald Trump’s refusal to acknowledge he lost with the help of Republicans willing to support his unsubstantiated claims.

The 55 votes from California electors put Biden over the 270 needed to win. Electors in all 50 U.S. states and the District of Columbia cast their ballots for president and vice president in time-honored constitutional ceremonies that took on new importance after Trump insisted without evidence that the election was “rigged.”
 
Breaking News: Biden Wins Electoral College to Cement Victory and Rebuff Trump!

Joe Biden officially clinched the presidency after the Electoral College confirmed his victory today, capping a tumultuous period sparked by Donald Trump’s refusal to acknowledge he lost with the help of Republicans willing to support his unsubstantiated claims.

The 55 votes from California electors put Biden over the 270 needed to win. Electors in all 50 U.S. states and the District of Columbia cast their ballots for president and vice president in time-honored constitutional ceremonies that took on new importance after Trump insisted without evidence that the election was “rigged.”
Hii ya mwanasheria Mkuu ku resign imekaaje? Inazidi kumvua nguo Trump and CO?
 

Breaking News: Mitch McConnell congratulates Joe Biden for election win​

Senate Majority Leader Mitch McConnell recognized former Vice President Joe Biden as the president-elect during a 10-minute-long speech on the Senate floor Tuesday.

“The Electoral College has spoken,” McConnell said, saying he wanted to “congratulate the President-elect Joe Biden” and Vice President-elect Kamala Harris.

Kitabu kimefungwa...
 
Breaking News: Biden Wins Electoral College to Cement Victory and Rebuff Trump!

Joe Biden officially clinched the presidency after the Electoral College confirmed his victory today, capping a tumultuous period sparked by Donald Trump’s refusal to acknowledge he lost with the help of Republicans willing to support his unsubstantiated claims.

The 55 votes from California electors put Biden over the 270 needed to win. Electors in all 50 U.S. states and the District of Columbia cast their ballots for president and vice president in time-honored constitutional ceremonies that took on new importance after Trump insisted without evidence that the election was “rigged.”
Trump was beaten like a drum; what a wonderful time of the year. Never in his life has he been humiliated like this; debts did not humiliate him because of abusing and hiding behind bankruptcy laws, however, this time he has been openly strangled in the neck.
 
Trump was beaten like a drum; what a wonderful time of the year. Never in his life has he been humiliated like this; debts did not humiliate him because of abusing and hiding behind bankruptcy laws, however, this time he has been openly strangled in the neck.
This interview was made in 2016 by a man who knew Donald Trump inside out...watch!

View attachment The real DT.mp4

WOW!​
 
This interview was made in 2016 by a man who knew Donald Trump inside out...watch!

View attachment 1651865

WOW!​
Thanks for sharing; this speaker seems to know Trump very well, since all that he said then is happening now. In any case, Trump is gone! This anger created by Trump will soon wear out, and look how is ego and pride is obliterated across the globe now!

1608153608968.png
1608153665932.png
1608153767444.png
1608153817496.png

Those TRUMP letters are taken to a junkyard

1608153922390.png

Many people did not now this this moron just boasted of having a lot of money and owning properties all over the world, but indeed all those buildings are not his, he just licenses them to use the name TRUMP and their real owners have been trashing that name at the speed of light!
 
TRUMP NA MAKOVU YA UONGOZI WAKE

Ni takribani mwezi umebaki kuapishwa kwa Rais Mteule J.R Biden na Rais Trump kuaondoka kasri la WH
Trump ni Rais atakayebaki katika vitabu vya Historia ya nchi hiyo kama kiongozi wa ajabu na aliyeshindwa

Katika mambo ya kushangaza ni ule uwezo wa Trump kusahaulisha umma lile la jana ili wajali la leo asemalo

Kwa mfano, watu wamesahau hakuna siku Trump ameomba radhi au amekubali kushindwa au kuwajibika

Trump amepanda ngazi kwa tuhuma za uzawa 'birtherism' na hata alipofikia kuwa mgombea, Trump alisema Rais Obama kazaliwa Marekani, hakuwahi kuomba radhi kwa tuhuma za miaka nenda rudi dhidi ya Obama.

Mwaka 2015 kuelekea 2016 Trump alitoa tuhuma za uchaguzi kuibwa ndani ya Republicans. Kwamba , kila aliposhindwa katika primaries alidai uchaguzi kuibwa 'rigging' .

Ndivyo ilivyokuwa hata alipopambana na Hillary Clinton.
Tuhuma hizo zilimzuia Rais Obama kuchukua hatua dhidi ya Russia kwani ingeonekana madai ya Trump ni kweli.

Uchaguzi wa 2020 nao ni hivyo hivyo kila aliposhindwa, uchaguzi ulibwa aliposhinda mambo mazuri

Kwa miaka 4 Trump ameshindwa kurekebisha taratibu anazodai zinaleta wizi wa kura.
Viongozi na Watalaam wakiwemo wateule wake wanathibitisha uchaguzi wa US hauna ufujaji kama anavyodai.

Rais Trump sasa anakusanya pesa kwa watu wasioujua akidai atashinda uchaguzi alioshindwa tayari.
Ni utapeli ule ule alioingia nao sasa anatoka nao.

Katika hali ya kushangaza watu wanaamini utapeli wake bila kujiuliza.

Watu hao wanaomwamini Trump wameiweka GOP katika wakati mgumu sana.
Republicans inabomoka na wanaoibomoa ni 'white supremacists na proud boys' ambao katika kipindi hiki wamechanua.Juzi waliandamana wakisema 'destroy GOP'

Kundi hilo limewafanya wabunge 'Rep' na maseneta kumuogopa sana Trump.
Kila anapomwendea mtu kombo, atapoteza ubunge au useneta. Trump amebaki na nguvu kubwa ndani ya GOP

Kwa wale wanaoangalia siku za usoni kuwania Urais, hakuna njia nyingine ila kumuungan mkono Trump.

Kwa kufanya hivyo watakuwa na ushawishi na kupata usaidizi wa kundi la Trump. Ndiyo haya ya kujipendekeza

Republicans wapo katika remake kazi inayofanywa na kundi linaloitwa 'Lincoln Project'.

Katika mkakati wote wanao onekana kufuata Trumpism ili waungwe mkono na makundi yake sasa wanamulikwa

Nikki Haley, gavana wa S.Carolina na balozi UN, Tedd Cruz senata kutoka Texas, Marco Rubio gavana wa Florida, SoS Pompeo ni walengwa wa awali.

Hawa watakuwa na wakati mgumu sana siku zijazo na inatosha kusema 'wanazama na Trump'.
Idadi ni kubwa, wote walioshabikia Trumpism ni waathirika wa utawala wake siku zijazo.

Ingawa Trump ana mtaji wa watu 70+ milioni waliompigia kura, Biden amenshinda kwa kura milioni 7 zaidi ya kura milioni 3 za Hillary Clinton. Katika nchi iliyogawanyika mapande mawili makubwa kama Marekani, kura milioni 7 ni nyingi sana. Kutumia mtaji wa Trump na kusahau kura milioni 7 ni makosa.

Kwa muda mfupi Trumpism ni mtaji, kwa muda mrefu ni tatizo.
Hivyo, wanaotegemea Trumpism wana nafasi ndogo sana na watazama na Trump

Trump amezama na watu wengi na wengine wamepoteza heshima zao.

Kinachowasumbua Wamarekani kwasasa ni kitendawili cha 'Russia 'imebeba nini dhidi ya Trump?

Nchi inashambuliwa na Russia 'cyber attack'' Trump yu kimya kama yale ya Helsink, kulikoni? Kompromat?

Tusemezane
 
CYBERESPIONNAGE ?

Siku a karibuni kampuni binafsi zinazofanya kazi na serikali ziliitaarifu serikali ya Trump kuhusu kuingiliwa kwa mifumo ya computer. Uchunguzi wa awali umeonyesha kitendo hicho kimefanywa na Russia kuanzia mwezi July.

Ukubwa wa 'shambulio' hilo unazidi kupanuka kila siku ukihusisha taasisi mbali mbali.
Hili limeonekana kama cyberespionage ambayo inaweza kutumika kwa cyber attack, Russia ikitaka

Unyemelezi wa siri za mataifa ni kitu cha kawaida baina ya mataifa hasa makubwa. Jambo hilo linafanyika ili kubaini au kuiba siri za kijeshi na kiuchumi. Kwa mataifa makubwa, uchumi ni sehemu muhimu ya usalama wa nchi.

Kinachotokea Marekani si kuingiliwa kwa mifumo, Wamarekani hufanya hivyo pia.
Tatizo kubwa ni ukimya ulioonyeshwa na Rais Trump.

Hata pale mifumo ya usalama inapomuonyesha ni Russia, Trump ima amekaa kimya au anasingizia nchi kama China bila ushahidi ilimradi tu kukwepa neno Russia

Rais Trump ameonekana kumgwaya sana Rais Putin na hakuna anayejua nini kilicho nyuma ya pazia.

Laiti tukio kama hilo lingefanywa na Iran, leo mvua ya mabomu ingenyesha Tehran
Laiti ingalikuwa China, taarifa za habari zingegubikwa na tuhuma zisizo na mwisho

Kwa Russia Rais Trump anakuwa kama mbwa aliyekutana na Chatu! kulikoni? Kompromat?

Siku 32 kuanzia sasa taarifa nyingi zitavuja hasa waajiriwa wa kasri jeupe watakapokuwa huru nje ya mjengo.

Funguo za makabati muhimu yenye nyaraka zitakuwa mikononi mwa bwana Biden.
Tayari, AG Barr anazungumza mambo ambayo hayakutarajiwa kwa kuzingatia upambe wake uliokubuhu

Habari za Trump kuhusu Russia zitatoka sehemu mbili, kwanza, kwa wapambe na pili kwa Russia.

Kuna watu wanafahamu habari zinazomhusu Trump na Kompromat ni lulu na hao wataziuza kwa bei mbaya

Hayo na mengine ya kisheria hasa kesi katika maeneo kadhaa yanamtia Trump kiwewe cha kuacha madaraka.

Kwasasa anasemekana kuwa na mpango wa kuwasamehe wanafamilia wake na marafiki zake waliotuhumiwa

Maswali ya kujiuliza, kuwasamehe kwa kitu gani ikiwa hawana makosa ?

Jambo linalomuumiza Trump ni jinsi mpangilio wa kesi ulivyo. Kuna kesi za federal ambazo yeye ana mamla nazo na anaweza kutoa msamaha. Zipo kesi zinazomkabili katika state na huko msamaha wake haufanyi kazi.

Kwa mfano, ipo kesi ya 'pesa chafu' ambayo Mueller aliipeleka New York. Wakati ukifika atawajibika tu

Imeelezwa wazimu umempanda kiasi cha kufikiria kutumia 'Martial law' ku suspend chaguzi za swing state ili abaki kuwa Rais. Hili anaweza kujaribu kulifanya lakini hatafanikiwa na linaweza kumvalisha nguzo za 'orange'

Kuna mipaka ya kucheza na Marekani, Trump anafahamu hilo akifikiri jinsi SCOTUS ilivyomtosa
Kwa vijinchi masikini vya hovyo sheria zinatumika kulinda watu, kwa Taifa kubwa kama US sheria zinalinda nchi

Trump hana chaguo zaidi ya kukabidhi funguo za WH, aende kukabiliana na adha ya mahakama

Tusemezane
 
Trump hana chaguo zaidi ya kukabidhi funguo za WH, aende kukabiliana na adha ya mahakama
Tusemezane
Breaking News: The right-wing news outlet Newsmax on Monday broadcast a lengthy statement to "clarify" false and baseless claims made on its platform about two vote-processing companies, Smartmatic and Dominion Voting Systems, and the 2020 election.

"Newsmax would like to clarify its news coverage and note that it has not reported as true certain claims made about these companies," John Tabacco said on the network.

Newsmax also posted the same statement on its website on Saturday. It said it had "no evidence" to back up certain election-fraud claims.

Smartmatic, a digital-security firm, has threatened to sue Newsmax, Fox News, and One America News Network over promoting false and defamatory claims that the firm engaged in or covered up voter fraud, The New York Times reported.

Siku ya kufa nyani, miti yote huteleza...vyombo hivyo vitatu vimekuwa mstari wa mbele vikieneza uongo kuhusiana na matokeo ya uchaguzi nchini Marekani kwa kudai hizo mashine zilitumika kumuibia kura Trump na kusababisha kushindwa kwake.

Leo hii, NEWSMAX imekuwa ya kwanza kujitokeza na kusema yafuatayo kuhusiana na tuhuma hizo za uongo za Trump na waumini wake...

View attachment Newsmax.mp4

Clarifications that aired on Fox News and Fox Business Channel over the weekend were different from the one that aired on Newsmax. The Fox hosts Maria Bartiromo, Jeanine Pirro, and Lou Dobbs used interlocutors to correct the record on various claims instead of reading a statement.

The Times said Dominion Voting Systems had also threatened to sue the Trump campaign and Sidney Powell, a lawyer who worked for the campaign who has spread lies and disinformation about the election results and the voting companies.

President Donald Trump and his allies, including Powell and his attorney Rudy Giuliani, have aggressively promoted baseless claims that the companies were part of a global cabal bent on stealing the race.

Kumbe tofauti na wanavyodanganya Fox News (FN) ndio FAKE NEWS haswaa!

View attachment Fox News.mp4
Kwa kweli njia ya muongo ni fupi! Naona FOX NEWS wanajaribu kujikosha...
 
He knows that he made up that story of rigged election in order to cover his ass.

Trump threatens 30-day reign of destruction on the way out of office

Joe Biden will be president in 30 days. Until then, the question is how much damage can be done by a vengeful, delusional soon-to-be ex-President swilling conspiracy theories, whose wild anti-democratic instincts are being encouraged by fringe political opportunists.

Donald Trump will retain the awesome powers of the presidency until noon on January 20, and there's never been a time when he has been subject to as few restraining influences or has had a bigger incentive to cause disruption.

The President is spending day after day in his White House bunker, entertaining crackpot theories about imposing martial law, seizing voting machines and staging an intervention in Congress on January 6 to steal the election from Biden.

Surrounded by the last dead-end loyalists,
Trump is flinging lies and political venom like King Lear in a crumbling Twitter kingdom, alarming some staffers about what he will do next.

On Monday, he huddled with a cabal of Republican lawmakers who plan to challenge the election on baseless claims of fraud at a special session of Congress to ratify the results on January 6.

Hata hivyo hizi ni sawa na mbio za sakafuni kwani moto anaofikiria anaweza kuuwasha huenda ukamuunguza yeye mwenyewe na hako kakundi kake cha kihuni. Tayari baadhi ya vyombo vya habari vilivyokwa vikimpa kichwa vimeanza kumwacha baada ya kumstukia kuhusu mipango yake miovu kwa kuogopa kushtakiwa kwa kusambaza tuhuma za uongo..
 
Back
Top Bottom