Biden anagombea tena na atashinda

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,395
Pamoja na uzee wake Rais Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti Rais Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa Rais Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
 
Pamoja na uzee wake raisi Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti raisi Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha Sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa raisi Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
Umekula maharage ya wapi?.
 
Kumbe hata marekani wajinga wapo sasa huyo kibabu ambaye anapoteza kumbukumbu kila dakika kweli bado wanamchagua awaongoze?
 
Pamoja na uzee wake raisi Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti raisi Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha Sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa raisi Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
Biden hana tena nguvu sana kwa yaliyotokea middle east lakini kama opponent wake ataendelea kuwa Trump anaweza akashinda tena, trump ana scandals nying sana
 
Pamoja na uzee wake raisi Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti raisi Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha Sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa raisi Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
Kwa hiyo lengo kubwa la raisi wa Marekani ni kupambana na magaidi Putin, Hamas , Iran nk?
 
Pamoja na uzee wake Rais Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti Rais Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa Rais Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
Jitahidi kuvuta bange nzuri(shada) na sio pushabo, siku nyingine utavaa chupi kichwani,,
 
Yule jamaa ni clone or something angalia anavyotembea anvyo angalia Kuna shida pahala
 
Pamoja na uzee wake Rais Biden atagombea tena na uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uraisi wake, Biden ameweza vizuri kumdhibiti Rais Putin kuwa tishio barani Europe.

Mpango wa Putin ulikuwa kuichukuwa Ukraine na kuwa sehemu ya Urusi. Vile vile huyo mpango ulikuwa ungetishia usalama wa Ulaya kwa jumps lakini Biden kamdhibiti na uchumi wa Russia umeyumba vibaya.

Kumbuka Urusi ni taifa la kidikteta kwa hiyo sio rahisi serikali ya Moscow kukiri hadharani kwamba uchumi umeyumba.

Vile vile Biden kapaisha sana uchumi wa USA kipindi cha Obama na Trump, uchumi wa China ulikuwa tishio lakini Biden ameimarisha Sana Uchumi wa marekani kiasi kwamba uchumi wa China umeanza kudorora.

Pamoja na matatizo ya uzee wa Rais Biden, lakini kwa sasa hivi hakuna wakumshinda kwenye uchaguzi wa marekani. Donald Trump Hana uwezo wa kushindana na Biden.
Rubbish.. matapishi.
 
Umebet vizuri! Licha ya kuhakikisha anafanya kila mbinu kumdhibiti Trump bado kura za maoni hazimpi uhakika sana.
 
Back
Top Bottom