Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,407
- 31,392
UCHAGUZI US
Ni miezi miwili imebaki kwa Taifa kubwa la Marekani kufanya uchaguzi.
Wiki mbili zilizopoita Democrats na Republican vilifanya mikutano ya kuwathibitisha wagombea.
Mwaka huu kutokana na gonjwa la Corona, vyama vimefanya isivyozoeleka ''unconventional convention
Rais Trump akiwa 'incumbent' akipingwa na mgombea wa Dems VP Joe Biden wakati wa utawala wa Obama.
VP Pence ataendelea ikiwa Trump atashinda, na Senata Kamala Harris atakuwa VP ikiwa Biden atashinda.
Kuna mengi yanaendelea kuhusiana na uchaguzi wa Marekani. Gonjwa la Corona limebadili mambo yanavyofanyika kuanzia (convention) hadi mikutano ya kampeni.
Lakini pia Rais Trump amebadili mwenendo wa mambo mengi akitafuta namna ya ushindi
Gonjwa la Corona lililochukua roho za Wamarekani 180,000 halitoi nafasi nzuri kwa Rais Trump kwa kile kinachosemwa kushindwa kuongoza dunia au Taifa lake katika mapambano ya Corona.
Matukio ya weusi kuuawa na Polisi na hivyo kulipa nguvu kundi la Black Lives matter nguvu nalo limegeuza mwenendo wa uchaguzi kwa namna tofauti, nzuri kwa Joe Biden mbaya kwa Trump.
Kadri muda unavyosonga matukio hayo yanageuza mwenendo na kuwa mzuri wa Trump na mbaya kwa Joe Biden. Kuna sababu!
Katika mabandiko ya uzi wa uchaguzi wa Marekani, niliwahi kueleza kutoafikiana na kundi la Black Lives Matter(BLM) kutokana na kuongozwa na ima watu wasio na uwezo au ufahamu wa mambo.
Ni kundi linaloungwa mkono na wengi kutokana na matukio na si kutokana na ujenzi wa hoja.
Haiwezakani weusi waue weusi wenzao na BLM wawe kimya. BLM wadhani kuna uonevu wa Polisi ikiwa miji mingi wanayoishi kama Chicago ni mauaji ya weusi kwa weusi kwa wingi kuliko yale a Polisi.
Hivyo, reactions ya BLM mara nyingi inaongozwa na hisia na si ukweli kwa kuzingati historia.
Kwa mantiki hiyo, niliweka wazi kuwa kundi hili litakuwa tatizo kwa Joe Biden
BLM wanataka Police defund bila kueleza watapata nini kutokana na defund. Haiwezekani kufeli kwa maelezi ya familia kuwe tatizo linalohitaji pesa. Kwamba, defund itasaidia commnity programs. Hii ni stupid excuse!
Matatizo katika black communities ni kutoka na 'failure katika family level'' na hasa elimu
Rais anatumia vurugu kuwatisha weupe kwamba, weusi wanakuja juu na huenda ukawa mwanzo wa mwisho . Lakini pia katika vurugu hizi, kuna cultural war ambayo nchi za nje kama Urusi zinatumia kuwagawa Wamarekani. Mgawanyiko wa Wamarekani unampa fursa nzuri sana Rais Trump.
Marekani ina weupe wengi kuliko weusi na hali yoyote itakayochagiza weupe kupiga kura kwa mgombea itatoa ushindi. Rais Trump amekomalia sana vurugu zinazoendelea kwa kile wanachosema ' stoke fear'
Kabla ya vurugu, Trump alikuwa na hali ngumu. Hoja ya uchumi ilikuwa mfu kutokana na wengi kupoteza kazi. Hoja ya corona ilikuwa inamtafuna, na sasa amefanikiwa kuziua hoja zote mbili , yaani uchumi na corona kutokana na vurugu za BLM.
Lakini si hilo, katika mzunguko wa habari za siku nyingi ni vurugu na hilo linampa Trump nafasi ya kufanya vitu vyake katika kuhakikisha anahujumu uchaguzi au anabadili mwenendo.
Mfano, suala la kura kwa njia ya Posta na jinsi alivyohamisha na anavyozorotesha shughuli za Posta makusudi.
Pili, leo kuna taarifa wa national intelligence hatawajibika kwa kundi la Bunge linalojulikana kama Gang of 8
Gang of 8 linapokea taarifa zote za usalama na nyeti. Wiki chache zilizopita Intel iliripoti kuwa Russia wameendelea na juhudi za kumsaidia Trump. Hivyo, Trump na Director wake wanataka kuficha uchafu
Hayo yote yanafanyika kwasababu ya focus kuhamia kwenye vurugu zaidi katika news circle.
Haina maana maandamano ni mabaya, kwa nchi zenye uhuru wa maoni hiyo ni haki. Tatizo ni pale makundi ya watu weye vurugu kama waporaji wanapokuwa sehemu ya maandamano.
Hii maana yake ni kuwa BLM wana responsibility ya kuhakikisha usalama, wameshindwa na sasa wanaiumiza Democrats kuliko kuisaidia .
Tutaendelea kujadili kadri tunavyosonga mbele
Ni miezi miwili imebaki kwa Taifa kubwa la Marekani kufanya uchaguzi.
Wiki mbili zilizopoita Democrats na Republican vilifanya mikutano ya kuwathibitisha wagombea.
Mwaka huu kutokana na gonjwa la Corona, vyama vimefanya isivyozoeleka ''unconventional convention
Rais Trump akiwa 'incumbent' akipingwa na mgombea wa Dems VP Joe Biden wakati wa utawala wa Obama.
VP Pence ataendelea ikiwa Trump atashinda, na Senata Kamala Harris atakuwa VP ikiwa Biden atashinda.
Kuna mengi yanaendelea kuhusiana na uchaguzi wa Marekani. Gonjwa la Corona limebadili mambo yanavyofanyika kuanzia (convention) hadi mikutano ya kampeni.
Lakini pia Rais Trump amebadili mwenendo wa mambo mengi akitafuta namna ya ushindi
Gonjwa la Corona lililochukua roho za Wamarekani 180,000 halitoi nafasi nzuri kwa Rais Trump kwa kile kinachosemwa kushindwa kuongoza dunia au Taifa lake katika mapambano ya Corona.
Matukio ya weusi kuuawa na Polisi na hivyo kulipa nguvu kundi la Black Lives matter nguvu nalo limegeuza mwenendo wa uchaguzi kwa namna tofauti, nzuri kwa Joe Biden mbaya kwa Trump.
Kadri muda unavyosonga matukio hayo yanageuza mwenendo na kuwa mzuri wa Trump na mbaya kwa Joe Biden. Kuna sababu!
Katika mabandiko ya uzi wa uchaguzi wa Marekani, niliwahi kueleza kutoafikiana na kundi la Black Lives Matter(BLM) kutokana na kuongozwa na ima watu wasio na uwezo au ufahamu wa mambo.
Ni kundi linaloungwa mkono na wengi kutokana na matukio na si kutokana na ujenzi wa hoja.
Haiwezakani weusi waue weusi wenzao na BLM wawe kimya. BLM wadhani kuna uonevu wa Polisi ikiwa miji mingi wanayoishi kama Chicago ni mauaji ya weusi kwa weusi kwa wingi kuliko yale a Polisi.
Hivyo, reactions ya BLM mara nyingi inaongozwa na hisia na si ukweli kwa kuzingati historia.
Kwa mantiki hiyo, niliweka wazi kuwa kundi hili litakuwa tatizo kwa Joe Biden
BLM wanataka Police defund bila kueleza watapata nini kutokana na defund. Haiwezekani kufeli kwa maelezi ya familia kuwe tatizo linalohitaji pesa. Kwamba, defund itasaidia commnity programs. Hii ni stupid excuse!
Matatizo katika black communities ni kutoka na 'failure katika family level'' na hasa elimu
Rais anatumia vurugu kuwatisha weupe kwamba, weusi wanakuja juu na huenda ukawa mwanzo wa mwisho . Lakini pia katika vurugu hizi, kuna cultural war ambayo nchi za nje kama Urusi zinatumia kuwagawa Wamarekani. Mgawanyiko wa Wamarekani unampa fursa nzuri sana Rais Trump.
Marekani ina weupe wengi kuliko weusi na hali yoyote itakayochagiza weupe kupiga kura kwa mgombea itatoa ushindi. Rais Trump amekomalia sana vurugu zinazoendelea kwa kile wanachosema ' stoke fear'
Kabla ya vurugu, Trump alikuwa na hali ngumu. Hoja ya uchumi ilikuwa mfu kutokana na wengi kupoteza kazi. Hoja ya corona ilikuwa inamtafuna, na sasa amefanikiwa kuziua hoja zote mbili , yaani uchumi na corona kutokana na vurugu za BLM.
Lakini si hilo, katika mzunguko wa habari za siku nyingi ni vurugu na hilo linampa Trump nafasi ya kufanya vitu vyake katika kuhakikisha anahujumu uchaguzi au anabadili mwenendo.
Mfano, suala la kura kwa njia ya Posta na jinsi alivyohamisha na anavyozorotesha shughuli za Posta makusudi.
Pili, leo kuna taarifa wa national intelligence hatawajibika kwa kundi la Bunge linalojulikana kama Gang of 8
Gang of 8 linapokea taarifa zote za usalama na nyeti. Wiki chache zilizopita Intel iliripoti kuwa Russia wameendelea na juhudi za kumsaidia Trump. Hivyo, Trump na Director wake wanataka kuficha uchafu
Hayo yote yanafanyika kwasababu ya focus kuhamia kwenye vurugu zaidi katika news circle.
Haina maana maandamano ni mabaya, kwa nchi zenye uhuru wa maoni hiyo ni haki. Tatizo ni pale makundi ya watu weye vurugu kama waporaji wanapokuwa sehemu ya maandamano.
Hii maana yake ni kuwa BLM wana responsibility ya kuhakikisha usalama, wameshindwa na sasa wanaiumiza Democrats kuliko kuisaidia .
Tutaendelea kujadili kadri tunavyosonga mbele