Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
Mambo yote yalikwenda sawa bila shaka.... Nilidhani ungewapongeza cdm kwa ushindi mnono. Roho inauma lakini usijali sana. Japo mmepoteza nguvu na mali nyingi nyinyi hela mnazo kibao sijui mnapata wapi. Mmeweza kununua kila kitu ila mioyo ya watu. Mioyo ya watu haina thamani. Utawala mbaya (bad governance), mbinu na mikakati chafu kwenye siasa na uchaguzi itawatafuna hadi kwisha kwenu. Dhambi kubwa ya ccm (chama cha mwalimu nyerere) ni kula meza moja na mafisadi wa kibepari. Kwa sasa wamekiteka chama kilichokua cha wavuja jasho. Inafaa alama ya jembe na nyundo mfute kwenye bendera maana haina tena maana.
 
CCM: We're working on claims of bribery in polls

By Prosper Makene

15th July 2013

mangula-july15-2013.jpg

CCM Vice Chairman, Philip Mangula


The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) said yesterday that it is still working on allegations that some of its members used bribes to win posts during the party’s elections last year.

During the celebrations to congratulate Dr Jakaya Kikwete and other leaders who were re-elected to various posts last year CCM’s Vice Chairman Philip Mangula said that his party would dispatch a team to areas suspected of foul play during the elections and gave them six months to carry out the investigation.

Speaking yesterday over the phone in Dar es Salaam, CCM Secretary of Ideology and Publicity Nape Nnauye said the time has been extended as allowed by the Party’s election laws and regulations to enable the teams to seek more evidence.

“We are aware that people are questioning the delay to name the people who used corruption during election, but the allegations are so many and therefore in order to come up with appropriate decisions, we have extended the investigation time as per laws,” he said

He added: “The special committee on this issue is travelling in all regions where there are such allegations to investigate and interview people and come up with recommendations that will be put before the party’s decision committee.”
“We believe at the end everyone who has been accused is getting all the rights including the right to be heard. This will give us the chance to provide the decisions,” he said

Mangula told reporters last year: “In accordance to our election regulation of 2012, section 33(2) it is not allowed for any party leader or a candidate to use bribes for the sake of getting a position, hence if found guilty, they lose their positions…”


SOURCE: THE GUARDIAN
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).

siku zote huwa unaongea pumba, leo naona umebadilika, karibu CHADEMA dogo mpiga debe wa nyinyiemu.
 
...kwa matokeo haya bado nitaendelea kushangaa kama mwenyekiti wa ccm na CC yake wataendelea kuwakumbatia wajingawajinga kama Mwigulu wanaofanya siasa taka za chuki.......time to get rid of the dead bit.....
 
Mzee Nape nashukuru kulielewa na kulikubali hilo kama unamaanisha ulichokipost hapa.Ila pamoja na yote hayo unapoingia vtani hujiandai kushindwa tatizo ni nguvu kubwa na udhalimu mliotumia ktk uchaguzi ule.SASA BASI HAWA NDO HAWAJAKUBALI WALA KUELEWA HEBU BAAMBIE BATAKUELEWA ONA WANAVYOHUZUNIKA NA YALOTOKEA!!
2.jpg
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mambo yote yamekwenda sawa).
I hate CCM but this is a wise comment
 
This is in excess of too much jamani! I urge Mods to regulate such acts in the category of defamation
attachment.php

 
pole gamba naona umenyeshewa mvua

naona gamba linalouwa watu kichwa chini

2.jpg

Jana nilisema Magamba lazima wakae na wamekaa kweli,pole sana brother kaka Nchemba,hapa umetoka kapa,labda umeambulia kale kamchezo kakao unakokapenda,na hili baridi la Arusha,mh sijui
 
Wa mwaga damu ni ninyi na polisi wenu mtu akidai hakiyake mnadai hana heshima na huo ndio mwanzo2 chukueni pesa zetu kupitia laini zetu ila 2015 mtatoka2
 
Back
Top Bottom