Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

unaposema ulikua ubabe.. kwahiyo Umekwisha fanikiwa kuwavua gamba??? Jibu swali acha jaziba bwana mdogo....

Kumbe wewe kwako wewe kujivua gamba ulikua ubabe? Kama ndio iko kazi....hilo jingine peleka kwenye udaku nikikosa kazi nitakuja kukujibu huko...
 
Kumbe wewe kwako wewe kujivua gamba ulikua ubabe? Kama ndio iko kazi....hilo jingine peleka kwenye udaku nikikosa kazi nitakuja kukujibu huko...

Mkuu cunguja vizuri. Inamaana CCM tumeshindwa kata zote Arusha?.
Mia
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Huyu Nape Nnauye ni mjanja sana, anajua siasa, jamani huyu jamaa angetusumbua sana, tunamshukuru Mungu kwa kutuletea Mwiguru Nchemba, Nape Nnauye ni mwepesi wa kubalisha mawazo.... mzalendo, iko siku atafanya maamuzi magumu hakyamungu CCM watamshangaa sana.... hawataamini uwamuzi wake, yeye ndani ya chama chake hakubaliani na mambo yanavyokwenda, kashausoma mchezo na kagundua kwamba kuna mistake, sasa afanyeje..... hapo ndipo anapopata kigugumizi.

Nape Nnauye Chadema ni mpango wa Mungu, fanya maamuzi mazito jamaa zako wakushangae.... usisahau ulikuwa maarufu kwa sababu ulianza kuwanyoshea kidole wale wote waliofuja mali za umma, lakini Nape Nnauye umesahau kelele zako pale kiwanjaa cha uvccm lilipoingia mikononi mwa wajanja? Nape Nnauye zile kelele zako ndizo zilizokufanya ufahamike, watanzania wakawa na wewe, wakakuamini, sasa wanashangaa imekuwaje umejiunga nao tena?

Nape Nnauye nakupongeza kwa kuwa mkweli.
 
Kumbe wewe kwako wewe kujivua gamba ulikua ubabe? Kama ndio iko kazi....hilo jingine peleka kwenye udaku nikikosa kazi nitakuja kukujibu huko...

Unakubaliana na mimi chama chako kinazidi kupoteza umaarufu?
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

:thumbdown:
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Wewe nape kijana mwenzangu nakuheshimu sana katika siasa ila naomba ujue kuwa kuna kitu ktk auditing kinaitwa root cause, sina shaka unajua maana yake. Siku mkikaa kutathimini matokeo haya tafuta root cause ya nyie kushindwa. CCM itaangamia kwa sababu ya kuwatumia watu wasio kuwa na matamko yenye heshima kwa raia, vilevile hao ma RC nao ni janga jingine, ifike mahala ma RC waache kutumia polisi kisiasa hasa ktk maeneo ambayo ccm inakataliwa. Pia jadili mtu huyu mwigulu, sijui kama anafaa kuwa mpiga kampaini. Ndo hayo bro. wangu.
 
Kuna watu wameulizza
sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika
kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima
ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo
yote yamekwenda sawa).
ndugu nape nnauye ahsante kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa na kusema ukweli maana msema ukweli ni mpenzi wa Mungu wewe una siasa za kistaarabu,una hali fulani ya ustaarabu na siasa za uvumilivu mshauri huyu ndugu yako apunguze chuki,afanye siasa za utulivu maana nyie bado ni vijana mna safari ndefu,msijiharibie..siku moja mnaweza kujikuta chadema,historia inaweza kuwasuta.big up for conceding.
 
Hii mijitu sijui vipi. We sio ulisema CDM walijilipua kwa kujua wanashindwa? Kama ulijua kuna kushindwa ilikuwaje mpaka mkaua watu? Time yenu imeisha nyie wezi na hiyo mitumbo tumbo yenu itanywea
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Ni kweli kijana, ila kukubali huko kusiishie Arusha tu, muendelee nako hata 2015 maana kwa mara ya kwanza 2015 mtakuwa na wapiga kura tuliohitimu shule za kata-mmetuonjesha pepo (Elimu ya Sekondari) halafu mkatunyima fursa ya kufanya ibada (mazingira bora ya kusoma), mwisho wa siku tumeikosa pepo ya milele (tumepata zero). Hivyo tuna hasira na nyinyi
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Ni kweli, ni wakati muafaka wa kuwapa moyo wana CCM waliokata tamaa baada ya kushindwa vibaya pamoja na hujuma zote na usaidizi wa dola,
Lakini mh. katibu wa NEC, unazungumziaje kauli yako uliyotoa kwamba CHADEMA walijilipua baada ya kujua kuwa watashindwa uchaguzi Arusha?
 
Kwa mara ya kwanza kama mpinzani mkuu wa CCM kwa sera zao za kiuovu, ubabe, wizi, mauaji na ushetani wote ........ nimemuonea huruma sana Nape Nnauye ! Pole kaka ...
 
Last edited by a moderator:
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Safi sana Nauye kwa kukubali matokeo lakini ukiona ccm wamekuwa wapole hivi kuna plan B ambayo imebaki kichwani mwao tusubiri

Hakuna cha plan B mzee kama wataendelea kumtegemea Mwigulu mchemba wasubirie anguko lakutisha kitambo kidogo!
 
Naona jamaa karudi mpole.....Ila kuna nyuzi zingine anatakiwa azipitie kukanusha ile habari ya kurekodiwa na watu wa Mwigulu...
Binadamu kuna kujikwaa,nafikiri ndio itakuwa karata ya mwisho ya kummaliza,mwache aendelee kuleta kashfa zake za ajabu ajabu hasa kwa Dr Slaa.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Siamini, labda kwa sababu alikuwepo Mwigulu Nchemba alikuwepo na kushindwa kwa CCM ni kushindwa kwake.
 
Last edited by a moderator:
ndugu nape nnauye ahsante kwa kuonesha ukomavu wa kisiasa na kusema ukweli maana msema ukweli ni mpenzi wa Mungu wewe una siasa za kistaarabu,una hali fulani ya ustaarabu na siasa za uvumilivu mshauri huyu ndugu yako apunguze chuki,afanye siasa za utulivu maana nyie bado ni vijana mna safari ndefu,msijiharibie..siku moja mnaweza kujikuta chadema,historia inaweza kuwasuta.big up for conceding.

Wapi huyu mnafiki mkubwa. They even killed innocent people! Leo eti kuna kushindwa?
 
Hongereni cdm kwa ushindi wenu, sasa mtambuwe kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi hivyo muhimize wananchi watimize wajibu wao katika kujiletea maendeleo.
 
hahaha na hawa mashosti vip?


images

mkuu kachoma kifuani baasi meno yote nje na testosterone ikaongezeka
 
Back
Top Bottom