Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 482
Furaha ya ushindi imeanza kuwalevya, Nape anashinda anamwita dr Slaa majina mengi tu ya kuudhi na kupandikiza maneno ya ubaguzi wa kikabila na udini kwa haka kapost mnataka tumweke kundi la watu wastaarabu! Acheni utani
mkuu unachosema ni kweli. Nape ni kati ya vijana ambao kwa nafasi aliyo nayo kwenye chama chao. hana staha kabisa! Anavyo behave, aina ya majibu anayotoa, anavyotoa lugha ya matusi kwa viongozi kama Slaa bila sababu yoyote ya msingi, kisa eti Dk, yupo chama cha upinzani, is a disgrace.
Hawezi hata siku moja akawa mstaarabu, mtu kama nape na mwenzake mwigulu!