Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Uchaguzi una kushinda na kushindwa...

Mlipopanda Mabomu hivi mlitegemea kuvuna nini?
Damu ya watanzania wale haitapotea bure, lazima milipe hapa hapa duniani,
wazee wa makambi ya kufunza vijana ugaidi
Mkae chini mtafakari msaada mnaouhitaji kutoka polisi si msaada ni laana
watanzania wataendelea kuwakataa kwa siasa hizo,
sasa hivi jaribuni kuangalia muelekeo mpya wa siasa zenu
mwenyekiti wenu alishawaonya, ingawa nae sio kama alimaanisha alichokisema (ni mnafiki)
lakini mjue kuwa kwa sasa mkitumia siasa za kistaarabu watanzania wanaendelea kuwakataa.
lakini pia hata mkisema kuwa muendelee na kuwatumia polisi na TISS wachovu wa mikakati bado watawagharimu
kwani mipango yao na ushauri wao ambao nanyi hamna budi kuufuata unawagharimu kwani wamekuwa (TISS) wakibuni mbinu za kitoto na zilizopitwa na wakati, ni bora hata mngeunda kikosi kazi cha ubunifu pale Lumumba kwa kuwatumia vijana wenu walioiva kuliko kuendelea kuitumia TISS hii ya kichovu yaani utadhani nao lengo lao ni kutaka mharibikiwe zaidi, lakini ukweli ni kuwa wao upeo wao umefika mwisho, elimu yao ni ndogo sasa unadhani watakuja na ubunifu gani zaidi ya video za kubumba kama ya Lwakatare.
kazi mnayo magamba
 
@nape nauye hana uchungu na Arusha kwa sababu ndiko anakotoka Mamvi ndoo maana dogo amekubali kushindwa. In short Nape amegurahi
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

Mkuu wangu kichama safi sana ,hawa viwavi wanastahili kuelimishwa sana
 
Na 2015 Mkikubali kushindwa kama hivi, tutakuwa na demokrasia kama ya marekani. watumieni bac washindi wetu salaam za pongezi kiroho safi.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).
Rephrase kidogo kauli yako mazee... Sema kwenye uchaguzi kuna kushinda, kushindwa na kurusha mabomu (kama mlivyofanya mwezi uliopita)...
 
Mimi simpendi @Nape kwa sababu huwa anapiga propaganda hadi anakera. But, the young boy is smart...hana hisia za kuua wanaokikataa chama chake. Sincerely speaking. Amekuwa nasi kabla ya ujio wa hayawani Mwigulu. Nape si muumini wa Siasa za Majitaka.
 
Last edited by a moderator:
Hapo tu ndipo napo mkubaligi kidogo huyu gamba nape,akichapwa huwa anakubali yaishe,refer arumeru na kwny kura za maoni ubungo.siasa za huyu bwana mara nyingi huwa anashindanisha hoja sio mauaji na ugaidi kama lile litaahira.hizi ndizo siasa za kisasa,kushinda na kushindwa yote ni matokeo.
 
Ki ukweli @NAPE NAUYE huwa anakubari kushindwa haraka sana kama tu ustadhi Abdalla wa kichina amehusika katika kampeni. Lkn kwa hili la Arusha nasikia Nape hata yeye hajapenda siasa za kijinga jinga za savimbi wa kichina na eti sasa hivi ingawa hawajabwatukia lakini hawaivii chungu kimoja
 
Hongera Nape kwa kulitambua hilo. Nadhani nyie kama chama kikongwe mnajukumu la kuonesha mfano wa how it should be like when you lose. Concede the defeat and move on but don't forget to say the right things at that moment maana wengi huweka attention kubwa kumsikiliza aliyeshindwa kuliko hata aliyeshinda.

Hope mtatumia kushindwa kwenu kama opportunity ya kujifunza na kuangalia strattegies zenu kwenye ground. Barcelona hucheza mpira wa pasi nyingi kwahiyo huwezi na wewe kuja na formation ya kutaka kucheza kama wao halafu uwafunge, its high time to re-evaluate your strattegies because this time you lost.
 
Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).

wewe ni kiongozi jitahidi kuwa makini unapoandika, hapo kwenye red sijui ulikuwa unamaanisha nini?

Unaleta unafiki mbona mlichelewesha hii aibu kwa kupiga mabomu na kuua watu kwenye mkutano wa kufunga kampeni wa CHADEMA.
 
Poleni sana masisiem,hakika wananchi wanakataa dhuluma na kuchagua HAKI,"Tulianza na Mungu na tumemaliza na Mungu"
 
Hisia zako hazinihusu!....
Hii hukutakiwa kujibu ila jamaa kakuprovoke kifundi hukuona hila yake,sasa hiyoimedhihiri umefurahia kweli,jibu na hii nikuonyeshe huwa tunang'amuaje watu wa sampuli yako.
 
Back
Top Bottom