Rita Mlaki na Mama Anne Kilango Malecela, nao ndani ya list ya wanawake 39 waliopitishwa kugombea nafasi 13 tu!
Lowassa na Sumaye, nao wamo kwenye list ya waliopitishwa ikiwa ni watu 60, wanaogombea nafasi 20 tu! Why this big numbers kwa ajili ya nafasi chache?
Lakini the best news out of this kikao, ni za Nchimbi kuandamwa na kivuli chake yeye mwenyewe, hapa nitoe heshima kwa wana-forum hii ambao toka kifo cha Amina Chifupa(RIP), kitokee tulisimama kidete na kusema kuwa in one way or another, kwamba Nchimbi anahusika nacho, na kwamba miikono yake imejaa damu!
Post zote za namna hiyo tulizipenyeza kwa wakulu na hasa wabunge, na hatimaye media yetu uchwara ya bongo ikasimama kidete na kumshambulia sana Nchimbi, kwa kumuunganisha na vifo viwili, yaani cha Ipyana(RIP) na Amina Chifupa(RIP), hatimaye the message imefika,
1. Wabunge karibu wote sasa hawataki kabisaa kukaribiana naye na hata kuonekana naye in public!
2. Kwenye vikao vilivyofanyika huko Dodoma, alikuwa akivizia vya usiku tu, na the great news ni kwamba hakuchukua fomu yoyote, ikiwa na maana kuwa he is out of vikao vya chama, once mwenyekiti mpya wa UV-CCM akishachaguliwa, ambaye ni clear kuwa hatakuwa mtu wake Nchimbi, hataingia tena kwenye CC na the greatest news kwa wa-Tanzania wote ni kwamba hakutakuwa tena na uwezekano wa kugombea urais in the future, I do not care what ninasema that is the great news kwa wananchi wote wastaarabu na wapenda amani!
3. Sasa hatimaye hata Muuungwana, naye aanza kumkwepa baada ya kumwambia wazi kuwa it is about time sasa akatafuta another professional,
Respect kwa wazee wote mliotoa kali za kumlaani Nchimbi
na kifo cha Amina Chifupa, maana tembo mkubwa sasa anakaribia kuanguka pu! Chali!