Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
ES
1. Ridhiwani anagombea ujumbe wa mkutano mkuu kama mwakilishi wa wilaya ya Bagamoyo. Hagombei NEC kama ulivyodhani hapo awali.
Ushahidi huu hapa:
http://dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=2046
2. Zitto kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu ni habari inapewa uzito wa hali ya juu, badala yake kina Nchimbi na Amina ndio wanalaumiwa kweli kweli kuhusu kadhia wakati na Zitto nae alikuwa ni mhusika mkuu.
Katika enzi hii ya vijana kuaswa kuachana na maambukizi ya UKIMWI Zitto anaonekana kidume! kwa kutembea na mke wa mtu, hata kama kajipitisha?! Inamaana richmond ikijipitisha napo kosa litakuwa ni la richmond kujipitisha sio Zitto kula rushwa?
Lakini the bottom line mimi in my personal capacity nisingemshari Ridhwani aingie kwenye siasa kwa wakati huu kutokana na sababu nilizozitoa hapo awali
1. Ridhiwani anagombea ujumbe wa mkutano mkuu kama mwakilishi wa wilaya ya Bagamoyo. Hagombei NEC kama ulivyodhani hapo awali.
Ushahidi huu hapa:
http://dailynews-tsn.com/habarileo/page.php?id=2046
2. Zitto kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu ni habari inapewa uzito wa hali ya juu, badala yake kina Nchimbi na Amina ndio wanalaumiwa kweli kweli kuhusu kadhia wakati na Zitto nae alikuwa ni mhusika mkuu.
Katika enzi hii ya vijana kuaswa kuachana na maambukizi ya UKIMWI Zitto anaonekana kidume! kwa kutembea na mke wa mtu, hata kama kajipitisha?! Inamaana richmond ikijipitisha napo kosa litakuwa ni la richmond kujipitisha sio Zitto kula rushwa?
Lakini the bottom line mimi in my personal capacity nisingemshari Ridhwani aingie kwenye siasa kwa wakati huu kutokana na sababu nilizozitoa hapo awali