William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #301
Kwanza kabisa tukumbuke kuwa tunaweza kuwa wana CCM, Chadema au CUF, lakini kwanza ni watanzania, na tunataka mtanzania anayeijali Tanzania na kulinda maslahi ya Tanzania. Regarldless anatoka chama gani.
- Mkulu Bongolander, maneno mazito sana hayo ndio maana tunasema hivi, so far tunaamini kwamba katika the perfect world yenye perfect life, Tanzania kama tunatka kusonga mbele kuliko tulipo sasa, basi kwa kuanza tu ni kwamba:
Rais lazima awe Dr. Slaa, Waziri Mkuu Magufuli, huku Mbowe akiwa Mwenyekiti wa Chama kinachotawala, yes I said it!, Dr. Kitila ni waziri wa Takukuru, au?
- Halafu lazima tujifunze next time kuweka kigezo cha Rais asiyependa sana safari, I mean between Mkapa na Muungwana sasa, jamani taifa letu limetumia hela nyingi sana kulipai safari za hawa viongozi wetu, sasa tuseme mapema kwamba tunataka Rais asiyependa sana safari, vipi wakuu Dr. Slaa mnaomjua sio msafiri moli moli?
Respect.
FMEs!