- Wakuu uchaguzi mkuu wa taifa uko kwenye kona, Mzee Mandela aliwahi kusema kwamba kwenye ishu muhimu za taifa kama hizi kuwa kimyaa au kuwa neutral ni dalili za kuwa coward.
- Kwa wale tulio na influence ya namna moja au nyingine kwa taifa, ni vyema tukaweka wazi msimamo wetu kwa public kuhusu wagombea ambao tunaamini kwamba wanafaa katika kutusaidia taifa, nimekuwepo JF kwa muda mrefu sana sasa nikiwa na lengo moja tu, nalo ni siku moja kuliona taifa langu likiongozwa kwa kuheshimu sheria.
- Kwa hiyo leo nitaanza rasmi kuwataja wagombea ninaona wanafa kwa masilahi ya taifa letu, na sababu.
Hayo yatakuwa maoni ya mtanzania mmoja kati ya million 35 ya watanzania wote (a tiny dot on the sea ...). Hii kuwa na "influence" ndio dalili moja ya kujitofautisha au "elitism". Kama kweli tunataka kuleta heshima kwa taifa na kuheshimu sheria, basi watanzania wote, hata mwanakijiji, anatakiwa kuwa na influence kwenye utendaji wa kila siku wa serikali ... hebu tusome mara kwa mara Preamble/Utangulizi wa Katiba yetu ya Jamhuri.
Hayo yatakuwa maoni ya mtanzania mmoja kati ya million 35 ya wantanzania wote (a tiny dot on the sea ...). Hii kuwa na "influence" ndio dalili moja ya kujitofautisha au "elitism". Kama kweli tunataka kuleta heshima kwa taifa na kuheshimu sheria, basi watanzania wote, hata mwanakijiji, anatakiwa kuwa na influence kwenye utendaji wa kila siku wa serikali ... hebu tusome mara kwa mara Preamble/Utangulizi wa Katiba yetu ya Jamhuri.
- Mkuu labda useme nani anafaa kuwa Rais wetu wa kuweza kupigana na mafisadi? Hatuhitaji ligi wala malumbano ya kitoto hapa, naona unayatafuta kweli nakuahidi kwamba hapa hutayapata! labda kwa wengine sio mimi unahangika bure tu! na utabadilika mpaka uchoke!
- Ingawa pia lazima nikupe heshima maana unachangia sana huu mjadala, big up!
es!
Mtu kama Magufuli inawezekana anaweza maana hataki mchezo. What chances does he stand? Ana nguvu kiasi gani za kujitumbukiza na yet akabaki salama?Ni kama ametupwa pembeni wabaya wake wakisubiri siku ya kuadhirika.Lakini naona nyota yake imesimama imara inang'aa mpaka leo
- Mkuu labda useme nani anafaa kuwa Rais wetu wa kuweza kupigana na mafisadi? Hatuhitaji ligi wala malumbano ya kitoto hapa, naona unayatafuta kweli nakuahidi kwamba hapa hutayapata! labda kwa wengine sio mimi unahangika bure tu! na utabadilika mpaka uchoke!
Ehe ... mbona unaonyesha jazba ... haya yalikuwa maoni yangu. Remember this forum's moto "Where we dare to talk openly" and I could add talk freely. Au hujazoea kukusolewa maoni yako nini? Ufisadi is a product of an ingrained rotten system, an overhaul that needs a whole civic revolution and not the cronies that you will purport to suggest to fight it (who are the product of this rotten system).
- Mkulu Kakalende, maneno mazito sana haya, lakini ndio mchezo wa siasa unavyochezwa, kuzushiwa skandali ni part ya the game cha muhimu ni unavyoweza kuitumia hiyo skandali kwa faida ya kampeni yako, tizama Obama amezushiwa mangapi unakumbuka Bill Clinton na maneno yake kwamba hata Jesse aliwahi kushinda this state!
- Mwanasiasa wa kweli na anayeweza kupigana na mafisadi atasimama na ku-fight back na mpaka kushinda!
Ehe ... mbona unaonyesha jazba ... haya yalikuwa maoni yangu. Remember this forum's moto "Where we dare to talk openly" and I could add talk freely. Au hujazoea kukusolewa maoni yako nini? Ufisadi is a product of an ingrained rotten system, an overhaul that needs a whole civic revolution and not the cronies that you will purport to suggest to fight it (who are the product of this rotten system).
Hatuhitaji "Rais" ili kupambana na rushwa Tanzania. Tunachohitaji ni umma ulioamka, unaokataa (kama ulivyofanya wakati wa ukoloni) kuendelea na zoezi hili zima la kufanya maskini kwa maskini zaidi na matajiri (wanaoiba mali ya umma) kuwa matajiri zaidi.
FMeS! Salim alipopigwa chini na Urais aliapa kwamba hatajihusisha tena na siasa, au CCM alijifungia ndani kama siku nne akilia na kwamba hatajihusiha tena na Muungwana na Mkapa, infact alikuwa kwenye matayarisho ya kwenda kukutana na waaandishi wa habari Courtyard Hotel ili kuwachafua Mtandao na Mkapa, akawahiwa na Malecela akaacha na leo yeye na hao wote aliojiapiza nao ni damu damu! ndio politics!
FMeS! - Mambo ya kubebwa sasa hayana nafasi tena katika uongozi tunaoutafuta kuliokoa taifa letu, majuzi Warioba na Butiku wamejaribu sana kumbeba wakidhani ile nguvu ya Mwalimu bado ipo, lakini tizama yaliyomkuta ni aibu sana. Kiongozi wa kweli na unayemsema angesimama kidete na kupambana na mtandao mpaka kieleweke, lakini akaishia kujifungia ndani na kulia, majuzi Mama Kahama naye walimpomtwanga UWT naye alijifungia ndani na kulia, unaona sasa mkuu unasema huyu ndiye atapigana na mafisadi? Maneno kidogo tu anajifungia ndani na kulia?
FMeS! - Kwa sifa alizokua nazo Salim enzi za Mwalimu, sikutegemea kwamba atashindwa kushika urais at this time and moment, meaning kwamba alikuwa akibebwa yeye mwenyewe hana ubavu, alipokuwa OAU ameajiri waarabu wa Oman tu, never mbongo hata mmoja, akiwa OAU mlinzi wake mmoja Mtanzania amekufa katika mazingara yenye utata sana, amesoma ukomandoo Cuba ambako alipelekwa na Babu this is all I know,
FMeS! - Mkuu Joka, hii ni hukumu nzito sana na ndio kusimama kwenyewe huku ili kuhesabiwa, saafi sana zako ni hoja nzito sana na mimi binafsi ninazikubali sana kwamba wananchi wengi hatumjui Salim na hata wale wanaomjua wengi hawaridhiki na uwezo wake kuwa Rais.
FMeS! nia na madhumuni yangu kuanzisha hii thread ni kuweka wazi ukweli na sio udaku wala majungu, I swear to my God kwamba hakuna udaku wala nonsense itakayopita hapa, ni facts, evidence na proven dataz, kila kiongozi atapewa nafasi ya kujua uwezo wake tena bila kujuana wala kubagua
- Ni ukweli facts na dataz ndio vitasimama hapa hakuna majungu wala udaku, anayefaa tutamsema na asiyefaa atasemwa na sababu! na huu ni mjadala wa mwaka mzima ujao mpaka uchaguzi uishe! Mfano ukow azi so far jinsi facts za kum-support Salim zinavyopwaya!
Kwanza napenda kuweka wazi kuwa, na hii ni kwa mujibu wa maagizo yake Dr Salim A Salim, kuwa hana ndoto wala nia yoyote ya kugombea ama kuvizia nafasi yoyote ya madaraka, iwe katika chama chake ama serikalini. Na hata kama itatokea hayo mnayodai kuwa yanaandaliwa yakawa ni ya kweli basi kuna uwezekano mkubwa wa yeye kukataa kwani anaamini kuwa utumishi kwa nchi yake sio lazima awe na madaraka.
Pili, kwa kuwa unadai kuwa hapa sio majungu wala udaku hivyo ni vizuri, ni muhimu na ni uungwana ukaweka facts, evidence na proven dataz zako kuhusu hayo uliyoyasema hapo juu, kama ambavyo unasisitiza hapa.
Kwa wengine wote ambao wana nia njema kabisa ya kumtaka Dr Salim arudi katika uongozi wa nchi yetu, ningependa kuwahakikishia kuwa hivi sasa Dr Salim amekuwa akifanya mengi kwa Rais wetu, Nchi yetu na Bara letu na ameridhika kabisa na nafasi aliyonayo sasa. Nasikitika kuwa sina ruhusa ya kusema hayo anayoyafanya sasa lakini ni mengi.
Hatuhitaji "Rais" ili kupambana na rushwa Tanzania. Tunachohitaji ni umma ulioamka, unaokataa (kama ulivyofanya wakati wa ukoloni) kuendelea na zoezi hili zima la kufanya maskini kwa maskini zaidi na matajiri (wanaoiba mali ya umma) kuwa matajiri zaidi.
- Mkuu nimekusikia, nia na madhumuni ya hii thread ni kuwataja viongozi wanaofaa na ikibidi wasiofaa,
- Haya maneno yako ni mazito sana lakini nakuomba yaanzishie thread yake inayohusu "Umma kuamka na kupambana na rushwa" itakuwa kali sana na itaelmisha sana wananchi.
Kwanza napenda kuweka wazi kuwa, na hii ni kwa mujibu wa maagizo yake Dr Salim A Salim, kuwa hana ndoto wala nia yoyote ya kugombea ama kuvizia nafasi yoyote ya madaraka, iwe katika chama chake ama serikalini. Na hata kama itatokea hayo mnayodai kuwa yanaandaliwa yakawa ni ya kweli basi kuna uwezekano mkubwa wa yeye kukataa kwani anaamini kuwa utumishi kwa nchi yake sio lazima awe na madaraka.
Pili, kwa kuwa unadai kuwa hapa sio majungu wala udaku hivyo ni vizuri, ni muhimu na ni uungwana ukaweka facts, evidence na proven dataz zako kuhusu hayo uliyoyasema hapo juu, kama ambavyo unasisitiza hapa.
Kwa wengine wote ambao wana nia njema kabisa ya kumtaka Dr Salim arudi katika uongozi wa nchi yetu, ningependa kuwahakikishia kuwa hivi sasa Dr Salim amekuwa akifanya mengi kwa Rais wetu, Nchi yetu na Bara letu na ameridhika kabisa na nafasi aliyonayo sasa. Nasikitika kuwa sina ruhusa ya kusema hayo anayoyafanya sasa lakini ni mengi.
- Ndugu yangu Omaaar, heshima yako mkuu na vipi habari za siku nyingi unajua ni siku nyingi sana, anyways karibu sana mkuu kwenye mjadala nilizoziweka ni dataz ambazo wewe kwa uakribu wako na Salim unajua wazi kwamba ni facts kwa sababu yametokea na yamefanyika,
- Kuna mahali nimesema ninamheshimu sana Salim as a person ndio maana sitaki kwenda deep na yote aliyoyafanya Addis, hapa tunachambua uwezo wa viongozi kama kiongozi ana uwezo zaidi ya inavyosemwa ni wajibu wako kuweka wazi unachotaka kukisema na kukanusha unachoona anaonewa! Otherwise sina mpango wa kumchambua kwa undani sana sina sababu!
- Ndugu yangu Omaaar, heshima yako mkuu na vipi habari za siku nyingi unajua ni siku nyingi sana, anyways karibu sana mkuu kwenye mjadala nilizoziweka ni dataz ambazo wewe kwa uakribu wako na Salim unajua wazi kwamba ni facts kwa sababu yametokea na yamefanyika,
- Kuna mahali nimesema ninamheshimu sana Salim as a person ndio maana sitaki kwenda deep na yote aliyoyafanya Addis, hapa tunachambua uwezo wa viongozi kama kiongozi ana uwezo zaidi ya inavyosemwa ni wajibu wako kuweka wazi unachotaka kukisema na kukanusha unachoona anaonewa! Otherwise sina mpango wa kumchambua kwa undani sana sina sababu!
Kaka kwa unachokifanya hapa sidhani kama unamheshimu hata chembe Dr Salim ambaye hata siku moja hajawahi kumvunjia heshima si mzazi wako na wala sio hao waliokuwa wakimtukana wakati ule na hadi sasa wanaendelea kwa njia nyingine.
Kudai huwezi kuweka facts kwa sababu unamheshimu ni njia ya kukimbia jukumu lako la kuweka the so called facts and dataz.
Ni kweli niko karibu naye na kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu hayo yanayo/ mnayoyasema na kujua ukweli wake. Sasa kwa kuwa wewe ndiye unayeweka tuhuma hapa na kudai kuwa ni facts, then ni jukumu lako kutoa huo unaoita ushahidi utakaosimamisha tuhuma zako.
Kaka kwa unachokifanya hapa sidhani kama unamheshimu hata chembe Dr Salim ambaye hata siku moja hajawahi kumvunjia heshima si mzazi wako na wala sio hao waliokuwa wakimtukana wakati ule na hadi sasa wanaendelea kwa njia nyingine.
Kudai huwezi kuweka facts kwa sababu unamheshimu ni njia ya kukimbia jukumu lako la kuweka the so called facts and dataz.
Ni kweli niko karibu naye na kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia kuhusu hayo yanayo/ mnayoyasema na kujua ukweli wake. Sasa kwa kuwa wewe ndiye unayeweka tuhuma hapa na kudai kuwa ni facts, then ni jukumu lako kutoa huo unaoita ushahidi utakaosimamisha tuhuma zako.
- Kuwajadili viongozi wetu sio kuwavunjia heshima na wala hakuna mzazi wa mtu yoyote hapa awe wako wala wangu, hapa wanajadiliwa viongozi wanaofaa na wasiofaa, sitaki kwenda deep sio kwamba ninaogopa anything ila sioni sababu,
- Omaar, ninajua kua Salim alikwenda kusoma Cuba kwa kuepelekwa na Mzee Babu na sababu ya kuwapeleka huko yeye na makomandoo wengine 10 akiwemo Mahafudhi ninaifahamu, sasa ninapokataa kwenda deep sio kwamba sina dataz au facts, mkuu mbona zipo kwenye files za CIA ambazo zinaruhusiwa publicly kule Congress Library, nextime ukiwa kule pitia kule utayaona mwenyewe!
- Mzee mmoja wa CC kutoka Zenji, aliwahi kuniambia hivi tunamkataa Salim kwa sababu zile zile zilizomfanya Reagan amkatae kuwa katibu wa UN, mkuu Omaaar ninamaliza kwa kusema hivi msimamo wangu ni kwamba Salim hatufai kwenye uongozi wa nafasi ya u-Rais, kwa sababu hajawahi kuonyesha uwezo wake either kwa maneno au vitendo, na hasa katika kupambana na mafisadi, nia na madhumuni hapa ni kutafuta Rais anayeweza kupambana na mafisadi.
- Na bado ninarudia tena kwamba sitaki kwenda deep kwa sababu ninamheshimu sana, lakini mapungufu yake tena mengine very ugly yanajulikana sana mkuu dunia ni ndogo sana sio kama unavyofikiri! Tafuta info Mkapa alipomuita Mzee Ngejembi na kumkataza kumpigia kampeni Salim alimuambia nini?
Hayo yatakuwa maoni ya mtanzania mmoja kati ya million 35 ya watanzania wote (a tiny dot on the sea ...). Hii kuwa na "influence" ndio dalili moja ya kujitofautisha au "elitism". Kama kweli tunataka kuleta heshima kwa taifa na kuheshimu sheria, basi watanzania wote, hata mwanakijiji, anatakiwa kuwa na influence kwenye utendaji wa kila siku wa serikali ... hebu tusome mara kwa mara Preamble/Utangulizi wa Katiba yetu ya Jamhuri.
Sungi, Heshima mbele mkuu wangu.
Hiyo thread achana nayo.Ukiendelea kubishana nao mwisho wake utafungiwa.
Kama alivyosema mmoja wao kuwa hapa jf kuna waganga wa kienyeji.wanaongelea vitu vya kufikilika.Mawazo yao ni kwamba,mtu anayesimama kwenye jukwa la siasa na kukemea ufisadi,basi huyo ni kiongozi bora kwa hiyo anafaa kuwa rais wa nchi.
Sungi, Heshima mbele mkuu wangu.
Hiyo thread achana nayo.Ukiendelea kubishana nao mwisho wake utafungiwa.
Kama alivyosema mmoja wao kuwa hapa jf kuna waganga wa kienyeji.wanaongelea vitu vya kufikilika.Mawazo yao ni kwamba,mtu anayesimama kwenye jukwa la siasa na kukemea ufisadi,basi huyo ni kiongozi bora kwa hiyo anafaa kuwa rais wa nchi.
Mchango wako nini hapa? wengine tunapata elimu ya siasa za Tanzania, sasa wewe unakuja na pumba zako kama kawaida, please can you leave this thread alone ? wewe endelea na mambo yako yale yale! Kila mtu anakujua hapa....
- Ndugu yangu Omaaar, heshima yako mkuu na vipi habari za siku nyingi unajua ni siku nyingi sana, anyways karibu sana mkuu kwenye mjadala nilizoziweka ni dataz ambazo wewe kwa uakribu wako na Salim unajua wazi kwamba ni facts kwa sababu yametokea na yamefanyika,
- Kuna mahali nimesema ninamheshimu sana Salim as a person ndio maana sitaki kwenda deep na yote aliyoyafanya Addis, hapa tunachambua uwezo wa viongozi kama kiongozi ana uwezo zaidi ya inavyosemwa ni wajibu wako kuweka wazi unachotaka kukisema na kukanusha unachoona anaonewa! Otherwise sina mpango wa kumchambua kwa undani sana sina sababu!
- Kuwajadili viongozi wetu sio kuwavunjia heshima na wala hakuna mzazi wa mtu yoyote hapa awe wako wala wangu, hapa wanajadiliwa viongozi wanaofaa na wasiofaa, sitaki kwenda deep sio kwamba ninaogopa anything ila sioni sababu,
- Omaar, ninajua kua Salim alikwenda kusoma Cuba kwa kuepelekwa na Mzee Babu na sababu ya kuwapeleka huko yeye na makomandoo wengine 10 akiwemo Mahafudhi ninaifahamu, sasa ninapokataa kwenda deep sio kwamba sina dataz au facts, mkuu mbona zipo kwenye files za CIA ambazo zinaruhusiwa publicly kule Congress Library, nextime ukiwa kule pitia kule utayaona mwenyewe!
- Mzee mmoja wa CC kutoka Zenji, aliwahi kuniambia hivi tunamkataa Salim kwa sababu zile zile zilizomfanya Reagan amkatae kuwa katibu wa UN, mkuu Omaaar ninamaliza kwa kusema hivi msimamo wangu ni kwamba Salim hatufai kwenye uongozi wa nafasi ya u-Rais, kwa sababu hajawahi kuonyesha uwezo wake either kwa maneno au vitendo, na hasa katika kupambana na mafisadi, nia na madhumuni hapa ni kutafuta Rais anayeweza kupambana na mafisadi.
- Na bado ninarudia tena kwamba sitaki kwenda deep kwa sababu ninamheshimu sana, lakini mapungufu yake tena mengine very ugly yanajulikana sana mkuu dunia ni ndogo sana sio kama unavyofikiri! Tafuta info Mkapa alipomuita Mzee Ngejembi na kumkataza kumpigia kampeni Salim alimuambia nini?
napata sana shida na huyu mwana CCM damu, poleni sana kwa kutoana jasho humu
FMES nilikuuliza na ninaona unajikanyaga , hivi NYIE CCM MNA-MPANGO WA KUWEKA MGOMBEA MWINGINE MBALI YA JK?? KWA SABABU KAMA MGOMBEA NI JK NA HAKIKA NDIYE RAIS AJAYE, LENGO LA THREAD HII NI NINI??????
UTAKUWA MTU WA PROPAGANADA UWACHOTE WATU AKILI WABAKI KUJADILI CCM NA WATU WAKE MAFISADI AMBAO KATIKA HAO WEWE HAUKOSI
ONA SASA NDANI YA CHAMA CHENU CHA UKEREKETWA MNAVYOBAGUANA KIDINI NA KIRANGI! CCM WEE!
FMES nasema na nitaendelea kusema wewe ni mnafiki,miaka 40 mmekaa madarakani, wewe hujaona mabaya ya CCM mpaka leo ujiite mkereketwa? umefanya nini cha maana kulinda ukereketwa wako wakati mnaongozana na JK kila siku , hujaenda tu kwenye bembea
Hii thread haina maana yoyote unless unataka kutuaminisha kuwa ndani ya CCM mtammsimamisha mtu tofauti na JK!!
I REPEAT LOUD AND CLEAR, kwa post zako humu wewe ni fisadi, maadamu unakula na familia yako hujajua bado madhara ya CCM nchi hii!
UNACHOFANYA NI KUJIPA MOYO KUWA NAWE UKISEMA KUWA UNAPAMBANA NA UFISADI ANGALAU INAKUPA AHUENI YA MOYO
- - Na bado ninarudia tena kwamba sitaki kwenda deep kwa sababu ninamheshimu sana, lakini mapungufu yake tena mengine very ugly yanajulikana sana mkuu dunia ni ndogo sana sio kama unavyofikiri! Tafuta info Mkapa alipomuita Mzee Ngejembi na kumkataza kumpigia kampeni Salim alimuambia nini?
Hayo ya kufaa ama hakufai kuwa Rais sio kazi yangu maana nimeshakueleza msimamo wa Dr Salim ambao mara kadhaa ameshaurudia hata hivi karibuni kwenye vyomba vya habari tena bila ya kuzungusha maneno. He has no ambition whatsoever and he is happy on what he does now for the Prseident, country and our continent.
Sidhani kama haya unayosema sasa ndiyo niliyokutaka utoe hizo facts na dataz. Na pia na haya ya Mzee Ndenjembi nayo ni uzushi na uongo kama ambavyo ulivyodai hapo mwanzo kuwa eti alihongwa gari na Dr Salim. Kama kuna mtu aliyekataa hongo na kusimama kidete hadi sasa na Dr Salim basi ni huyu mzee. Kukataa kumuunga mkono "wanyumbani" na kusimamia misingi isiwe sababu ya kumdhalilisha Mzee wa watu...
Hilo la heshima kwa Dr Salim halipo na halijawahi kuwepo. Hiyo siyo hulka yako kaka.
You still have responsibility to produce ur so called facts, evidences and datza za hizo tuhuma ulizozitoa katika thread hii na katika ule mjadala uliopita hivi karibuni kama ambavyo nimeorodhesha hapo kabla na kama ulivyoainisha kuwa hapa hakuna majungu wala uongo.
- Mambo ya kubebwa sasa hayana nafasi tena katika uongozi tunaoutafuta kuliokoa taifa letu, majuzi Warioba na Butiku wamejaribu sana kumbeba wakidhani ile nguvu ya Mwalimu bado ipo, lakini tizama yaliyomkuta ni aibu sana. Kiongozi wa kweli na unayemsema angesimama kidete na kupambana na mtandao mpaka kieleweke, lakini akaishia kujifungia ndani na kulia, majuzi Mama Kahama naye walimpomtwanga UWT naye alijifungia ndani na kulia, unaona sasa mkuu unasema huyu ndiye atapigana na mafisadi? Maneno kidogo tu anajifungia ndani na kulia?
Tafadhali pia naomba uonyeshe mahala popote pale ambapo BUTIKU aliwahi kumpigia debe Dr Salim. Popote pale. Mlishadai kuwa Dr Salim alitumia fedha za Mwalimu Nyerere Faundation kufanya kampeni. Hili nalo itakuwa ni busara, uungwana na jukumu lako na wenzio kulitolea the so called facts and dataz......
Mchango wako nini hapa? wengine tunapata elimu ya siasa za Tanzania, sasa wewe unakuja na pumba zako kama kawaida, please can you leave this thread alone ? wewe endelea na mambo yako yale yale! Kila mtu anakujua hapa....
Masanilo.
Mchango wangu hapo ni kumshauri Sungi asiendelee kuchangia hii thread kama alivyoshauriwa na FEMS Kwamba''- Haya maneno yako ni mazito sana lakini nakuomba yaanzishie thread yake inayohusu "Umma kuamka na kupambana na rushwa" itakuwa kali sana na itaelmisha sana wananchi''.
Kama wewe mkuu wangu unapata elimu ya siasa za Tanzania kwa njia hii ya majungu, uganga wa kienyeji na wa kufikilika,basi ninakupa pole sana.
Mkuu wangu Masanio, unaonekana ni mtu mwenye dharau sana na majigambo mengi sana na unaonekana ustaarabu unakupiga chenga vilevile.Kwa msaada tu ninakuomba ujirekebishe.
Kwenye thread zako za nyuma umewahi kujisifia kuwa una CV yenye pages nyingi sana,pengine ukimaanisha kuwa wewe ni msomi mzuri sana na juzi umejisifia kuwa kuna magari ambayo umeandika majina ya wana JF na unataka kuyatuma bongo,hizo ni mali zako kaka hatuhitaji sisi kujua.
Wengi wetu hapa JF wamesoma na kupata mafanikio makubwa sana kwenye elimu zao na hata kazi zao.Je?kila mtu akianza kujisifia katika hilo, hii itakuwa forum ya namna gani?.
Haujachelewa baba,jirekebishe,majivuno au mafanikio katika elimu yako na kazi yako ni siri ya familia yako.tunachohitaji kujua ni mchango gani umeutoa kwa jamii na taifa zima la watanzania.iwe kwa hoja au mali vyote tutashukuru
- Mkuu Waberoya, heshima yako mkuu mimi sio mnafiki wala muongo, maana unafiki na uongo unaanzia kwenye maisha ya nyumbani kwa bina-adam ni very simple tu ukiangalia maisha yako ya nyumbani na yangu utapata jibu la nani mnafiki na nani muongo,
- Mimi ni CCM damu na ni mwanachama mkereketwa na nitaendelea hivyo mpaka chama changu kitakaposafishika, ipo siku inakuja ila one thing siwezi kufanya ni kuja hapa na kujifanya neutral au sina upande, hapana!
FMES nilikuuliza na ninaona unajikanyaga , hivi NYIE CCM MNA-MPANGO WA KUWEKA MGOMBEA MWINGINE MBALI YA JK?? KWA SABABU KAMA MGOMBEA NI JK NA HAKIKA NDIYE RAIS AJAYE, LENGO LA THREAD HII NI NINI?????? UTAKUWA MTU WA PROPAGANADA UWACHOTE WATU AKILI WABAKI KUJADILI CCM NA WATU WAKE MAFISADI AMBAO KATIKA HAO WEWE HAUKOS
- Sijawahi kujikanyaga hata siku moja, mimi ni mwanachama wa CCM tena damu na mkereketwa, CCM ina mpango gani na wagombea mimi sijui itamsimamisha nani kwenye Urais I have no clue, Dr. Slaa na Freeman, Lipumba ambao wamejadiliwa sana na hii thread sio members wa CCM,
- Kama ni ufisadi wananchi wote wa Tanzania tuliowachagua CCM for the last 47 years, ni mafisadi kama maneno yako ni kweli kwamba CCM wote ni mafisadi, kujadili taifa langu hapa ni wajibu wangu,
- Ninachojadili hapa ni uwezo wa viongozi tulionao na wale ambao hawajapewa nafasi as alternative ya wale wasiofaa, in the end ni wajibu wa wananchi wa Tanzania kuamua watawachagua nani na kwa ghrama gani as as maendeleo is concerned, lakini kujadili anything kuhusu taifa langu ni haki yangu as mwanachi wa Tanzania, ningekua nimebadili Uraia na sio M-Tanzania tena then ungekuwa na hoja nzito sana hapa mkuu Waberoya!
- Ninakuomba tena na tena, heshimu haki ya kujadili taifa kama ninavyoheshimu haki yako, pingana na mimi kwenye hoja usinitafute personal tafadhali sana mkuu!
ONA SASA NDANI YA CHAMA CHENU CHA UKEREKETWA MNAVYOBAGUANA KIDINI NA KIRANGI! CCM WEE!
- CCM kuna mtu amebaguliwa au hakubaguliwa mimi sijui na wala hainihusu unless ingekuwa in open, otherwise mimi sijawahi kubaguliwa ndani ya CCM je wewe umewahi kubaguliwa?
FMES nasema na nitaendelea kusema wewe ni mnafiki,miaka 40 mmekaa madarakani, wewe hujaona mabaya ya CCM mpaka leo ujiite mkereketwa? umefanya nini cha maana kulinda ukereketwa wako wakati mnaongozana na JK kila siku , hujaenda tu kwenye bembea
- Haya mashambulizi ya personal badala ya kujadili hoja ni nje ya mstari, mkuu Waberoya ni vyema ukanitaka radhi maana mimi sio kiongozi wa CCM, na huna haki yoyote ya kunishambulia kutokana na uanachama wangu na CCM, mimi sio kiongozi ningekua then ungekuwa na hii haki ya kuishambulia personal, tafadhali mkuu Waberoya nitake radhi kwa haya uncalled mashambulizi ya bila sababu na nje ya hoja ya thread!
- Mtu mnafiki ninarudia tena unafiki wake huanzia nyumbani, anaanza unafiki nyumbani kwake ndio anauepeleka nje, mimi sina tabia hiyo sifanyi unafiki kwa mke wangu na watoto kwa hiyo sio rahisi kuufanya nje, wanafiki wote duniani huanza kuwanafiki wake zao na watoto wao kwanza!
Hii thread haina maana yoyote unless unataka kutuaminisha kuwa ndani ya CCM mtammsimamisha mtu tofauti na JK!! I REPEAT LOUD AND CLEAR, kwa post zako humu wewe ni fisadi, maadamu unakula na familia yako hujajua bado madhara ya CCM nchi hii! UNACHOFANYA NI KUJIPA MOYO KUWA NAWE UKISEMA KUWA UNAPAMBANA NA UFISADI ANGALAU INAKUPA AHUENI YA MOYOUNAKULA NA MAFISADI, UNAFANYA NAO KAZI, WANAKUTUMA, UNAWATUMA, FMES please wadanganye hao hao This is just a gentle reminder nitakuwa nakuandikia kila wiki kukumbusha kuwa wewe na chama chenu ni mafisadi!!!!!!!!!!!!!!!!note every week!
- Hii thread ina maaana sana ndio maana imekusumbua sana na kujaribu kuiharibu isingekwua usingepoteza muda wako mwingi sana kujaribu kuiharibu, na hata sasa bado unajaribu kuiharibu kisa na mkasa you can get your way na Lipumba, pole sana kaka sio wote tuliolala hapa JF.
- Ya kuhusu mimi na ufisadi umeyasema sana kaka toka ujiunge na JF, lakini hata siku moja hujawahi kuweka facts za ufisadi wangu pamoja na kwamba nimekupa nafasi siku nyingi na bado ninakupa tena hiyo nafasi, mkuu mimi ninazo mali zangu ndani na nje ya Tanzania, kama unaijua hata moja ya hiz mali zangu niliyoipata kwa ufisadi ninakuruhusu uuweke hapa ufisadi wangu,
- Mimi ni mwananchi clean, absolutely clean kama unajua uchafu wangu na ufisadi uweke hapa mkuu, nitaendelea kupingana na mafisadi on their matendo kwa taifa, siasa sio vita wala ugomvi, hatuwachukii personal ila tunachukia matendo yao mabaya kwa taifa letu, kama una matatizo ya personal na mimi nitafute nje ya forums sikuogopi nitakupa all info zangu tukutane tuyamalize, hapa JF kama member ni haki yangu kujadili taifa langu as I see fit,
- Narudia tena, unafiki huanzia nyumbani kwanza kabla ya kuutoa nje, sina chembe hata moja ya ufisadi kama unaijua iweke hapa, next time jaribu kujadili hoja badala ya kunishambulia mimi binafsi maana siwezi kukusaidia anything, mimi ninakukaribisha kukata ishus hapa za masilahi ya taifa! na haya mapambano ya fikra nitaendelea nayo sitaacha kwa sababu yako Waberoya, acha kunitisha mkuu mimi sio mtoto wako, wala mtumwa wako wala mtumishi wako na sina anything to na wewe heshimu haki yangu ya kuchangia na kujadili taifa langu hapa kama ninavyoheshimu haki zako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.