William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #281
Hayo ya kufaa ama hakufai kuwa Rais sio kazi yangu maana nimeshakueleza msimamo wa Dr Salim ambao mara kadhaa ameshaurudia hata hivi karibuni kwenye vyomba vya habari tena bila ya kuzungusha maneno. He has no ambition whatsoever and he is happy on what he does now for the Prseident, country and our continent.
Sidhani kama haya unayosema sasa ndiyo niliyokutaka utoe hizo facts na dataz. Na pia na haya ya Mzee Ndenjembi nayo ni uzushi na uongo kama ambavyo ulivyodai hapo mwanzo kuwa eti alihongwa gari na Dr Salim. Kama kuna mtu aliyekataa hongo na kusimama kidete hadi sasa na Dr Salim basi ni huyu mzee. Kukataa kumuunga mkono "wanyumbani" na kusimamia misingi isiwe sababu ya kumdhalilisha Mzee wa watu...
Hilo la heshima kwa Dr Salim halipo na halijawahi kuwepo. Hiyo siyo hulka yako kaka.
You still have responsibility to produce ur so called facts, evidences and datza za hizo tuhuma ulizozitoa katika thread hii na katika ule mjadala uliopita hivi karibuni kama ambavyo nimeorodhesha hapo kabla na kama ulivyoainisha kuwa hapa hakuna majungu wala uongo.
Tafadhali pia naomba uonyeshe mahala popote pale ambapo BUTIKU aliwahi kumpigia debe Dr Salim. Popote pale. Mlishadai kuwa Dr Salim alitumia fedha za Mwalimu Nyerere Faundation kufanya kampeni. Hili nalo itakuwa ni busara, uungwana na jukumu lako na wenzio kulitolea the so called facts and dataz......
omarilyas
- Mkuu Omaar, ninarudia tena sina sababu ya kwenda deep na dataz pamoja na facts kuhusu mapungufu ya Salim na uongozi, isipokuwa bado unayo nafasi ya kukanusha kwa kutaja majina ya wananchi wa Tanzania aliowaajiri akiwa katibu wa OAU, na pia unaweza kukanusha kwamba hakuna mlinzi wake aliyefariki katika mazingara ya utatanishi sana kule Addis, na kwamba hakumpa gari aina ya pick up Ndejembi kumpigia kampeni za urais, na kwamba toka awe mwanasiasa amewahi kugombea wapi nafasi ya uongozi wa wananchi na akachaguliwa, haya unaweza kuyakanusha ukitaka, na pia ukitaka unaweza kuweka hapa nature ya mahusiano yake na yeye ni nini hasa? ila sikulazimishi,
- Otherwise, mkuu nasimamia pale pale kwamba sina sababu ya kwenda deep na mapungufu ya Salim, kwanza sina sababu pili kama unavyosema mwenyewe hagombei anything,
However: mimi nitaendelea kuwajadili viongozi wanaofaa na wasofaa kuliongoza taifa letu huko mbele ya safari tunakokwenda, ni haki yangu kama mwananchi kufanya hivyo Salim ni mwanasiasa professional aliyoichagua mwenyewe ambayo ni lazima ujadiliwe na wananchi na ndio tunahokifanya hapa sio kwa sababu ana ukaribu na wewe basi haguswi hapana anaguswa kila politician na haogopwi mtu hapa!
Naomba nikukumbushe tena kwamba sina mpango wowote wa kumjadili deep, hapo hapo nimemaliza na ninaendelea mbele na mjadala huu wa kujadili viongozi wanaotufaa na wasiotufaa Tanzania.
Respect.
FMEs!