Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Ndio maana nikasema wa kila aina...
By the way karibu utamfikia MWK...
Ndio maana nikasema wa kila aina...
By the way karibu utamfikia MWK...
Hapana kwa idadi ya post... soon utasikia Hongera Nyani... ikiambatana na shairi/utenzi/ngonjera au mistari ya bongo fleva...!Kama ulivyomfikia wewe eeeh...?
Hapana kwa idadi ya post... soon utasikia Hongera Nyani... ikiambatana na shairi/utenzi/ngonjera au mistari ya bongo fleva...!
Mwanakijiji.. tutake radhi yaani sie sawa na hii picha
.
Amepumzika baada ya kuranda mchana kutwa..Huyo mbwa kalala au kafa ?
Amepumzika baada ya kuranda mchana kutwa..
Hivi, tukianza kutoa elimu ya kusafisha mazingira na kuanzia kwa nyumba halafu mtaa, je tutapokelewa au tutadhihakiwa na kupuuzwa?
Hiyo ndio njia pekee ya kuweza kuwafikia wadau. Ni kwenda nyumba kwa nyumba.
Utekelezaji wake wakati mwingine unakuwa ni mgumu kutoka na mambo mbali mbali:
- Muda wa zoezi unaweza kutopata watu wengi
- Kuna tatizo la kiitikadi, na hasa unapofuatana na Diwani
- Kwenye nyuma za kupangisha waakazi hukwepa na kusukumia kwa mwenye nyumba
- Nyumba zenye uzio na mageti makubwa ni tatizo kuwapata wahusika
Hivi, tukianza kutoa elimu ya kusafisha mazingira na kuanzia kwa nyumba halafu mtaa, je tutapokelewa au tutadhihakiwa na kupuuzwa?
Hivi, tukianza kutoa elimu ya kusafisha mazingira na kuanzia kwa nyumba halafu mtaa, je tutapokelewa au tutadhihakiwa na kupuuzwa?
Nyani tuliza boli...
Kinachozungumziwa hapa ni usafi wa mazingira na namna ya ukusanyaji na utupaji wa taka. Elimu inayohitajika hapa ni pamoja na;
- Kujua aina za taka
- kutenganisha taka
- utunzaji wa taka kabla ya kutupwa
- na wapi pa kutupa taka hizo
Aisee nimeanza kuhisi wewe una utaalamu wa haya mambo ya uzoaji taka/ usafi wa mazingira maana inavyoelekea unayaelewa sana!
....Usije ukanishambulia kwa staili ile ya FM
Naona umenielewa vibaya.. Nilikuwa na maana ya Nyani kukuita profesa ...[/COLOR]....
Kama FM ni mimi, sidhani kama nimewahi kukushambulia Kibunango! Au unamaanisha kuwa nina staili fulani ya kushambulia watu? Au ni kawaida yangu kushambulia watu?
Mimi sielewi nimeingiaje katika masuala yenu! Si mngemaliziana bila kunihusisha! Kama unamaanisha FM mwingine, niwie radhi.