Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

Aliyetuma auwawe na kesho yake azikwe kijiji kwao bila kupitia bungeni hapo alipo anaweweseka tu.
 
Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
.Kwa taarifa yako HATA SHETANI ANAWEZA KUWAPA WATU MAMLAKA , si kila mamlaka yatoka kwa bwana. Mfn JECHAISM......,MUNGU muumba aweza kubariki maamuzi kama yale ya Jeccha?, hujui kuna ma taasisi makubwa yana mamlaka lani yapo chini ya mamlaka za shetani?, kuwa makini na post zako
 
Mkuu Lissu hawezi kufutiwa Ubunge sababu inajulikana ni mgonjwa na taarifa hizi hakuna asiyezijua. Hao waliokuwa wanajadili hii kitu ni "chuki" tu na "roho mbaya" ndizo zinawaongoza kufanya hivyo.
Waache kumuombea mabaya Lissu jamani. Du binadamu sio wanyama wazuri.
 
Tunakula bia huku tunatazama mamba rufiji.
Hakuna raisi imara katika miongo hii kama Magufuli..hakuna.
Wewe guest number one ISIS
Naomba nialike walahi!
Hahahaha
Siku akifukuzwa nimeandaa party huku rufiji.
Indeed!
Na asipokuwa upande wa serikali atakuwa upande wa kina nani? Saccos, please!
Kwa kweli na ni haki!
ndivyo mnajifariji... huyo aliyewashikia akili zenu!
 
Umeshawahi kumwona mbunge wa Kinondoni Maulidi Mtulya tangu kifo cha Akwilina? Kama hujawahi nikutakie uzima na afya tele maana binadamu ni ubinadamu na si kufurahia ugonjwa wa mtu kwa kujiona mzima.
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Kutengua UBUNGE wa mbunge yeyote tunafuata katiba ya nchi na taratibu zilizowekwa... eg kufukuzwa uanachama etc... na si MAONI YA MTU.....

Ukiacha maoni ya watu yatekelezwe, BUNGENI HATABAKI MTU... Spika leo hii asingekuwa kwenye nafasi ile...
 
Shetani huwa anasingiziwa. Kuna binadamu wana ushetani wa hali ya juu. Mmoja wapo ni dada Barbarosa
 
Kaini utapata tabu sana.Mlidhani mna haki ya kutoa uhai wa MTU.
 
Back
Top Bottom