nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,250
mungu gani?ule upuuzi ulioandikwa kwenye biblia na wahuni wa kizungu!!!!!Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
mungu gani?ule upuuzi ulioandikwa kwenye biblia na wahuni wa kizungu!!!!!Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
unprofessional hitmen
Kawapa kweli! Hawajakwapua?Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Kitambi kimesinyaaLissu yu haiView attachment 829473
CCM haikupewa mamlaka na MunguLakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Ambush ya ugoni.unprofessional hitmen
yani risasi 38 and you miss the target!!!!
terrible killers
Lakini hao waliopewa hayo mamlaka wanatumia kuumiza wengine, bila kutenda haki kwa kusingizia utomvu wa nidhamu ilihali wao ni mabadhuli wakubwa...Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
you ain't no killersAmbush ya ugoni.
Bora sisi angalao unapata hata vidondayou ain't no killers
mnatetemeka hata mkiwa na smg's mkononi hadi mnamiss target
Mbona walienda kwa waganga, kwani hao ni wawakilishi wa Mungu?Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Kati ya waliobeba mikoba ya Sheikh Yahaya huyu ni mmoja wapo. Tabiri zake zote ni mfu.unaweza kusoma kichwa cha habari ukaenda mbio kuimbe........................
M.a.j.u.n.g.u.
Tangu ufundishwe kutengeneza Graphics Interchange Format basi hatulalii wewe dada.Bora sisi angalao unapata hata vidonda
View attachment 829490
Haya tuseme mmemfutia ubunge.. Nyie mnafaidika vipi? Na hili wala hatutashangaa maana kama waliweza kumpiga risasi zaidi ya 20 mchana kweupe nini kitashindikana? risasi zaidi ya 20.. ujue hili jambo limezidi unyama hata Hitler na ukatili wake wote hakuwahi kucharaza mtu risasi 20!Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
kweli😀😀😀Kati ya waliobeba mikoba ya Sheikh Yahaya huyu ni mmoja wapo. Tabiri zake zote ni mfu.
akili ndogo...Mfalme Nebuchadnezzar alitoka kwa Mungu eehhh....Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Chadema washamba sanaTangu ufundishwe kutengeneza Graphics Interchange Format basi hatulalii wewe dada.
Unadhan hata wale wanao ongoza ibada ni wahuni pia?mungu gani?ule upuuzi ulioandikwa kwenye biblia na wahuni wa kizungu!!!!!