imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Mtan
Mtanyoosha tu maelezo.NCHI HII KAMA TUKO GEREZANI WOTE
Mtanyoosha tu maelezo.NCHI HII KAMA TUKO GEREZANI WOTE
Fanyeni yote ila mungu yupo juu ya kila kitu kilicho chini ya jua. Wisho wa ubaya ni aibu.Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Kamuulize walitaka kumnyea kichwani baba wa watu.hekima.
Siku akifukuzwa nimeandaa party huku rufiji.
Sawa ila party yangu iko palepale.Lissu hahitaji ubunge ili kuongea ukweli. Huko bungeni ambapo ndio mtu anapaswa kuongea kwa uwazi sasa hivi limekuwa bunge kibogoyo. Hivyo Lissu anaweza sana kufanya siasa bila hata kuwa mbunge. Slaa 2010-2015 hakuwa mbunge na alifanya siasa sana tu.
IpiSawa ila party yangu iko palepale.
Waacheni wafanye watakvyo. Ila wakae wakijua kuwa hawana kinga ya mahakama.
Kuna watu watashitakiwa wao kama binafsi.
Sawa ila party yangu iko palepale.
Kabla ya kujiuliza mambo usiyoyajua... ungetafakur kujua je ni yeye MH. LISSU ndio wa kwanza kutokanyaga mjengoni kwa kipindi kirefuuu?? kisha ndio ungeleta huu uharisho wako.Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Hivi wewe unatumia ubongo au makamasi?Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Aliye msundikiza uwanja wa ndege kwenda kenya ni yupi kama siyo ndugai?Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Bazooka akirudiUnaruhusiwa hata ukitaka kualika watu kupitia vyombo vya habari kuhusu hiyo party yako ni sawa. Ukiona vinywaji vitapungua toa taarifa tukuongezee. Hii ndio demokrasia, mmefanya kazi kubwa, risasi 38 simchezo kaka.
Lissu yu haiLakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Albadiri imeanza kuwatoa hadharani wote walishiriki tukio hovu la kinyamaSasa hata kama angekuwa na ruhusa au angekuwa katibiwa humu nchini, sasa hivi angekuwa Bungeni ? Hebu kweni na roho ya hurama, khaaaa, hata kama tunamchukia Lisu lakini sio kwa kiasi hicho. Mtu katoka kwenye umauti, bado unamsakama tu kana kwamba wewe ndiye Mwenyezi Mungu. Mwingi wa Rehema, Unayejua mabaya na mazuri na Utaishi milele katika dunia hiii!!
Fanyeni yote mnayotaka ila Mungu si ndugu yenu..anahukumu kwa haki