feya bugalama
Member
- Oct 6, 2016
- 91
- 20
Wazo la mleta Maana ni zuri lakini linachuki ndani yake. Huwezi muita mgonjwa na mtu anayepitia taabu Kama huyo et msaliti.
Angalia mshahara wa ubunge na marupurupu yake halafu linganisha na shida ulizonazo ndo utajua maana ya ubunge.Tena mmechelewa, fanyeni hivyo hata leo usiku kesho iwe breaking news. Ubunge wa Tanzania unaona ni kitu cha maana sana kwa binadamu kiasi kwamba mtu akiukosa basi atakufa. Kwa hilo bunge alilosema Ole Sendeka hata mtu akiukosa bado hauna maana sana.
Angalia mshahara wa ubunge na marupurupu yake halafu linganisha na shida ulizonazo ndo utajua maana ya ubunge.Tena mmechelewa, fanyeni hivyo hata leo usiku kesho iwe breaking news. Ubunge wa Tanzania unaona ni kitu cha maana sana kwa binadamu kiasi kwamba mtu akiukosa basi atakufa. Kwa hilo bunge alilosema Ole Sendeka hata mtu akiukosa bado hauna maana sana.
Mnajisikiaje kumpiga risasi Mh. Lissu lakini Mungu wa haki akamponya.Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Angalia mshahara wa ubunge na marupurupu yake halafu linganisha na shida ulizonazo ndo utajua maana ya ubunge.
SheitwaniKwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Hapo malengo yatakuwa yametimia;kwani kabla ya shambulio haumkumwandaa kabisa mrithi?But to every action there is an equal and opposite reaction.Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Unajitahidi kutuonyesha uoga wako juu ya lissuKwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Ni punguwani huyoWell said
Mnasubiri nini kutomfuta Lissu Ubunge?Kwa wale watumishi wa uma wanaelewa, ukipata ajali, kuugua ni lazima wewe ama mtu wa karibu yako akafuate taratibu za kisheria ili ujaziwe ruhusa ya ugonjwa na iende kwa daktari aandike unatakiwa upumzike kwa muda gani. Usipofanya hivyo utatambulika kama watoro wengine na unaweza kufutwa kazi kabisa.
Huyo ni mrundiMkuu kwa maoni kama haya, kwa nini uraia wako usisitishwe pia?
Ccm imewafikisha pabaya hawa vijana kuna MchangeKwa kweli kimantiki kuna tofauti kubwa sana kati ya kuota ndoto na kuweweseka!! Mbona mnatembea huku mmelala?
Inchi imejaaa watu wenye chuki na roho mbaya, matatizo ya wenzao ndio furaha yao. Manao shangilia dhulma hizi Mungu anawaona.Well said