Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 18,185
- 29,920
Lete vigezo, la sivyo una chafua hewa kwa harufu isiyofaa tu!bora yake huyo mwenye chuki na mtu mmoja kuliko Lissu mwenye chuki na Taifa
Lete vigezo, la sivyo una chafua hewa kwa harufu isiyofaa tu!bora yake huyo mwenye chuki na mtu mmoja kuliko Lissu mwenye chuki na Taifa
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za dunianiFanyeni yote mnayotaka ila Mungu si ndugu yenu..anahukumu kwa haki
Sasa hata kama angekuwa na ruhusa au angekuwa katibiwa humu nchini, sasa hivi angekuwa Bungeni ? Hebu kweni na roho ya hurama, khaaaa, hata kama tunamchukia Lisu lakini sio kwa kiasi hicho. Mtu katoka kwenye umauti, bado unamsakama tu kana kwamba wewe ndiye Mwenyezi Mungu. Mwingi wa Rehema, Unayejua mabaya na mazuri na Utaishi milele katika dunia hiii!!Katika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Wamechoka kutuma rambirambi kutokana na ajalu. Sasa zimewarudia wao. Huyu Mungu hakawii kuonyesha ukuu wakeFanyeni yote mnayotaka ila Mungu si ndugu yenu..anahukumu kwa haki
unaweza kusoma kichwa cha habari ukaenda mbio kuimbe........................
M.a.j.u.n.g.u.
Ukimuomba Mungu akusamehe Dhambi zako Husamehe Dhambi zako zote Jukumu lako ni Kuto zikumbuka tena Dhambi zako Je Tunaweza kutozikumbuka Dhambi zetu ili tupate msamaha wa kweli? If you ask God for Forgiveness of your Sins God Forgive your sins for all but also do not remember you Sins any more https://dailyverses.net/forgivenessKatika viunga vya maeneo fulani Dodoma, mtu mmoja mzito anajiuliza kwanini mbunge haudhurii miezi kadhaa Bungeni bila ruhusa ya Mkuu wake alafu anaendelea kusema bado ni mbunge?
Ameshangaa kwanini sheria zinaandikwa tu kwenye makablasha lakin hazitumiki kiuhalisia,
Anayezungumziwa ni
Lissu hayupo bungeni tangu Septemba 8, mwaka jana. Kanuni ya 117 ya Bunge, inasema mbunge ambaye hatahudhuria mikutano mitatu mfululizo bila ruhusa ya Spika atapoteza ubunge.
Lissu mpaka leo ni mbunge, maana yake Spika anatambua udhuru wake kuwa ni mgonjwa. Vinginevyo angekuwa ameshafutwa ubunge, maana alishapitisha mikutano mitatu mfululizo.
Lakin pamoja na kwamba anatambua udhuru wake kuwa mgomjwa ila hana ruhusa ya kutibiwa nje hakufuata utaratibu mpaka huko nje, hana referral ya Bunge kwenda nje kupitia Muhimbili,
Mkutano mkuu ndani ya watu fulani ambao umehusisha wastaafu kadhaa kwamba ni aibu kuendelea kulea utovu wa nidhamu na spika wa Bunge kulifumbia macho,
Labda huyo wenu wa ccm ndio anatoa hizo mamlaka za kuwaumiza wengine ili muipore haki ya waliomchagua kwa kuwa anawanyima kuwaibia wananchi! Kawaambie wasisahau kuwa kuna maisha baada ya siasa!Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Sasa hata kama angekuwa na ruhusa au angekuwa katibiwa humu nchini, sasa hivi angekuwa Bungeni ? Hebu kweni na roho ya hurama, khaaaa, hata kama tunamchukia Lisu lakini sio kwa kiasi hicho. Mtu katoka kwenye umauti, bado unamsakama tu kana kwamba wewe ndiye Mwenyezi Mungu. Mwingi wa Rehema, Unayejua mabaya na mazuri na Utaishi milele katika dunia hiii!!
Labda mungu wa CCMLakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
kwenye maelezo yake kuna tetesi?Mleta mada si ameanza na neno tetesi kwenye mada yake ndugu...?