Well saidKwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Mkuu kwa maoni kama haya, kwa nini uraia wako usisitishwe pia?Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Kwa kweli kimantiki kuna tofauti kubwa sana kati ya kuota ndoto na kuweweseka!! Mbona mnatembea huku mmelala?Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Nice picture, umependeza sana mkuu!Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Kwa mantiki hiyo hiyo bado waweza kukosa sifa za kuwa Mtanznia.Mimi ninaweza kuthibitisha uwepo wa kizazi changu hapa ardhi hii tuiitayo JMTZ kuanzia mwaka 1890, na hii ni kimaandishi kabisa na siyo kimaneno kuanzia Mababu na Bibi pande zote mbili!
Hatuna taarifa hizo wasilisha kwa RC atazifanyia kazi maramojaChadema mada za kipuuzi Kama hizi msichangie, kwanza watuambie walituambia elimu bure sasa mbona butiama wanalipishwa 70,000?
Ndiyo Shithole Ubunge wake usitishwe, tuko pamoja hapo!
Toka lini mawazo yako yakawa sheria?Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!