Tunakula bia huku tunatazama mamba rufiji.Iyeeeei!
Mkuu, jamaa anakumbusha tu UTAWALA WA SHERIA.Sasa hata kama angekuwa na ruhusa au angekuwa katibiwa humu nchini, sasa hivi angekuwa Bungeni ? Hebu kweni na roho ya hurama, khaaaa, hata kama tunamchukia Lisu lakini sio kwa kiasi hicho. Mtu katoka kwenye umauti, bado unamsakama tu kana kwamba wewe ndiye Mwenyezi Mungu. Mwingi wa Rehema, Unayejua mabaya na mazuri na Utaishi milele katika dunia hiii!!
Huyo mleta mada ni mpikaji mzuri sana wa jungu..labda kama ni mgeni JfMleta mada si ameanza na neno tetesi kwenye mada yake ndugu...?
Kanuni ya Bunge kifungu #117 kinasemaje kamanda!?Hiyo habari haishangazi,kwakuwa walipanga hadi maazishi yake.
Hiyo laana haiwaachi wahusika wote na familia zenu.dnxjeiwkdnfnf
Kwa kweliTunakula bia huku tunatazama mamba rufiji.
Kuna mamlaka za kishetani...na Mungu hajawapa mamlaka ya kuonea au kutawala kimabavu...ndio maana Suleiman aliomba hekima ili atawale kwa haki...ila nyie mnaomba nguvu ili kutawala kimabavu..Lakin mungu ndo kawapa mamlaka za duniani
Mzee Tata Magufuli ni Rais wa mfano Afrika nzima na mashariki ya mbali mkuu.Hakuna raisi imara katika miongo hii kama Magufuli..hakuna.
Mzee Tata Magufuli ni Rais wa mfano Afrika nzima na mashariki ya mbali mkuu.
#NogeshaJPM
Indeed walahi
Aisee
Kuna tofauti gani kutibiwa nje na ndani huku huudhurii vikao??
Ina maana hao wanaojadili wanataka kusema angekuwa anatibiwa muhimbili angekuwa anaenda vikaoni??
Hiii sasa ni too much!!!
Hahahaha uwiiiBaada ya kuzichezea sharubu za kikwete sasa kombora limekuja na limeelelezwa upinzani.mpaka tusikie mwano
View attachment 829446View attachment 829446View attachment 829446View attachment 829446View attachment 829446View attachment 829446
Mkuu kwani ule ujumbe una nini jipyaUjumbe ule wa Juzi aliouandika katika mtandao wa Instagram unaomgusa Jiwe huenda ndio utakuwa umeleta yote haya!
Kama waisraeli au wamarekani au...Kuna mamlaka za kishetani...na Mungu hajawapa mamlaka ya kuonea au kutawala kimabavu...ndio maana Suleiman aliomba hekima ili atawale kwa haki...ila nyie mnaomba nguvu ili kutawala kimabavu..