YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,051
Bunge lililopita chadema hawakuwa na mbunge hata mmoja bunge la afrika mashariki unadhani nini kilisababisha wakati walikuwa na wagombeaKumbe we hujui namna kura zinavyopigwa na mgawanyo wa viti ulivyo. Hata wapate kura moja moja wameshapita