Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
uliona lini chadema inajipendekeza kwa ccm, chadema sio ACT wazalendo, tumepeleka majina kwa sababu chadema inahaki ya kushiriki uchaguzi. lakini kamwe hatuwezi kujikomba kwa maccm.Ati CDM hawatarajii kura za CCM wakati huo huo CCM mjengoni wako zaidi ya 70%. Kumbe mmepeleka wagombea wa nini huku huku hamtaki kura za walio wengi?. Labda kama inawaongezea CV kwa kshindwa.