Ubora wa tv za Star-X

Ubora wa tv za Star-X

Mkuu CHIEF MKWAWA hiyo Roku stick inafaa kwa Tv za Lcd/led? Na je zinapatikana madukani? Mimi nina LG 42" Lcd/led itaweza kutumia hiyo stick?
 
Hivi smart TV naisiyo smart TV unaijuaje nakazi yasmart tv ninini? Maana mimi nasamsung nchi 32 ila sijui kama nismart au nitaijuaje kama nismart maana sisi wengine mashikoro mageni
ukiwasha ukiona mapicha mapicha na icons kama simu hio ni smart ila kama unawasha unakaribishwa na chenga au no signal ujue hio sio smart.
 
Bac yangu sio smart nikiwasha nakaribisha naneno Samsung
samsung smart ulitakiwa uone kitu kama hichi

669-samsung-smart-tv-tizen-panorama-m.jpg
 
Mimi natumia Star X 43" kwa miaka 2, iko vizuri na sijapata tatizo lolote! Na kabla ya hapo nilikuwa natumkia Sony Bravia 32" ambayo ilikufa Display baada ya miaka 5.
Uko sahihi yangu ina mwaka na nusu sasa iko poa sana na kama kuifuta nimeshaifuta sana tu...
 
kifaa fulani kama flash au deki ndogo unaconect nyuma ya pc yako na kuipa uwezo iwe smart. mfano kama ni cha android, tv yako itakuwa na uwezo wa kuingia playstore, kudownload apps mbali mbali, kuingia youtube etc.

51HQbbzo2AL._SY400_.jpg
Shukran mkuu nimekupata nitakitafuta nitakapohitaji, swali lamwisho kwahiyo TV ikiwa smart waweza itumia kama vile kuingia jf, nk
 
TCL smart tv zilizopo bongo ni za generation ya mwanzoni zile ambazo zinatumia OS ya linux. Hizi za Roku ni kama bado hazijaingia maduka yetu ya changanyikeni yale.
By the time zimeanza kuingizwa kwa wingi watu watatoa ushuhuda vizuri maana ni za ukweli mno!
Marekani wananunua sana sahivi maana ni cheap na zina features zinazouzwa ghali sana kwenye name brands kama Sony, Samsung ama LG
NCHI 32 NAPATA KWA BEI GANI ?
 
Hivi smart TV naisiyo smart TV unaijuaje nakazi yasmart tv ninini? Maana mimi nasamsung nchi 32 ila sijui kama nismart au nitaijuaje kama nismart maana sisi wengine mashikoro mageni
Smart inamaanisha unauwezo wa kuitumia TV kama computer kuingia mtandaoni na kupata huduma za mtandaoni pia inakuwa na apps kama facebook,youtube na web browsers.
 
Smart inamaanisha unauwezo wa kuitumia TV kama computer kuingia mtandaoni na kupata huduma za mtandaoni pia inakuwa na apps kama facebook,youtube na web browsers.
Aha Sawa ila ku typing/kuandika ndio unakuwa uwezi au unaweza kuandika?
 
Back
Top Bottom