Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,148
- 190,636
Ndio hasa nilichokuwa namuelekeza jamaa. TCL smart tv ziko generation tatu mkuu. Mwanzo walitoa linux based kisha wakaja android based na sasa wako Roku based.unadownload playstore kwenye simu yako kisha una pair. kama ni tv ya roku itakubali, kama sio ya roku itakataa.
Kwa soko letu la bongo hizo za linux ziko dated na ndio zilizojaa maduka mengi. Zenye android os zipo chache pia ila wauzaji wengi hawajui tofauti zilizopo wao wanapost mapicha tu ya TCL zenye Roku os katika matangazo ila interface ya Roku ni tofauti kabisa na hizo gen.za nyuma from the tv homescreen tu.
Kuhusu kupair tv na simu najua kwa kufanya screen mirroring tu ila kwa style unayosemea wewe sidhani kama itafaa maana tv yangu sio ya Roku!