Ubora wa tv za Star-X

Ubora wa tv za Star-X

TV yenye access hizi haifai kuscree mirror au namna yoyote ya kuona aina flani ya smart tv... Maana naihitaji sana hiyo huduma ila mazingira ya upataji hiyo huduma yamenibana kupata hivyo vifaa kwa urahusiView attachment 993040

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka tu ku mirror kioo cha simu yako si lazima kununua tv box unaweza tu ukanunua chromecast ama hizi miracast stick. Online kama 20,000 hivi ila huku kwetu wanaziuza hadi 60,000 zipo kama hivi.
72af8521-83a3-ed51-e505-2fb91f96c24a.jpg
 
TCL ni wa tatu Duniani miaka mingi sasa, sema wanacompete na samsung na LG kwenye TV zetu hizi za kibongo za bei rahisi ila kwenye TV high end kama za OLED bado hajafika level hizo.

os yao hio Roku, pia unaweza ukaieka tv yoyote unanunua tu stick ya roku na kupachika kwenye tv yako.

features-2-xs.png


mimi napenda kampuni ambazo ni wa wazi, kila kitu wanachotumia wanasema na specs zipo wazi unanunua unachokijua. sio kampuni nyengine za mfukoni tu hakuna maelezo duniani kuhusu hio kampuni.
Vip hawa kodtec mkuu
 
Back
Top Bottom