Ubora wa camera ya Tecno camon cx

Ubora wa camera ya Tecno camon cx

Hakuna kitu kipya unachonieleza mimi, hivyo unavyoeleza kwangu ni too obvious na navijua muda mwingi sana. Wewe ulichotakiwa kufanya ni kuonyesha technically uzuri wa kitu kimoja kwa kulinganisha na kingine, chukua kipengele kimoja tu, cha camera, eleza ili kila mtu hata yule ambaye hajui kabisa akuelewe. and let's find out if you really understand what you're trying to tell us.

Huhitaji kuniambia mimi, tell the audience, acha njia za kienyeji kama kupiga picha na kulinganisha kwa macho.

Na nimekupa mfano mdogo, eleza kwa nini camera ya tecno pamoja na kuwa na pixel nying sio nzuri (maana ulishasema hili kwa kulinganisha picha, hiyo ni njia ya kienyeji), in relation to sensor na vitu vingine kama.

Kuhusu kama najua maana ya forum au sijui, nakuhakikishia kuwa najua.
mkuu namba yoyote ukigawanya kwa zero unafahamu jibu lake, umeshaambiwa huko juu na mimi nimekwambia hawatangazi sensor zao wala specs zozote nilinganishe nini? hewa? hivyo vinavyolinganishika nimekutajia juu ufs vs emmc ddr3 vs ddr4 na nimekuekea na picha.
 
mkuu namba yoyote ukigawanya kwa zero unafahamu jibu lake, umeshaambiwa huko juu na mimi nimekwambia hawatangazi sensor zao wala specs zozote nilinganishe nini? hewa? hivyo vinavyolinganishika nimekutajia juu ufs vs emmc ddr3 vs ddr4 na nimekuekea na picha.

Naweza kukuuliza kama hawatangazi ulikuwa unalinganisha na nini? Na una uhakika kwamba hawatangazi na hakuna sehemu unaweza kupata data za sensor? Sasa usijibu hayo maswali niliyouliza. Hebu nionyeshe ni wapi umefanya comparison ya hivi: ufs vs emmc ddr3 vs ddr4, ukionyesha dhahiri kwa sumsung na tecno.

Kingine nilishakuambia ukiwa mtaalamu wa kitu unaweza kukichukua ukakichunguza wewe mwenyewe, usisubiri kutangaziwa, halafu ukaleta findings. Usisahau kutuambia ulifanyaje examination ya specs mbalimbali - methodology. Ila njia zako kama vile za kulinganisha picha, ndio nazikataa.

Sitetei tecno wala sumsung, niko concerned na appraoch unayotumia kujenga hoja zako, ukizingatia inaonekana watu wengi wanaamini kila unachokisema, ukiwa wrong utapotosha watu wengi.
 
Naweza kukuuliza kama hawatangazi ulikuwa unalinganisha na nini? Na una uhakika kwamba hawatangazi na hakuna sehemu unaweza kupata data za sensor? Sasa usijibu hayo maswali niliyouliza. Hebu nionyeshe ni wapi umefanya comparison ya hivi: ufs vs emmc ddr3 vs ddr4, ukionyesha dhahiri kwa sumsung na tecno.

Kingine nilishakuambia ukiwa mtaalamu wa kitu unaweza kukichukua ukakichunguza wewe mwenyewe, usisubiri kutangaziwa, halafu ukaleta findings. Usisahau kutuambia ulifanyaje examination ya specs mbalimbali - methodology. Ila njia zako kama vile za kulinganisha picha, ndio nazikataa.

Sitetei tecno wala sumsung, niko concerned na appraoch unayotumia kujenga hoja zako, ukizingatia by inaonekana watu wengi wanaamini kila unachokisema, ukiwa wrong utapotosha watu wengi.
mkuu hardware ni zile zile ikiwa ufs 2.0 imetumika awe katumia sony, iwe samsung iwe tecno iwe huawei speed ni ile ile hivyo huna haja ya kutumia emmc ya tecno au ufs ya huawei kujua actual speed. same kwa ram ni mule mule na ukumbuke hapa mtengenezaji ni mmoja, ukikuta ufs kwenye one plus ujue katengeneza samsung na hata mfano 2019 huko ukakuta Tecno ina ufs ujue itatoka samsung.

hivyo kufanya comparison ya kitaalamu huna haja ya kuwa exactly device fulani kujua.

vitu kama ram, cpu, gpu etc ni rahisi kuvifahamu sababu unaangalia soc,

mfano mtu akisema simu yangu inatumia mediatek helio x20 mimi moja kwa moja nafahamu itakuwa na
-core 10 za cpu mbili zikiwa kubwa na 8 ndogo
-ram single chanell ddr3
-gpu ya mali T880 mp4
-4G
-bluetooth 4 etc

najuaje? ni mediatek wenyewe wakitangaza soc zao wanataja na specs zake, hapo manufacture hawezi badili kitu,

siku Tecno akitangaza simu ina helio x20 automatic nafahamu specs zake zinazohusiana na hio soc,

soc ya ddr3 ukaeka ddr4, au soc haikubali 4G ukaieka, unless ufanye tafiti za kufa mtu zitakazokuchukua miaka mingi. kwa ulimwengu huu nimeona Nokia na Motorola tu wakiwa excluded kwenye hizi rules.

so mimi nahitaji kuisoma kiundani soc(system on chip) ili niweze fahamu simu nyingi kwa mpigo, unakuta soc moja inatumiwa na simu tofauti tofauti 50, huwezi ukakaa chini ukakariri simu zote 50.

hizo camera za Tecno hazitolewi specs na ukitoa vi blog vyetu uchwara site kubwa zote hawaripoti tecno hivyo ni almost impossible kujua.

na ili nijue manual inabidi nizishike Tecno moja moja nianze kuziangalia na pengine inaweza hitaji hata root access kitu ambacho ni karibia hakiwezekani.
 
Usijali mkuu. Mimi nakuja na picha za camera zenyewe. Kwa maana ya hardware zenyewe. Maana mtu kweli hapo atashindwa kutofautisha kiatu orginal na fake????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hardware ni zile zile ikiwa ufs 2.0 imetumika awe katumia sony, iwe samsung iwe tecno iwe huawei speed ni ile ile hivyo huna haja ya kutumia emmc ya tecno au ufs ya huawei kujua actual speed. same kwa ram ni mule mule na ukumbuke hapa mtengenezaji ni mmoja, ukikuta ufs kwenye one plus ujue katengeneza samsung na hata mfano 2019 huko ukakuta Tecno ina ufs ujue itatoka samsung.

hivyo kufanya comparison ya kitaalamu huna haja ya kuwa exactly device fulani kujua.

vitu kama ram, cpu, gpu etc ni rahisi kuvifahamu sababu unaangalia soc,

mfano mtu akisema simu yangu inatumia mediatek helio x20 mimi moja kwa moja nafahamu itakuwa na
-core 10 za cpu mbili zikiwa kubwa na 8 ndogo
-ram single chanell ddr3
-gpu ya mali T880 mp4
-4G
-bluetooth 4 etc

najuaje? ni mediatek wenyewe wakitangaza soc zao wanataja na specs zake, hapo manufacture hawezi badili kitu,

siku Tecno akitangaza simu ina helio x20 automatic nafahamu specs zake zinazohusiana na hio soc,

soc ya ddr3 ukaeka ddr4, au soc haikubali 4G ukaieka, unless ufanye tafiti za kufa mtu zitakazokuchukua miaka mingi. kwa ulimwengu huu nimeona Nokia na Motorola tu wakiwa excluded kwenye hizi rules.

so mimi nahitaji kuisoma kiundani soc(system on chip) ili niweze fahamu simu nyingi kwa mpigo, unakuta soc moja inatumiwa na simu tofauti tofauti 50, huwezi ukakaa chini ukakariri simu zote 50.

hizo camera za Tecno hazitolewi specs na ukitoa vi blog vyetu uchwara site kubwa zote hawaripoti tecno hivyo ni almost impossible kujua.

na ili nijue manual inabidi nizishike Tecno moja moja nianze kuziangalia na pengine inaweza hitaji hata root access kitu ambacho ni karibia hakiwezekani.

Comparison niliyotaka ufanye, haiwezekani kwa sababu hujui specs za tecno, na sababu ya msingi uliyotoa hawatangazi, na labda haiwezekani kufahamu (kwa mjibu wako). Sasa hapakuwa na haja ya kuanza kusema camera ya sumsung ni bora kuliko ya tecno au kufanya comparison nyingine yoyote kwa kuhisi, wakati specs za upande mwingine huzijui.

Halafu unafahamu kamwe, unapofanya ulinganifu, lazima vitu unavyovilinganisha viwe angalau vinakaribiana, mfano huwezi kulinganisha toleo la kwanza kabisa la iphone na sumsung galaxy s8.

Nashukuru kuwa umegundua habari nyingi ni za kishabiki, kwenye blogs na websites, wafanya tech reviews waliowengi wanalipwa, atafanya tech review ya sumsung au iphone au tecno ili kuvuta watu, yaani kazi yao ni kufanya simu ipendwe na iuze, kwa maana hiyo kuna bias kubwa sana.

Na usitegemee pia mtu humu akasifia simu ambayo haitumii (sio wote, bali walio wengi), lazima watavutia upande wao, achilia mbali watu kutokuwa na skills za kuelezea au kuelewa kitu) - unafahamu vizuri ligi zenu, sumsung and iphone fan boys.

Kampuni ya kibiashara inaweza kukuambia explicitly technology inayotumia, jinsi wanavyofanya design, na process zingine zote? Yes/No, kwa nini?

Maswali ya ziada:

1. Sumsung zimeanza kutengenezwa lini na tecno zimeanza lini? Nani anayekua haraka kibiashara na kiteknolojia (naongelea rate)?

2. Je, unafahamu kuwa kwenye ushindani, kuna makampuni ambayo hutumia watu kususia na kuzisema vibaya bidhaa za kampuni zingine ili kuua soko?

3. WhatsApp ina watumiaji wengi sana kuliko Telegram, at least kwa Tanzania labda na Africa, possibly duniani kote, je, ina maana WhatsApp ni bora zaidi kuliko Telegram?

4. Kwa nini watumiaji wa Snapchat Africa ni wachache zaidi kuliko watumiaji wa mabara mengine? Ndio tuseme yenyewe ni bora zaidi kuliko WhatsApp, Telegram, etc. kwa sababu labda inatumiwa Ulaya na Marekani?

5. Je, ni kitu gani kinachofanya product fulani iwe popular? Je, umeshawahi kujionea product ambayo wewe unadhani kuwa ilikuwa ni bora, lakini kwenye mauzo na popularity ikawa chini ukilinganisha na products zingine ambazo ni inferior?

7. Je, unajua kuwa unaweza kuwa unatumia kitu miaka nenda na usikijue undani wake? Yes/No? Kuthibitisha hili, Je, Jamiiforums imetengenezwa kwa kutumia framework gani?
 
Comparison niliyotaka ufanye, haiwezekani kwa sababu hujui specs za tecno, na sababu ya msingi uliyotoa hawatangazi, na labda haiwezekani kufahamu (kwa mjibu wako). Sasa hapakuwa na haja ya kuanza kusema camera ya sumsung ni bora kuliko ya tecno au kufanya comparison nyingine yoyote kwa kuhisi, wakati specs za upande mwingine huzijui.

Halafu unafahamu kamwe, unapofanya ulinganifu, lazima vitu unavyovilinganisha viwe angalau vinakaribiana, mfano huwezi kulinganisha toleo la kwanza kabisa la iphone na sumsung galaxy s8.

Nashukuru kuwa umegundua habari nyingi ni za kishabiki, kwenye blogs na websites, wafanya tech reviews waliowengi wanalipwa, atafanya tech review ya sumsung au iphone au tecno ili kuvuta watu, yaani kazi yao ni kufanya simu ipendwe na iuze, kwa maana hiyo kuna bias kubwa sana.

Na usitegemee pia mtu humu akasifia simu ambayo haitumii (sio wote, bali walio wengi), lazima watavutia upande wao, achilia mbali watu kutokuwa na skills za kuelezea au kuelewa kitu) - unafahamu vizuri ligi zenu, sumsung and iphone fan boys.

Kampuni ya kibiashara inaweza kukuambia explicitly technology inayotumia, jinsi wanavyofanya design, na process zingine zote? Yes/No, kwa nini?

Maswali ya ziada:

1. Sumsung zimeanza kutengenezwa lini na tecno zimeanza lini? Nani anayekua haraka kibiashara na kiteknolojia (naongelea rate)?

2. Je, unafahamu kuwa kwenye ushindani, kuna makampuni ambayo hutumia watu kususia na kuzisema vibaya bidhaa za kampuni zingine ili kuua soko?

3. WhatsApp ina watumiaji wengi sana kuliko Telegram, at least kwa Tanzania labda na Africa, possibly duniani kote, je, ina maana WhatsApp ni bora zaidi kuliko Telegram?

4. Kwa nini watumiaji wa Snapchat Africa ni wachache zaidi kuliko watumiaji wa mabara mengine? Ndio tuseme yenyewe ni bora zaidi kuliko WhatsApp, Telegram, etc. kwa sababu labda inatumiwa Ulaya na Marekani?

5. Je, ni kitu gani kinachofanya product fulani iwe popular? Je, umeshawahi kujionea product ambayo wewe unadhani kuwa ilikuwa ni bora, lakini kwenye mauzo na popularity ikawa chini ukilinganisha na products zingine ambazo ni inferior?

7. Je, unajua kuwa unaweza kuwa unatumia kitu miaka nenda na usikijue undani wake? Yes/No? Kuthibitisha hili, Je, Jamiiforums imetengenezwa kwa kutumia framework gani?


1. tecno hawakui kitechnology, sababu ni kwamba hawatengenezi simu, wanatengenezewa kisha wao wanabandika logo, kukua kwa supplier wake kunamfanya aonekane na yeye anakua (kama darasani vile mwanafunzi anaepiga chabo, ufaulu wake unatokana na mtu anaemuigilizia)

2. ndio yapo

3. whatsapp ni bora ndio sababu yeye ni pioneer na ukuwaji wa telegram umetegemea sana whatsapp.

4. sijafanya utafiti, una data Africa ni wachache zaidi?

5. yap zipo nyingi tu, walioanzisha vitu wengi wao havikufanikiwa wakaja wakafanikiwa wengine, mifano hai
-sharp aquos simu yenye bezel ndogo haikufanikiwa akaja akafanikiwa xiaomi mi mix
-dell streak 5 phablet ya kwanza haikufanikiwa kaja kafanikiwa samsung galaxy note

6.namba 6 umeiruka (note 6?)

7.imetengenezwa na xenforo
 
1. tecno hawakui kitechnology, sababu ni kwamba hawatengenezi simu, wanatengenezewa kisha wao wanabandika logo, kukua kwa supplier wake kunamfanya aonekane na yeye anakua (kama darasani vile mwanafunzi anaepiga chabo, ufaulu wake unatokana na mtu anaemuigilizia)

2. ndio yapo

3. whatsapp ni bora ndio sababu yeye ni pioneer na ukuwaji wa telegram umetegemea sana whatsapp.

4. sijafanya utafiti, una data Africa ni wachache zaidi?

5. yap zipo nyingi tu, walioanzisha vitu wengi wao havikufanikiwa wakaja wakafanikiwa wengine, mifano hai
-sharp aquos simu yenye bezel ndogo haikufanikiwa akaja akafanikiwa xiaomi mi mix
-dell streak 5 phablet ya kwanza haikufanikiwa kaja kafanikiwa samsung galaxy note

6.namba 6 umeiruka (note 6?)

7.imetengenezwa na xenforo

Nikisema Tecno, naongelea anayetengeneza sio anyeuziwa, ingawa mimi sijui jina la kampuni inayotengeneza wala kuuziwa au kuuza, sijataka tu kufuatilia.

3. Sidhani kama hili ni jibu sasa "whatsapp ni bora ndio sababu yeye ni pioneer na ukuwaji wa telegram umetegemea sana whatsapp.", lakini sina nia ya kuendelea kujadili hilo.

4. Intuitively, naamini watuamiaji wa Snapchat Africa ni wachache kulinganisha na kwingine, ingawa sijafanya utafiti, mapaka nitakapo be proved wrong.

Ndio Jamiiforums imetengenezwa kwa XenForo, lakini wakati fulani huko nyuma ulishawahi kutaja framework nyingine inayoendesha Jf na sio Xenforo: XenForo.com (JF ni exactly copy ya XenForo Community Forum: XenForo community)

No. 6 haipo mkuu.

Possibly hapa au kwingine: What are the Softwares behind JamiiForums ?

NB: Labda ulikuwa sahihi, wakati huo walikuwa wanatumia VB na baadaye wakahamia XenForo.
 
Nikisema Tecno, naongelea anayetengeneza sio anyeuziwa, ingawa mimi sijui jina la kampuni inayotengeneza wala kuuziwa au kuuza, sijataka tu kufuatilia.

3. Sidhani kama hili ni jibu sasa "whatsapp ni bora ndio sababu yeye ni pioneer na ukuwaji wa telegram umetegemea sana whatsapp.", lakini sina nia ya kuendelea kujadili hilo.

4. Intuitively, naamini watuamiaji wa Snapchat Africa ni wachache kulinganisha na kwingine, ingawa sijafanya utafiti, mapaka nitakapo be proved wrong.

Ndio Jamiiforums imetengenezwa kwa XenForo, lakini wakati fulani huko nyuma ulishawahi kutaja framework nyingine inayoendesha Jf na sio Xenforo: XenForo.com (JF ni exactly copy ya XenForo Community Forum: XenForo community)

No. 6 haipo mkuu.
huyo anaetengeneza anaweza akawa ana technology ya juu zaidi ila tecno akataka atengenezewe cheap kusave cost.

4. so wewe unaruhusiwa kutumia intuition ila mimi siruhusiwi?

nimeshawahi kusema vbulletin ndiyo, niliongea hivyo sababu yalikuwa ni maneno ya moderator kipindi hicho alituambia. ila nafahamu kama ni xenforo ndio iliotumika,
 
b7cca0a556af09c5f4bbf8a2cce66a35.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ni ngarasero?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo anaetengeneza anaweza akawa ana technology ya juu zaidi ila tecno akataka atengenezewe cheap kusave cost.

4. so wewe unaruhusiwa kutumia intuition ila mimi siruhusiwi?

nimeshawahi kusema vbulletin ndiyo, niliongea hivyo sababu yalikuwa ni maneno ya moderator kipindi hicho alituambia. ila nafahamu kama ni xenforo ndio iliotumika,

Ukitumia intuition sema ni intuition, lakini haiwi fact mpaka ithibitike.

Kijana ninapokuchallenge, nakufanya uwe better zaidi, kwa hiyo usichukulie tofauti.

Naenda na majukumu mengine. See you.
 
Ukitumia intuition sema ni intuition, lakini haiwi fact mpaka ithibitike.

Kijana ninapokuchallenge, nakufanya uwe better zaidi, kwa hiyo usichukulie tofauti.

Naenda na majukumu mengine. See you.
mimi siogopi challenge mkuu hivyo usijali kwa hilo, siku njema
 
duh napangiwa simu tena? sasa mkuu nimetumia Nokia 808 hapo kumuonesha ndugu yangu wa 1020 hao kina samsung na iphone wameingiaje? hakuna simu ya samsung wala iphone yenye lossless zoom kama ya 808 na 1020

na mimi sina iphone ya kutumia labda nikaombe kwa jirani,
c7588df6868298855945eac19dc4172b.jpg


952269ec5270d085165daa342ccdd3f8.jpg


Mkuu hizo picha nilitumia samsung S6 plus edge na nilikaa ghorofani kabisa pale MIC hotel ubungo na niliweza piga picha ya umbali huo ikatoka hivyo waambie wakajaribu na Tecno tuone....



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapima ubora wa simu kwa kuweka kwenye ndoo ya maji?
Naomba unieleze unatambuaje simu moja ni bora kuliko nyingine?
Tecno hawana water resistant ipo wazi kwa hiyo ubora wake ni mdogo compared to Samsung or iphone au unabisha na hilo nimeamini wewe huna facts zaidi ya kubwabwaja tu,yaani nimeshangaa sana kuniuliza hivyo.
Acha kupotosha umma kaka Samsung ni kampuni kubwa la electronics wana scientists wao wanavumbua hardware zao wana invest billions of dollar katika reserch zao watengeneza hardware na kuuza kwa company nyingine kama apple.
Usilete ubishi ambao solution inafahamika unapotezea watu muda wao.
Tecno hawajafikia hata kupambana na huawei.
Naomba unieleze tunatambuaje ubora wa simu?
 
Mkuu nasubiri picha zako ulizosema utapiga zikiwa mbali ili tuprove quality maana ulisema zitamaliza MB zetu tunazitaka tuzione ,halafu nataka za simu ya samsung na Iphone tu...Nokia tumuweke pembeni.
Usijali nina iphone 6 hapa utapata picha.
 
Back
Top Bottom