kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,624
- 1,826
Of course kwa camera kwa simu za siku hizi hakuna anayemfikia tecno
umerogwa na hayo madubwasha
Of course kwa camera kwa simu za siku hizi hakuna anayemfikia tecno
Yap iko vizuri sana, it's real 16Megapix front and rear camera. Ninaitumia...sijajua tu kama cover zake zimeshatoka coz sijavutiwa na hz cover za tecno wenyewe walizozitoa. Kama budget yako inaruhusu ichukue tu mkuu
Acha uongo mkuu mbona mi natumia tecno toka may 2016-mpaka sasa inapiga kazi fresh tu.miezi 6 inakua chuma chakavu
Hahah mkuu dubai na wapi kwengine.unaishindanisha camera ya tecno na camera ya simu gani mkuu
Brand yngu ya huawei ipo kwny top 20 za dunia, tecno stakaa ntumieJe we we Upo kwenye 20 bora hadi unataka hivyo nisawa MTU anavaa nguo ya mamilioni uku ananuka mwili nzima umejaa ukulutu .tecno simu yetu waafrica tuipende
Hamia tecno mkuu hujachelewaNokia 3310View attachment 576222
still hamtujibu maswali ya kila siku humu,Msiwadharau sana Tecno,wamenunua kiwanda cha simu huko ufaransa kilicho kuwa kiwanda cha simu ziitwazo Sagem.
Mbona picha mbaya sana hii?
Sasa mbona mnaponda tecno amsemi tecno gani mpondapo mnaponda zote kama ni hivyo tuangalie na uwiano wa bei siyo mwaka tu ukitazama bei ya tecno na ubora wake tecno is the best wanafiki amkosi sababuTecno 16mp na iPhone 8mp nahisi mlikuwa mnacompare ukubwa wa picha na sio quality ya picha,nina ipad air ya 5mp hiyo c10 haifuati.
iphone 6 ni ya 2014 si ulete na tecno ya 2014 au tushindanishe na iphone SE inayochukua 4k ,hiyo ya kwako inaweza ku-support 4K?
hebu jamani hata siku moja moja muwe mnagoogle,Sasa mbona mnaponda tecno amsemi tecno gani mpondapo mnaponda zote kama ni hivyo tuangalie na uwiano wa bei siyo mwaka tu ukitazama bei ya tecno na ubora wake tecno is the best wanafiki amkosi sababu
Kwanza wanaoponda tecno awachambui tecno gani kwa iPhone gani au Samsung gani wao huwa wanasema tecno ni hovyo kwa simu yoyote ya Samsung au iPhone NK ila leo mmeanza kukubali baada ya kukubali kuwa tecno kaizidi iPhone 6 ni chamtoto sasa nataka kukufundisheni kanuni HII TECNO YA BEI FURANI IZIDISHE MARA 3 NDO UTAKUWA UMEPATA SIMU YA KUISHINDANISHA MFANO MWENYE TECNO YA LAKI 3 NI SAWA SAWA NA MWENYE SAMSUNG NA IPHONE YA LAKI 9Tecno 16mp na iPhone 8mp nahisi mlikuwa mnacompare ukubwa wa picha na sio quality ya picha,nina ipad air ya 5mp hiyo c10 haifuati.
iphone 6 ni ya 2014 si ulete na tecno ya 2014 au tushindanishe na iphone SE inayochukua 4k ,hiyo ya kwako inaweza ku-support 4K?
Ndo ulivoamka hivo au!Kwanza wanaoponda tecno awachambui tecno gani kwa iPhone gani au Samsung gani wao huwa wanasema tecno ni hovyo kwa simu yoyote ya Samsung au iPhone NK ila leo mmeanza kukubali baada ya kukubali kuwa tecno kaizidi iPhone 6 ni chamtoto sasa nataka kukufundisheni kanuni HII TECNO YA BEI FURANI IZIDISHE MARA 3 NDO UTAKUWA UMEPATA SIMU YA KUISHINDANISHA MFANO MWENYE TECNO YA LAKI 3 NI SAWA SAWA NA MWENYE SAMSUNG NA IPHONE YA LAKI 9
Oy hao wasikusumbue kuwadhibitishia kuwa tecno ni noma wao siwanajifanya matajiri uchwara wakanunue tecno CX ya majaribio wajaribu wenyewe wanajifanya wanahela ndo mana awatumii simu ya tecno SASA MATAJIRI WA IPHONE NA SAMSUNG MNASHINDWA KUNUNUA TECNO HADI SISI MASIKINI TUKUTUMIENI PICHA pumbaaafu sanaHamna CX hapo
Nautangaza rasmi Samsung kuwa simu ya madada wadada mkuje muone wanaume wanavyo Lilia simu yenu pendwa aka kipochi