We mpumbavu sana unaleta ubishi wa kijinga mwenzio anamwaga nondo zenye facts! Maskini mkubwa we
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimeleta ubishi wa kijinga?
We mpumbavu sana unaleta ubishi wa kijinga mwenzio anamwaga nondo zenye facts! Maskini mkubwa we
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka natafuta Tecno inayo support 4K nahitaji kununua tafadhali kama ipo.Wapi nimeleta ubishi wa kijinga?
Ngoja itakuja 2020Kaka natafuta Tecno inayo support 4K nahitaji kununua tafadhali kama ipo.
Kaka natafuta Tecno inayo support 4K nahitaji kununua tafadhali kama ipo.
hahahaha!!!!!basi ngoja nikanunue samsung.
Tecno 16mp na iPhone 8mp nahisi mlikuwa mnacompare ukubwa wa picha na sio quality ya picha,nina ipad air ya 5mp hiyo c10 haifuati.Kubishana na wajinga na wapumbafuu nishida sana yuko mweu mmoja alileta ubishi wa kijinga nikamfanyia majaribio mwenyewe aka proof ujinga wake nilichukua TECNO CX na IPHONE 6 kisha nikavhukua laptop nikapiga picha maeneo sawa sawa na kwa wakati sawa kila simu picha 10 tano usiku na tano mchana nikazi edit majina nikazitia kwenye laptop moja nikazichanganya sasa nikaanza kumwonyesha upumbavu wake nikamwambia kati ya hizo picha 20 kumi ni za iphone6 na kumi niza tecno CX alipo ziangalia kijasho kikaanza kumtoka nikamwambia nichambulie za tecno CX na iPhone ziwe pekeyake jamaa alipo chambua ubishi uli ishia hapo Tisa za tecno akasema niza iphone 6 isipokua moja ndo ikawa ya iPhone 6 kweli zile nyingine 9 za tecno akadai ni za iPhone 6 isipokua moja jamaa ni shabiki wa iPhone ndipo nika mwonyesha alivyo bugi ubishi ukaisha kakubali kuwa tecno CX ni noma tena simu zote zilikuwa zimenunuliwa week tu mpya kabisa
TUTUMIE NJIA HII KUPUNGUZA UBISHI USIO NA AKILI Mimi nilipima ubora wa camera kwa njia hii
hio laptop imepotea? zieke hapa tuoneKubishana na wajinga na wapumbafuu nishida sana yuko mweu mmoja alileta ubishi wa kijinga nikamfanyia majaribio mwenyewe aka proof ujinga wake nilichukua TECNO CX na IPHONE 6 kisha nikavhukua laptop nikapiga picha maeneo sawa sawa na kwa wakati sawa kila simu picha 10 tano usiku na tano mchana nikazi edit majina nikazitia kwenye laptop moja nikazichanganya sasa nikaanza kumwonyesha upumbavu wake nikamwambia kati ya hizo picha 20 kumi ni za iphone6 na kumi niza tecno CX alipo ziangalia kijasho kikaanza kumtoka nikamwambia nichambulie za tecno CX na iPhone ziwe pekeyake jamaa alipo chambua ubishi uli ishia hapo Tisa za tecno akasema niza iphone 6 isipokua moja ndo ikawa ya iPhone 6 kweli zile nyingine 9 za tecno akadai ni za iPhone 6 isipokua moja jamaa ni shabiki wa iPhone ndipo nika mwonyesha alivyo bugi ubishi ukaisha kakubali kuwa tecno CX ni noma tena simu zote zilikuwa zimenunuliwa week tu mpya kabisa
TUTUMIE NJIA HII KUPUNGUZA UBISHI USIO NA AKILI Mimi nilipima ubora wa camera kwa njia hii
iziweka hapa naomba uni tag. BTW iPhone 6 haina technology ya 4K?hio laptop imepotea? zieke hapa tuone
hio laptop imepotea? zieke hapa tuone
haina 4K ila inachukua 1080p kwa 60fpsHuyu anazingua ak
iziweka hapa naomba uni tag. BTW iPhone 6 haina technology ya 4K?
hii picha ya chini ni nzuri sana mkuu, kuanzia nyasi hadi mawingu.![]()
![]()
Nimejaribu kuzipost picha katika ukubwa wake halisi ila zimezingua still zinakuwa compressed ila nadhani kitaonekana japo kidogo nachokitaka kionekane
hii picha ya chini ni nzuri sana mkuu, kuanzia nyasi hadi mawingu.
Kwa hyo hapo ya CX ni ipi na iPhone ni ipi?!![]()
![]()
Nimejaribu kuzipost picha katika ukubwa wake halisi ila zimezingua still zinakuwa compressed ila nadhani kitaonekana japo kidogo nachokitaka kionekane
Kwa hyo hapo ya CX ni ipi na iPhone ni ipi?!
Samahani mkuu,hii picha ya chini ni nzuri sana mkuu, kuanzia nyasi hadi mawingu.
pengine hata huja unlock bootloader badoSamahani mkuu,
Naomba ntoke nje kidgo ya mada. Nina simu yangu ya Huawei y pro ii aisee nimejaribu mbinu zote za kuruti bila mafanikio mkuu.View attachment 575962
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran mkuu hebu nipitie kwanzapengine hata huja unlock bootloader bado
cheki hapa
Root Huawei y6 ii based on Kirin 620 - CAM-L03, CAM-L23 and CAM-L21