Of course kwa camera kwa simu za siku hizi hakuna anayemfikia tecno
Yap iko vizuri sana, it's real 16Megapix front and rear camera. Ninaitumia...sijajua tu kama cover zake zimeshatoka coz sijavutiwa na hz cover za tecno wenyewe walizozitoa. Kama budget yako inaruhusu ichukue tu mkuuHabari wakuu,
Naomba kuuliza; je simu ya tecno camon cx ina ubora huo wa camera ambao wanaunadi, Je ni simu ipi ya Infinix ambayo in camera nzuri?
Jaribu w5 mkuu ayo ma s6 hayaoni ndani
Mkuu hivi unafahamu tecno inauzwa africa tu,tena sio nchi zote,sasa utanishawishi vipi kuwa simu ambayo hata FCC hawaitambui inaweza kuwa na kamera bora kuliko flagships za samsung na wengineo wanao compete worldwide.?Jaribu w5 mkuu ayo ma s6 hayaoni ndani
We acha kusema uongo tecno zinatumiwa Africa tu???you can't be serious nenda Dubai ,uone tecno zilivyo kama ubwabwa nimetumia brand nying za simu ila simu za tecno za siku hizi camera wanaongozaMkuu hivi unafahamu tecno inauzwa africa tu,tena sio nchi zote,sasa utanishawishi vipi kuwa simu ambayo hata FCC hawaitambui inaweza kuwa na kamera bora kuliko flagships za samsung na wengineo wanao compete worldwide.?
Hahah mkuu dubai na wapi kwengine.unaishindanisha camera ya tecno na camera ya simu gani mkuuWe acha kusema uongo tecno zinatumiwa Africa tu???you can't be serious nenda Dubai ,uone tecno zilivyo kama ubwabwa nimetumia brand nying za simu ila simu za tecno za siku hizi camera wanaongoza
Thanks mkuu for reply!Yap iko vizuri sana, it's real 16Megapix front and rear camera. Ninaitumia...sijajua tu kama cover zake zimeshatoka coz sijavutiwa na hz cover za tecno wenyewe walizozitoa. Kama budget yako inaruhusu ichukue tu mkuu
hili jukwaa huwa hatupendi maneno mengi? una Tecno gani? chagua kitu common kama hela, kalamu, funguo etc piga picha then kitume humu na wenye simu zao nao watafanya hivyo hivyo then utajua kama wanaongoza ama la.We acha kusema uongo tecno zinatumiwa Africa tu???you can't be serious nenda Dubai ,uone tecno zilivyo kama ubwabwa nimetumia brand nying za simu ila simu za tecno za siku hizi camera wanaongoza
Techno Phantom6hili jukwaa huwa hatupendi maneno mengi? una Tecno gani? chagua kitu common kama hela, kalamu, funguo etc piga picha then kitume humu na wenye simu zao nao watafanya hivyo hivyo then utajua kama wanaongoza ama la.
mkuu eneo kama hilo ni ngumu kila mtu kupata hio view. tafuta kitu commonTechno Phantom6
Itakuwa dubai ya kko..Hahah mkuu dubai na wapi kwengine.unaishindanisha camera ya tecno na camera ya simu gani mkuu