Jakaya Kikwete na Ridhiwani, wageni rasmi kwenye sherehe za Jando na Unyago huko Msoga

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,580
17,686
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakitembelea vijana kambini kwao usiku kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago.

Wavulana na Wasichana hao waliotoka siku hiyo ni wajukuu wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kaka zake na dada zake.
20240104_070909.jpg
20240104_070905.jpg
20240104_070902.jpg
20240104_070859.jpg
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakitembelea vijana kambini kwao usiku kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago.

Wavulana na Wasichana hao waliotoka siku hiyo ni wajukuu wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kaka zake na dada zake.
View attachment 2861386View attachment 2861387View attachment 2861388View attachment 2861389
Wakishua hao "funua pale"
 
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mhe Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, wakitembelea vijana kambini kwao usiku kijijini Msoga wilaya ya Chalinze mkoani Pwani ukoo wa Kikwete walikuwa na sherehe kubwa ya jando na unyago.

Wavulana na Wasichana hao waliotoka siku hiyo ni wajukuu wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na kaka zake na dada zake.
View attachment 2861386View attachment 2861387View attachment 2861388View attachment 2861389
Safi sana sana
At least tunaanza kurejea yale mazuri ya jando na unyago.

Lakini residaa mstaafu alipaswa kuvaa mavao stahiki ya shughuli hiyo. Aache ubishoo🤣
 
Kwahiyo ni wageni rasmi katika sherehe yao wenyewe.

Hii ni kama kusema leo tumepata mgeni nyumbani ambae ni baba mwenye nyumba anaeishi hapo hapo.

Anyways ni wakati wao huu kila wanachofanya ni headline. Hata kutahiri watoto wao.

Pia hongera kwao kwa kuenzi mila na jadi.
 
ukitaka kujua kwa nini wanazima umeme na kutesa watu au kwa nini watoto albino hawakuwa protected na walitekwa kuuliwa na kukatwa viungo angalia tu matendo ya watawala wetu, hata umeme upo na na wanakata makusudi sababu ya matambiko, nina uhakika kwa 100% raisi mstaafu kikwete hakumpeleka ridhwani unyago kama alitairiwa alimpeleka hospitalini na nina uhakika kama ridhwani ana mtoto hakumpeleka unyago bali hospitalini and the question is kama unyago ni mzuri kwa nini wao wasipeleke watoto wao kwa nini utamaduni uenziwe na wengine tu?

nchi hii adui mkuu wa maendeleo ni uislamu wa tanzania ambao aidha haueleweki na wajiitao waislamu au wenyewe ni tatizo lkn mara nyingi uislamu hauwezi kuwa na tatizo kwani umetumika jamii nyingine kuleta maendeleo na ustaarabu hivyo tatizo ni waislamu wa tanzania na watu aina hii tunategemea watuvushe 20th century kweli?
 
ukitaka kujua kwa nini wanazima umeme na kutesa watu au kwa nini watoto albino hawakuwa protected na walitekwa kuuliwa na kukatwa viungo angalia tu matendo ya watawala wetu, hata umeme upo na na wanakata makusudi sababu ya matambiko, nina uhakika kwa 100% kikwete hakumpeleka ridhwani unyago kama alitairiwa alimpeleka hospitalini na nina uhakika kama ridhwani ana mtoto hakumpeleka unyago bali hospitalini and the queation is kama unyago ni mzuri kwa nini wao wasipeleke watoto wao kwa nini utamaduni uenziwe na wengine tu?

nchi hii adui mkuu wa maendeleo ni uislamu wa tanzania ambao aidha haueleweki na wajiitao waislamu au wenyewe ni tatizo lkn mara nyingi uislamu hauwezi kuwa na tatizo kwani umetumika jamii nyingine kuleta maendeleo na ustaarabu hivyo tatizo ni waislamu wa tanzania …
Kitu pekee ambacho watu wasichojua ni kuwa, huko watoto hawapelekwi kutahiliwa siku hizi, wanatahiliwa hospital isipokuwa kwenye jando na unyago unaenda kufundishwa elimu mbalimbali za kimila, kijamii pamoja na kufanya matambiko kwenye mizimu.
 
Kitu pekee ambacho watu wasichojua ni kuwa, huko watoto hawapelekwi kutahiliwa siku hizi, wanatahiliwa hospital isipokuwa kwenye jando na unyago unaenda kufundishwa elimu mbalimbali za kimila, kijamii pamoja na kufanya matambiko kwenye mizimu.

sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
 
sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
Alifanyiwa, kumbuka kwenye unyago na jando jamii zote za kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani n.k, suala la kupeleka mtoto kwenye jando (mtoto wa kiume) na unyago (mtoto wa kike ) ni "LAZIMA"

Kinachotofautisha kati ya masikini na tajiri ni maeneo ya kufanyia hayo matukio ya jando na unyago.

Huyu atafanyia porini huko na huyu atatafuta eneo lililojitenga na jamii ila kuna miundombinu ya kuishi, atafungiwa humo mtoto/watoto kwa kipindi kisichozidi mwezi huku akila elimu ya jadi, jamii, ndoa na kufanya ushirikina(matambiko).

Hilo tukio unaloliona ni sherehe ya kuhitimisha zoezi hilo baada ya kukaa kambini kwa takribani mwezi mzima bila kuonana na wazazi wao tofauti na yule anayewafunda na wale wanaowaandalia chakula.
 
sawa, swali je ridhwani alipelekwa unyago na raisi kikwete? au yeye ridhwani kama ana mtoto kampeleka kwenye huo unyago? jibu lake wewe mwenyewe unalijua kwamba ni no, sasa kwa nini huo unyago kama ni mzuri uwe kwa watoto wa wengine tu?
Mkuu mbona jamaa kaelezea vizur

Hata hyo Ridhawan inawezekana. Kuwapeleka watoto zake kupata Elimu ya Mila n utamadun
Na siumeona hao wajukuu inawezekana hata mtoto wa Rizi yupo hapo
 
Back
Top Bottom