Eli24
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 165
- 365
Habari za Asubuh wanaJF?
Ngoja niende moja kwa moja kwenye topic yangu ya leo.
Sisi majob seeker leo tumekutana hapa posta mpya tukawa tunapiga story za hapaa na pale kuhusu ajira za ubalozini.
Niko mbele yenu kuuliza hivi kunafaida kubwa sana kufanya kazi kwenye ubalozi kuliko kwenye international organization kama WHO na Mengine mengi.
Nasikia ukifanya kazi ubalozini kama vile ubalozi wa Marekani haukatwi kodi ya serikal, Je na hili nalo ni kwel ?
Hebu tujuzanee ndugu zangu kama kunafaida yoyote nzuri ambayo mtu anaweza kuipata akifanyia kazi unabalozini.
Kuuliza sio ujinga.
Ngoja niende moja kwa moja kwenye topic yangu ya leo.
Sisi majob seeker leo tumekutana hapa posta mpya tukawa tunapiga story za hapaa na pale kuhusu ajira za ubalozini.
Niko mbele yenu kuuliza hivi kunafaida kubwa sana kufanya kazi kwenye ubalozi kuliko kwenye international organization kama WHO na Mengine mengi.
Nasikia ukifanya kazi ubalozini kama vile ubalozi wa Marekani haukatwi kodi ya serikal, Je na hili nalo ni kwel ?
Hebu tujuzanee ndugu zangu kama kunafaida yoyote nzuri ambayo mtu anaweza kuipata akifanyia kazi unabalozini.
Kuuliza sio ujinga.