The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 8,259
- 16,177
Hakuna ubabe hapo, hapo kuna mfa maji haishi kutapatapa, dunia inaondokana na utawala wa siri wa kirumi unaoongozwa na vatikano kupitia kanisa katoliki. Sasa zamu ya wafaransa kupigwa chini kote ulimwenguni wanapokula kodi za watu, zinazoishia kuineemesha vatikano.
Mara Vatkan Mara Ufaransa,Tuelewe nini, naamini hata kwenu mshawahi panda gari imeandikwa MIVA