Ubabe huu wa TEC

Ubabe huu wa TEC

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
369,572
Reaction score
855,242
Kama kiongozi mkubwa wa mamlaka kisiasa unajengewa mazingira ya kuhudhuria ibada kwa wito wa kiongozi wako wa dini.. Kwakuwa unamheshimu sana unaitikia wito bila shuruti

Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Kiongozi wa dini anamuagiza mtumishi ampelekee tena kiongozi huyo wa kisiasa nakala nyingine, naye bila kubisha inabidi aipokee na kuiweka upande wake wa kushoto

Jumla anakuwa amepewa nakala mbili peke yake! Hivi kitaalam hii inaitwaje?
20230830_095529.jpg
 
Kama kiongozi mkubwa wa mamlaka kisiasa unajengewa mazingira ya kuhudhuria ibada kwa wito wa kiongozi wako wa dini.. Kwakuwa unamheshimu sana unaitikia wito bila shuruti

Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Kiongozi wa dini anamuagiza mtumishi ampelekee tena kiongozi huyo wa kisiasa nakala nyingine, naye bila kubisha inabidi aipokee na kuiweka upande wake wa kushoto

Jumla anakuwa amepewa nakala mbili peke yake! Hivi kitaalam hii inaitwaje?View attachment 2733127
Tulia ni shetani haki ya Mungu!Yaani haoni ubovu wa mkataba kweli? Ushetani mtupu. Samia naweza nikamtoa kwa sababu Tanganyika siyo kwao, lakini Tulia hapa ndipo kwao, anawaharibia watanganyika wenzake!
 
Kama kiongozi mkubwa wa mamlaka kisiasa unajengewa mazingira ya kuhudhuria ibada kwa wito wa kiongozi wako wa dini.. Kwakuwa unamheshimu sana unaitikia wito bila shuruti

Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Kiongozi wa dini anamuagiza mtumishi ampelekee tena kiongozi huyo wa kisiasa nakala nyingine, naye bila kubisha inabidi aipokee na kuiweka upande wake wa kushoto

Jumla anakuwa amepewa nakala mbili peke yake! Hivi kitaalam hii inaitwaje?View attachment 2733127
Kiongozi mkubwa kama huyu mumemuweka juu ya benchi wala sio juu ya busati.
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
 
Kama kiongozi mkubwa wa mamlaka kisiasa unajengewa mazingira ya kuhudhuria ibada kwa wito wa kiongozi wako wa dini.. Kwakuwa unamheshimu sana unaitikia wito bila shuruti

Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Kiongozi wa dini anamuagiza mtumishi ampelekee tena kiongozi huyo wa kisiasa nakala nyingine, naye bila kubisha inabidi aipokee na kuiweka upande wake wa kushoto

Jumla anakuwa amepewa nakala mbili peke yake! Hivi kitaalam hii inaitwaje?View attachment 2733127
Mshana hohooo
Lakini hii picha imenipa wakati mgumu sana kuwaza.

Ni unyenyekevu au ni perfomance? Maana sisi CCM kwa kuigiza ni hatari
 
TEC sio baraza la mambo ya kidini. Hao ni watu wenye mambo ya siri nje ya imani. Wanajua upigaji wao kwenye kupitisha vitu bandarini unafikia mwisho ndo maana wanakazana kupinga. Ogopa kanisa linaloweza kufadhili Civil Wars.
upigaji ufike mwisho sababu waarabu wanachukua bandari!!!

kwani misamaha ya kodi inaangalia msimamizi wa bandari ni wa dini gani ama sheria za misamaha ya kodi!!!
 
Tulia ni shetani haki ya Mungu!Yaani haoni ubovu wa mkataba kweli? Ushetani mtupu. Samia naweza nikamtoa kwa sababu Tanganyika siyo kwao, lakini Tulia hapa ndipo kwao, anawaharibia watanganyika wenzake!
Wana Mbeya wafanye kweli katika uchaguzi ujao.
 
Kama kiongozi mkubwa wa mamlaka kisiasa unajengewa mazingira ya kuhudhuria ibada kwa wito wa kiongozi wako wa dini.. Kwakuwa unamheshimu sana unaitikia wito bila shuruti

Unapofika ibadani waraka unasomwa mbele ya waumini wote akiwemo kiongozi mkubwa kisiasa kisha naye anapewa nakala yake anaipokea kwa unyenyekevu na kuiweka upande wake wa kulia
Kiongozi wa dini anamuagiza mtumishi ampelekee tena kiongozi huyo wa kisiasa nakala nyingine, naye bila kubisha inabidi aipokee na kuiweka upande wake wa kushoto

Jumla anakuwa amepewa nakala mbili peke yake! Hivi kitaalam hii inaitwaje?View attachment 2733127
Tech ni mmbwa kama mbbbwa wengine tuh
 
Back
Top Bottom