HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,006
- 2,289
Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Ehh Mwenyezi Mungu umtangulie mkulima Stern apate haki yake.[emoji1488]
Utawatambua kwa lugha wanazotumiaKati ya ujinga unaowaandama wanaoitwa wapinzani ni kuona kama fedha zinazolipwa au majanga yakitokea zinaathiri viongozi wakuu wa awamu ya tano. Enyi wajinga, waathirika wakubwa ni nyie! Na ugumu wa maisha unazidi kuangukia kwenu. Mkulima akilipwa ni fedha amabyo angalau ingenunua dawa ya malaria ya kumtibu ndugu yako au wewe mwenyewe. Unajionea janga mwenyewe? Halafu watu wa aina hii ndiyo wanasema wanataka uchaguzi uwe huru na haki ili waingie madarakani. Mtu mwenye akili finyu kama wewe akipewa madaraka nchi ataipeleka wapi kwa ubinafsi ulivyomjaa? Serikali ina haki zote kuhakikisha wabinafsi kama ninyi mnapotea kwenye uhai wa siasa za nchi.
Mkuu kwanini hili deni limetung'ang'ania?Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
😆😆😆😆mlipeni mkulima dhulumat nyinyi !
View attachment 1270734
My Son drink water, Kuna baadhi ya mitazamo huondoa credit kwa wapinzani
Kabisa. Ni vizuri sana kama una akili kama hizo. Watu wabinafsi kama ninyi mkipewa nchi mtajali matumbo yenu tu.Utawatambua kwa lugha wanazotumia
Deni halijatung'ang'ania, sisi ndiyo tumeling'ang'ania.Mkuu kwanini hili deni limetung'ang'ania?
Mpeni mkulima Stern haki yake, anahangaika sana na aibu inasambaa duniani.Kabisa. Ni vizuri sana kama una akili kama hizo. Watu wabinafsi kama ninyi mkipewa nchi mtajali matumbo yenu tu.
Wizard of Oz
Lipeni deni nyinyi acheni porojokwa bahati mbaya mno, wapinzani hapa nchini bado hawajatambua majukumu yao kama vyama vya upinzani, sasa ukiwa na watu wa aina hii ambao bado hawajajitambua ni hatari.
P mambo mengine usiwe unatext awamu hii umekuwa mtu hovyo hovyo umejipunguzia credibility yako kwa kiwango kikubwa sijui nini kimekupata usijidhalilishe hivyo wewe ni binadam unaweza ukawa kama hao unaolamba soli zao sasaJapo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Sasa kwanin msikae na mkaburu mkamalizana kuliko kuweka jeurJapo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Bado uko na Kigogo pamoja na kukulisha matango pori ya misiba feki na kuharibu bajeti ya bia??
UnderstoodAll men are not alike, wewe you are lucky to have such a father, many of us are not lucky, we were never consulted kitu chochote kinaponunuliwa home.
Sasa na mimi ni baba kwenye familia yangu I have consulted my kids kwenye manunuzi ya mahitaji ya nyumbani au ununuzi wa vifaa vya nyumbani. The only one I can consult ni wife tena on baadhi tuu ya vitu, vitu vingine ni mimi tuu huamua mwenyewe according to the purchasing power at that particular time.
P
Oder fanta. I will pay forPascal Mayalla,
My brother pascall, we were not happy coz of our plane being detained in south africa, no no no, we were happy coz this awamu ya tano thinks that they are clever than even God himself, if you see a president who kills, orders 37 bullets to be pumped into an opposition mp, orders the military to buy korosho yet korosho is nowhere near things like rockets, sumarines or fighter jets,a president who denies people right to express themselves, what else do you expect from the majority of those who such a dictator president is opressing??? i can tell you pascal my brother for free, lots of us will be more than happy if God sends this person(you know who i am talking abaut) to hell fire where he RIGHTFULLY BELONGS, nice weekend bro
Mpaka sasa nilicho na uhakika nacho kuhusu wewe,“UNAONGEA USICHOKIAMINI PASCAL”. Hujui dhambi uliyonayo ni kubwa kuliko ya wazi Pascal,“KWA SABABU KWANZA UMEUSARITI MOYO WAKO KWA KUTENDA KILE USICHOKIAMINI, “PILI UMEWASARITI HAWA MASIKINI WALIO WENGI WA NCHI HII,UMEWAACHA WAJIAHANGAIKIE WENYEWE PASCAL,UMEWAACHIA MAUMIVU,JAPO WAO MAUMIVU ULIYOWAACHIA WEWE HAWAYAONI KWA UWAZI,ILA WEWE UNAYAONA,KSBB UNAJUA,ksbb tu ya kitu unachokijua wewe. Haya maneno yataishi moyoni mwako Pascal. Utakuwa ni msumali wa moto kwako kila wakati uyakumbukapo. Japo kwa sasa moyoni unaweza kusema potelea kokoteJapo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P
Namuangalia kwanza Magufuli, akimaliza ndipo nikapige kuraUmetoka kupiga kura au leo na wewe ratiba yenu ya ibaada itaisha saa 11 jioni?
Paskali...Japo ni kweli tunadaiwa, na siku zote dawa ya deni ni kulipa, lakini kukamatwa au kuzuiliwa kwa ndege yetu ni janga kwa taifa letu. Watanzania tunapaswa kuwa wamoja katika hili, kushirikiana na serikali yetu kwa moral support ndege yetu inasuliwe, lakini kunaonekana kama kuna uzalendo wa ajabu wa watu kufurahia na kuliongelea kiushabiki majanga kwa nchi yako
Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu wewe unafurahi, huu ni Uzalendo wa aina gani?. Kiukweli huu ni Uzalendo wa Ajabu Kabisa kuwahi...www.jamiiforums.com
P