nchi ina taratibu zake na sheria, whether good or bad
CDM wanahitaji kuheshimu hayo, kwani ipo siku wanaweza kuwa madarakani na sijui wanatuonyesha nini kama wanashindwa kuheshimu msingi mmojawapo muhimu wa utawala... kwangu ni maamuzi ya kihuni
two wrongs wont make it right... never!!!
wanatufundisha nini?? kwamba kuna mahakama za watanzania na ni tofauti na za cdm??
maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
Serikali (Membe) imeshasema polisi walikosea kwa hiyo hata kukamatwa kwa viongozi wa CDM ni makosa hakuna mashtaka hapo yafutwe.
hili la kutoenda mahakamani ndiyo nimeliona hapa lkn binafsi sikusikia kauli hii sana sana waliwaomba wananchi kufika siku ya kesi yao ambayo itakuwa tarehe 21-01.2011
nchi ina taratibu zake na sheria, whether good or bad
CDM wanahitaji kuheshimu hayo, kwani ipo siku wanaweza kuwa madarakani na sijui wanatuonyesha nini kama wanashindwa kuheshimu msingi mmojawapo muhimu wa utawala... kwangu ni maamuzi ya kihuni
two wrongs wont make it right... never!!!
wanatufundisha nini?? kwamba kuna mahakama za watanzania na ni tofauti na za cdm??
maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
maamuzi kama haya huwa yanatolewa na walevi wa pombe, na nikiwa serikali, nitaamuru washughulikiwe kwa mujibu wa sheria
Si vizuri kukurupuka na kuweka uzushi hapa JF kama ulihudhuria mkutano wa NMC jana, Mkt Mbowe alisema kuwa tarehe 21 ndio kesi yao itatajwa na kuwauliza wadau kama watakuwepo mahakamani kuwaunga mkono, kauli ambayo ilioungwa mkono na mkutano wote. Kama hukuwepo ktk mkutano wa NMC na umesikia toka kwa source nyingine na siyo toka kwa aliyezungumza basi fanya utafiti tena.
Si vizuri kukurupuka na kuweka uzushi hapa JF kama ulihudhuria mkutano wa NMC jana, Mkt Mbowe alisema kuwa tarehe 21 ndio kesi yao itatajwa na kuwauliza wadau kama watakuwepo mahakamani kuwaunga mkono, kauli ambayo ilioungwa mkono na mkutano wote. Kama hukuwepo ktk mkutano wa NMC na umesikia toka kwa source nyingine na siyo toka kwa aliyezungumza basi fanya utafiti tena.
Ndugu zangu wanaJF,
Kwenye tamko lake kuhusu mauaji yaliyofanywa na jeshi la polisi jijini arusha, chadema inaonyesha kuwa mkutano waliofanya ulikuwa halali kwa mujibu wa katiba ya nchi na kwa hiyo kukamatwa kwao na kusomewa mashtaka mahakamani ilikuwa ni uonevu mkubwa. Kutokana na hilo, chama kimeamua kuwa viongozi wake hawatahudhuria tena mahakamani. Jamani hapo ndipo penye swali langu. Hivi uamuzi huo wa cdm una implication gani kisheria?? Hofu yangu ni kuwa isije ikawa ndiyo chanzo cha matatizo mengine.
kwa vile mashitaka yao ni ya jinai na wako nje kwa dhamana, hatari iliyopo ni dhamana kufutwa kama masharti yake yataonekana mahakamani kuwa yamekiukwa na hivyo wote kukamatwa tena na kurudishwa rumande...... na wao katika tamko lao naoma wameishalifahamu hilo na wamesema wako tayari........ so i can see that everything is properly culculated na hii ni siasa, kazi iliyopo ni washitaki wao nao ku-culculate the implication ya kuendelea na masitaka dhidi yao ama la, kama wataendelea na mshitaka dhidi yao, hakuna mwanya wa kuepuka kufutiwa dhamana kama kweli watatekeleza azma yao hiyo....................
in my opinion, chandema wanashinikiza kitu amabacho ni obvious kitatokea, yaani kufutiwa mashtaka, labda wanataka tu kuongeza shinikizo la kufutiwa haraka...............serikali kwa kufahamu hisia za jamii na jumuia ya kimataifa, haitakuwa tayari kufanya kosa kama la kuwakamata tena, arusha yaweza kulipuka upya na hata nchi nzima yaweza kulipuka kwa maandamano kuprotest hilo na hata jumuiya ya kimataifa yaweza kuiweka nchi yetu kundi moja na ivry coast............... so i believe, in the end serikali itakuja kiutu uzima na viable solution............
Ndugu Acid,
Ulishawahi kuona wapi mahakama za tanzania zinatenda haki kwa wanyonge, ni juzi tu chenge anatozwa laki saba kwa hatia ya kuwaua watu wawili na kuendesha gari lisilo na bima. kama haitoshi tumeona kwa ditopile, Zombe, Mama wa mwanza aliyedhalilishwa mgodini etc hiyo ni mifano michache tu. kwa hiyo tusiiamini hizi mahakama kivile watapiga kesi dana dana hadi 2015 na kuwahukumu kipindi cha kura ya maoni.
Sisi tunawajua CCM vizuri, inakuwa polisi waliouwa watu wana randa randa mtaani hadi leo mtaani kama kweli mahakama ina nguvu. Kwani haioni kama wamevunja sheria.
Peoples power itafanya kazi kama vipi.