Type ya Husband.................

Type ya Husband.................

Huyu sasa kweli nilimsahau muweke kwenye msitari bana au ndo kashakuwa Huby unaniyeyu tu hapa???
Khaaa! niolewe kimya kimya kama wanao olewa na mimba?
Lazima nitakuja kwa shangwe na vigelegele kuomba mchango
But if I was you I wouldn't wait with much expectation,
Mwali sipo huko kwa sasa. AshaDii alipiga akachoka. lol
 
Last edited by a moderator:
da denna leo umewapatia kweli, maana kila siku humu ni mambo ya wanawake leo tumewageuzia kibao...
 
kuna aina moja ya ma-husband hujaiweka...wale wanaume waliowekwa viganjani na wake zao

waafrika!!! haswaa vijijini ni soo

Niliwahi kuambiwa kaka yako atapata shida sana,ule ukoo aliooa wanawake wao humweka mme kiganjani
 
Khaaa! niolewe kimya kimya kama wanao olewa na mimba?
Lazima nitakuja kwa shangwe na vigelegele kuomba mchango
But if I was you I wouldn't wait with much expectation,
Mwali sipo huko kwa sasa. AshaDii alipiga akachoka. lol

Ha ha ha ha haya bana ngoja nisubiri kula ubwabwa mie
 
Huu ni uchokozi wa aina yake.

Mie nilidhani mtu ukirudi toka ulikokuwa umejificha/fichwa unaleta zawadi kwanza.

Hii ndiyo zawadi yetu Dena Amsi?


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Huu ni uchokozi wa aina yake.

Mie nilidhani mtu ukirudi toka ulikokuwa umejificha/fichwa unaleta zawadi kwanza.

Hii ndiyo zawadi yetu Dena Amsi?


Babu DC!!

Mzee DC mzima lakini wewe???

Nilikumisije aisee??

Acha kulalamika kama namba.......

He he he sema basi wewe uko namba ngapi au unafall kwenye nyingi??? Kuanzia 1-9??
 
sijui kwanini sipendi hii makitu ya kuangalia negativity,katika kila kitu isee!sijui nikoje!
 
sijui kwanini sipendi hii makitu ya kuangalia negativity,katika kila kitu isee!sijui nikoje!

It is too much shemeji, yaani of all, positive ni moja tu? Hata kama umetendwa sio wote bhana!
 
Namba 10 ndiye mm!Ni PM nianze sasa hivi kukujazia japo salio kwenye simu yako kuonyesha kwa vitendo kuwa najali!
 
Back
Top Bottom