Type ya Husband.................

Type ya Husband.................

Last edited by a moderator:
Heri mm sijaguna . . . he was thinking critically nn kimetokea au una uzoefu kiasi gani na wanaume mpaka umefikia ku-diagnose hawa viumbe deep like this . . .

Kwani kufikiria nako mpaka uwe na uzoefu don't think so
 
Waefeso 5:22-23

"22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana Wetu. 23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe..."

Heeee makubwa haya umeanza lini kushusha injili au imekugusa sana?? Sante lakini
 
Heeee makubwa haya umeanza lini kushusha injili au imekugusa sana?? Sante lakini

Kwa ajili ya kuelekewa vizuri... soma na hii...:

Mume mwema:

1 Timotheo 5:8 "Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa,ameikana imani,
tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini"

1 Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili..."
 
hakuna cha mkurya, kila mtu anaweza kuwa hivyo.
 
Kwa ajili ya kuelekewa vizuri... soma na hii...:

Mume mwema:

1 Timotheo 5:8 "Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa,ameikana imani,
tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini"

1 Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili..."

Baba Paroko asante sana kwa injili ya leo............
 
Back
Top Bottom