twins in Zambia share one husband

mamie cacico so we hupendi waolewe na mme mmoja na kwanini, make umesema una mfano wa twins kuolewa na mume mmoja. pia umesema twins wako wanashare vitu ving why wasishee na mume?
 
Last edited by a moderator:
mamie cacico so we hupendi waolewe na mme mmoja na kwanini, make umesema una mfano wa twins kuolewa na mume mmoja. pia umesema twins wako wanashare vitu ving why wasishee na mume?
MUNGU apishe mbali! TUFIAKWA najitemea mate kifuani! hapana my dear, washeee muda ukifika kila mtu awe na maamuzi yake na maisha yake na mume wake na watoto wake na familia yake, niwe hai, au kinondoni MUNGU AWAJALIE HAYO! AMEN!
 
Mimi ni twin for real. Sipendi na wala sijawahi kupenda kuwa na mwanaume mmoja na twin wangu. Kwanza tulitofautiana kitaste, kila mmmoja ana sifa zake za mwanaume ampendaye. Kiimani hairuhusu.
 
mimi nina mademu mapacha watatu! daaah! wananipa tabu sana kuwatambua! mpaka kwenye mambo yetu ndo huwa nagundua nlikuwa na yupi! ni rahaaa jamani
 
Kama mwanaume nitakuwa interested kufahamu ni kwanini wanataka niwaoe wote. Na kama mzazi pia nitataka kujua ni kwanini wanataka kuolewa na mwanaume mmoja. Then nita-weigh out the gravity of their argument
 
MUNGU apishe mbali! TUFIAKWA najitemea mate kifuani! hapana my dear, washeee muda ukifika kila mtu awe na maamuzi yake na maisha yake na mume wake na watoto wake na familia yake, niwe hai, au kinondoni MUNGU AWAJALIE HAYO! AMEN!

nimekuelewa mamie, kwanza kiimani sio vyema kabisa! Mungu akujalie kulingana na matakwa yako!
 
Mimi ni twin for real. Sipendi na wala sijawahi kupenda kuwa na mwanaume mmoja na twin wangu. Kwanza tulitofautiana kitaste, kila mmmoja ana sifa zake za mwanaume ampendaye. Kiimani hairuhusu.

ni kweli Remmy hata kama ni identical twins bt kuna vitu watatofautiana tu, hawaez kuwa wanafanana 100% kitabia ama kitaste. . .
 
Last edited by a moderator:
Me cku kibao za nyuma niliwahi kuwa nina mahusiano na identical twinz, nahisi niliwagonga wote nadhani uhenda ni sehemu ya tabia zao ila hawataki kutuweka wazi. Kama kuna identical twinz hapa jamvini plz funguka
 
Mbona hii inakubalika katika baadhi ya makabila? Kwa mfano, Wanyakyusa ni ruksa kuoa katika family moja so long as the first wife anaridhia. Wanaita SAKULA
 
hao identical twins kuna wakiume pia.... nao ni right kuoa mtu mmoja? maana wao pia wanafanana kama wakike
Ndo hapa sasa ile Beijing iliponiacha hoi kwa madai kuwa haki sawa kwa wote... hata sipingani nao ila nashangaa tu je kama haki ni sawa nimeona mara nyingi mme mmoja anaoa wake wawili au zaidi na anapanga zamu za malazi, bi-mkubwa siku 2, bi-mdogo 3 n.k swali langu hapa kama imeshakuwa haki sawa basi hata wanawake waolewe na waume wawili au zaidi na wapange zamu as men does... "Something wrong here.. watch out"
 
Hapa TZ Wilaya ya Ileje katika kijiji cha Isoko kuna mzee mmoja alioa mapacha kwa ridhaa yao nna mzazi wao. Mimi naona kawaida tu
 
hali zenu wana mmu, mapacha wawili wajulikanao kama grace & gracious wameolewa na mume 1 aitwaye kaundula nchini zambia.
Kwenu wanajamvi je hili suala mnalichukuliaje? Je wewe kama ni twin unameza kukubali wewe na twin wako muolewe na mume mmoja? Pia wewe kama mzazi wa twins (refer. cacico) unaweza kukubali twins wako wakaolewa na mume mmoja. Na wewe kama mwanaume unaweza kuwaoa twins 2 kwa pamoja? Karibuni kwa mjadala. . . .
Source. Daily news - aug 7

mhhhhhhh_baba yangu mzazi alioa mtu na mdogo wake tumbo moja,..lakini hawakua mapacha...so kwangu hii wala sioni kama ni issue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom