Hapo kwenye kipimo kuonesha Negative kwa mgonjwa anayetumia ARVs umepotosha mkuu.Mtu ambae ni muthirika anaetumia ARV anakuwa na undetectable status. Hii ina maana viral load imekuwa cleared by ARV's. Sasa basi mtu huyu anachance ndogo ya kukuambukiza lakini mkipima atakutwa -ve.
Sio kupima ngoma tena ile twende pamoja mguu kwa mguu "chama na mogela" ..mpaka kituo cha kupimia....lazima nikaji verify kwanza ....labda kama nimepima siku chache tu zilizopita...Mwanaume kabla hajapata kila utakachomwambia atakubali kufanya.
Sema kweli kiongozi, sio kwamba umekosea?Mkuu bora akauambie tukapime....ilishanitokea kwa binti Nurse.....kabeba vipimo vyake vile fastafasta toka ofisini.....ghafla tu katikati ya stori gheto ananiambia...itabidi tupime hiv kabla ya yote ..mi nikajibu fasta powaa tu ...ma confidence 100% ....akasema unaonaje tukipima sasa hivi....nikamuuliza kivipi....akajibu vipimo ninavyo hapa......aiseee nilikuwa mdogo ..jasho, haja kubwa na ndogo zikaja kwa ghafla...tumbo sio kuunguruma huko.....akadaka mkono ...akachukua sample.....mi nahemia juujuu...bahati majibu yalikuwa powaaaa......
Asante mkuu.Hapo kwenye kipimo kuonesha Negative kwa mgonjwa anayetumia ARVs umepotosha mkuu.
ARVs inafanya viral suppression lakini siyo mpaka undetectable level.
Na vipimo vinapima Antibodies
Hiyo ni kweli, yaani hata mwanaume akivaa condom kama wanavyoiamini mwanamke lazima aingizwe kwenye mkonga wa taifa.Tell me about it? Nilikwenda seminar ya UKIMWI niliporudi mwaka mzima sikuwa na genye. Walitueleza jinsi ilivyo rahisi kwa mwanamke kuambukizwa kama mwanaume ni +ve. Mkiwa mna do zile sperms zote zinazokumwagikia kama ni +ve, he kindly shares it with you. Lakini mwanamke +ve still ni ngumu kumuambukiza mwanaume unless kuwe na michubuko.
Pro-Russia kwa hii point yako nimekuongezea heshima.huyo unaepima nae anakuwa amesex kavukavu wiki iliyopita,vipimo haviwezi kusaidia mpaka msimame wote kusex kwa miezi 3 ndo mpime,
sasa sijui mtachungana vipi.
Sijawahi amini vidonge vile huwa vinasaidia,labda ni kwasababu sijawahi kuona mgonjwa wa ukimwi
Tunashu kuru kwa hilo yangekuwa vingevyo post hii tusingeiona.Mkuu bora akauambie tukapime....ilishanitokea kwa binti Nurse.....kabeba vipimo vyake vile fastafasta toka ofisini.....ghafla tu katikati ya stori gheto ananiambia...itabidi tupime hiv kabla ya yote ..mi nikajibu fasta powaa tu ...ma confidence 100% ....akasema unaonaje tukipima sasa hivi....nikamuuliza kivipi....akajibu vipimo ninavyo hapa......aiseee nilikuwa mdogo ..jasho, haja kubwa na ndogo zikaja kwa ghafla...tumbo sio kuunguruma huko.....akadaka mkono ...akachukua sample.....mi nahemia juujuu...bahati majibu yalikuwa powaaaa......
Tunashu kuru kwa hilo yangekuwa vingevyo post hii tusingeiona.
Hi loveHi Sky....
Hi love
Wengine wanakuaga kwa sauti kubwa asubuhi, baada ya kupima humsikii tena, ukipiga simu hapatikani, mpaka akishazoea ARV's ndiyo anajifanya nilisafiri bwana.
Kwani mchepuko haupimwi? Anaweza kuwa mchepuko permanent.Hivi kweli Mzee na umri huo ukapime kisa mchepuko?
Kwani mchepuko haupimwi? Anaweza kuwa mchepuko permanent.
Sawa. .Haina maana ukapime kwaajili ya mtu ambae mkiachana yale mliyofanya yote anaenda yafanya na mkewe. Hakuna mchepuko permanent wewe. Shemeji yangu alifanyaga kosa sana alinogewa na mchepuko akaununulia nyumba, anashangaa baada ya kuachwa amepigwa stop asikanyage. Machozi yalimtoka mwanaume.
Haina maana ukapime kwaajili ya mtu ambae mkiachana yale mliyofanya yote anaenda yafanya na mkewe. Hakuna mchepuko permanent wewe. Shemeji yangu alifanyaga kosa sana alinogewa na mchepuko akaununulia nyumba, anashangaa baada ya kuachwa amepigwa stop asikanyage. Machozi yalimtoka mwanaume.
Yap unless you are rich enough to give away, lakini kama bado apache alolo, kheri ununue nyama choma tu kwa mchepuko.Hmm.....is that so...?