Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,107
- 143,474
- Thread starter
-
- #101
Mmh wengi ni kutimiza vigezo na masharti ya mwanzoni tu lakini hakuna kitu aisee, watu wenyewe hawa uaminifu zero, mnapima halafu bado mna side dishes kibao, hiyo network utaipima yote kweli?
Sijawahi kuuamini mpira, labda kwenye kuzuia mimba tu.Hao madada wenyewe wanajiamini? Boy friend wa huyu kesho ametoka na yule mbona tunapakana tu mjini hapa. Usidanganyike na hiyo hali ya kupima wengine wanakua na undetectable status, usiache kuvaa gwanda mpaka umfahamu vizuri.
HeeeeeeeeeKuna mashine zingine uvae usivae sawa tu, unaweza ingiza mikono na kupiga makofi.
Sijawahi kuuamini mpira, labda kwenye kuzuia mimba tu.
Achana na kupasuka, kwenye suala la HIV hata isipopasuka condom aiaminiki, au kuna mtu anayeweza kuambiwa avae condom halafu afanya mapenzi na mwanamke mrembo sana ila ni muathirika na akakubali? Wengi wanaotumia condom hawana hakika wala hawajui status za wenza wao.Kwenye kuzuia mimba? Kwani huwa haupasuki?
Mmh bibie maswali yako...........kwaiyo mwezi itaonesha majibu gani?
nimekosea mkuu? maana kasema kipimo kinapima in three month time? je ndani ya mwezi itakuaje?Mmh bibie maswali yako...........
Hujakosea, sema nimesoma maswali yako yote ndo nikajikuta nimeshangaa hivo, teh!nimekosea mkuu? maana kasema kipimo kinapima in three month time? je ndani ya mwezi itakuaje?
nadhani elimu ya kupima bado sana bongo maana watu wakipima leo wakikupa fresh wanadoo leo leo bila kuchek historia .elimu bado hata mimi sielewiHujakosea, sema nimesoma maswali yako yote ndo nikajikuta nimeshangaa hivo, teh!
Baada ya wiki mbili vijidudu vinaonekana?
Nilitaka niseme hivi hivi, humu leo kila mtu anapima mara kabla ya ku-do anataka wapime...SMH....Mimi ukiniambia tukapime nakuachia papuchi yako,kama huniamini tutumie kinga, btw hata tukipima bado nitatumia kinga kwasababu sijui ukiachana na mimi unaenda wapi.Nyuma ya keyboard watu wengi huwa ni wema sana. Watu wengi hupima. Na blah blah zingine kibao.
Lakini uhalisia tunaouona huku uraiani hauakisi maneno ya watu walio anonymous nyuma ya keyboard.
Mtu ambae ni muthirika anaetumia ARV anakuwa na undetectable status. Hii ina maana viral load imekuwa cleared by ARV's. Sasa basi mtu huyu anachance ndogo ya kukuambukiza lakini mkipima atakutwa -ve.
My take, mdate kwanza mkiamua kufuata usafi wa Roho Mt sawa la mle tunda kwa ndomu. Kipimo sahihi cha ukimwi ni miezi mitatu baada ya maambukizi ndio virus wanaonekana. Kwahiyo kama umeamua huyu ndiye awe wa future, baada ya miezi mitatu katika kudate kwenu ukajua hajakutana na mtu mwingine na wewe kadhalika mkapime. Muanzie hapo wote mtakuwa safe.
For the three months you are with her kama amekutana na mtu mwingine basi bahati si yako. Na hata kama amekutana na mtu mwingine itachukua wiki 12 kwa virus kuonekana kwenye damu. Kama sio mwaminifu unangoja nini hapo?Utajuaje kama hajakutana na mtu mwingine?
Naona ni mungu tu anatuepusha eti. Maana kuna wengi walikuwa makini sana na wameukwaa